Waulize wanawake kila baada ya siku 28/29 wanaenda hukonikienda mwezini
unayumba sana na kupotokaWaulize wanawake kila baada ya siku 28/29 wanaenda huko
Hujaelewa niniunayumba sana na kupotoka
yameisha . Siwezi ligi naweHujaelewa nini
Ina maana kuwa nikienda mwezini na chombo chenye speed inayokaribia na speed of light (you can not attain the speed of light anyway), basi sitazeeka maana time itarudi nyuma! Ageing process will slow down.
sasa kwanini tusiwe na mashine yenye speed kubwa kiasi kwamba time will slow down na tusizeeke na kufa ila kwa magonjwa? π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π³π³π³π³π³πππππ
Tatizo la waafika ndilo hilo na haliishii hapa it treverses all walks of life!Waulize wanawake kila baada ya siku 28/29 wanaenda huko
Yeah ungekula spana hadi ukimbieyameisha . Siwezi ligi nawe
Umeandika nini hapo?Tatizo la waafika ndilo hilo na haliishii hapa it treverses all walks of life!
Right! I Lakini si nitakuwa na umri pungufu and that is what i want to achieve! π π π πKuzeeka lazima uzeeke tu. Tofauti yake wewe ukiwa ndani ya hicho chombo chenye spidi ya light. Utachelewa kuzeeka kulinganisha na age mates wako ambao wapo nje ya hicho chombo
Km unaandika Kiswahili andika Kiswahili km unaandika Kingereza andika Kingereza usichanganye lughaTatizo la waafika ndilo hilo na haliishii hapa it treverses all walks of life!
Usichanganye lughaRight! I Lakini si nitakuwa na umri pungufu and that is what i want to achieve! π π π π
asante sana, napunguza watu wa kunimalizia Mbs. Nakublock nisisome utumbo wakoKm unaandika Kiswahili andika Kiswahili km unaandika Kingereza andika Kingereza usichanganye lugha
Spana zimekuingiaasante sana, napunguza watu wa kunimalizia Mbs. Nakublock nisisome utumbo wako
Hamna kiumbe chochote kitakachoweza kusurvive kweny speed ya sawa na mwanga...labda kama ni kukuwahisha ahera hapo sawa