Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Watakuona wewe MwehuMaana ukiwafufua watu waliokufa miaka ya zamani ukawaambia leo watu wanapaa na ndege hewani wanatoka dar mpaka new york wakiwa mawinguni.. watakugomea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuona wewe MwehuMaana ukiwafufua watu waliokufa miaka ya zamani ukawaambia leo watu wanapaa na ndege hewani wanatoka dar mpaka new york wakiwa mawinguni.. watakugomea
Mimi nimemblock, usipoteze Mb na takataka kama hizoyameisha . Siwezi ligi nawe
Umeblock niniMimi nimemblock, usipoteze Mb na takataka kama hizo
Hapa nimetoka kapaHata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.
Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.
Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.
Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.
Hakika nakubaliana nawe kwenye hilo la G-limitHata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.
Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.
Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.
Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.
Mimi nimemuelewa yaan ni speed ya kifoHapa nimetoka kapa
Umekubari wapi hapoHakika nakubaliana nawe kwenye hilo la G-limit
This is what I wanted from people like you! Hapo ndipo tunahitaji kufikiri zaidi kama Albert kuweza ku overcome forces zote hizo ili tusife..................................................... the greater the gravity, the slower the time...vikikamatana basi magnitude of slowing ageing itaongezeka 🙄 🙄 🙄Hata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.
Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.
Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.
Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.
nimemkataa kiaina hapo maana nimeona atajazia nzi tu hapa.Mimi nimemblock, usipoteze Mb na takataka kama hizo
exactly!Hakika nakubaliana nawe kwenye hilo la G-limit
Asante Nshomile wa MulebaIna maana kuwa nikienda mwezini na chombo chenye speed inayokaribia na speed of light (you can not attain the speed of light anyway), basi sitazeeka maana time itarudi nyuma! Ageing process will slow down.
sasa kwanini tusiwe na mashine yenye speed kubwa kiasi kwamba time will slow down na tusizeeke na kufa ila kwa magonjwa? 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 😳😳😳😳😳🙄🙄🙄🙄🙄
KUFIKIRIKA!... (you can not attain the speed of light anyway) ...
Sasa hapo ndipo tuwe kama Albert, tufikiri kama yeye kupata solution ya ku overcome that obstacle... kuweze kua attain hiyo speed but still we are live!Hamna kiumbe chochote kitakachoweza kusurvive kweny speed ya sawa na mwanga...labda kama ni kukuwahisha ahera hapo sawa
Gradual acceleration to attain the speed of light!Hata ukipata hicho chombo cha kwenda speed of light bado hutofika the moment kinafanya take off au kuwa launched kama kina carrier ndio umekufa hivyo.
Mwili wa binadamu hauwezi himili G forces nyingi, hata supersonic aircrafts marubani wake wanavaa nguo maalum na oxygen mask wakati ndege inaenda kilomita 2700 kwa saa, sababu kuna turns nyingi.
Wanaokaa kwenye spaceship mara nyingi hawapigi kona hivyo G forces hazisumbui ila wanajishindilia mavazi yenye kilo kadhaa.
Rubani mwenye uzoefu na mafunzo makali na ana vifaa vyote anaweza fika 10 Gs dakika chache. Sasa hiyo speed of light sijui ni Gs ngapi ila najua ni zaidi ya 1000, hakuna teknolojia ya kukufanya ufike hapo. Unakata roho sekunde ya kwanza ya ride.