Tufikirie science kidogo The theory of relativity says that the faster the speed, the slower time passes by Albert Einstein

Tufikirie science kidogo The theory of relativity says that the faster the speed, the slower time passes by Albert Einstein

Maana ukiwafufua watu waliokufa miaka ya zamani ukawaambia leo watu wanapaa na ndege hewani wanatoka dar mpaka new york wakiwa mawinguni.. watakugomea
Watakuona wewe Mwehu
 
Hata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.

Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.

Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.

Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.
Hapa nimetoka kapa
 
Hivi!! mvutano kati ya mwezi na dunia nao unaegemea kwenye hiyo nadharia au
 
Hata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.

Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.

Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.

Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.
Hakika nakubaliana nawe kwenye hilo la G-limit
 
Hata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.

Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.

Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.

Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.
This is what I wanted from people like you! Hapo ndipo tunahitaji kufikiri zaidi kama Albert kuweza ku overcome forces zote hizo ili tusife..................................................... the greater the gravity, the slower the time...vikikamatana basi magnitude of slowing ageing itaongezeka 🙄 🙄 🙄
 
Ina maana kuwa nikienda mwezini na chombo chenye speed inayokaribia na speed of light (you can not attain the speed of light anyway), basi sitazeeka maana time itarudi nyuma! Ageing process will slow down.
sasa kwanini tusiwe na mashine yenye speed kubwa kiasi kwamba time will slow down na tusizeeke na kufa ila kwa magonjwa? 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 😳😳😳😳😳🙄🙄🙄🙄🙄
Asante Nshomile wa Muleba
 
Hamna kiumbe chochote kitakachoweza kusurvive kweny speed ya sawa na mwanga...labda kama ni kukuwahisha ahera hapo sawa
Sasa hapo ndipo tuwe kama Albert, tufikiri kama yeye kupata solution ya ku overcome that obstacle... kuweze kua attain hiyo speed but still we are live!
 
Hata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.

Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.

Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.

Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.
Gradual acceleration to attain the speed of light!
 
Hatuwezi kusema mwanadamu hatafikia uwezo wa kupunguza ukuwaji ili kuchelewa kuzeeka na kukomeshwa kwa kifo.
Huo uwezo siku za mbele utakuwepo ila tu aina ya binadamu nayo itakuwa ni tofauti na sisi.
Kila zama au nyakati fulani kunakuwepo na mabadiliko ya viumbe akiwepo mwanadamu.
Mtu wa leo na wa miaka 1000 nyuma hawawezi kukaa kwenye mizani moja kadhalika mtu wa leo na wa miaka 1000 mbele hawata lingana, kuanzia mwonekano umbo fikra ufahamu akili na mitazamo ubunifu nk.

Albert Einstein aliona mbali sana hakueleweka kipindi chake wala hawezi kueleka kipindi chetu hiki ila kesho ataeleweka na kuzidi .
 
Back
Top Bottom