Tufikirie science kidogo The theory of relativity says that the faster the speed, the slower time passes by Albert Einstein

Tufikirie science kidogo The theory of relativity says that the faster the speed, the slower time passes by Albert Einstein

Hapa nimetoka kapa
Hii sayansi ya gravity, energy, speed, force ni ngumu sana kuliko maelezo na nguli kina Einstein wakitoa formula zao hivyo siijui.
Ila kwa ninayojua iko hivi, gravit forces hurudisha vitu chini ya uso wa dunia. Ukirusha jiwe unalipa kinetic energy ya kufanya movement na ikiisha linarudi chini.
Ile energy inayotumika kurusha chombo angani inakinzana na gravitational forces ili chombo kieleee, kadri inavyokuwa kubwa & speed kubwa ndivyo na gravity nayo inakuwa kubwa kukizuia kisitoroke. Mwili wa binadamu kwa kawaida unahimili 5 G forces ukizidi hapo mara nyingi you pass out, hii hutokea kwa watumiaji wa rollercoaster za watoto.

Ndege za abiria zinakuwa na pressurised cabin kwa sababu ya pressure, za kijeshi zenye kasi kubwa kuanzia kama 1.8 Mach hivi huwa na ujanja fulani umetumika kupunguza makali ya G forces rubani asihisi kizunguzungu, kuumwa kichwa, kutokwa damu puani na kutapika. Mojawapo ya ndege iliyokuwa na kasi sana inaenda hadi 3,500km per hour ni SR-71 Blackbird ya Marekani kwa sasa imestaafu. Marubani wake walikuwa na mambo mengi ya tofauti na training kubwa, viatu vyao kama unavyoona hapa vimefungwa kwa nyuma miguu isicheze na kuvunjika
20230807_210643.jpg

20230807_210647.jpg

Ndege hiyo inafika zaidi ya 200°C ikiwa angani hivyo inataka coating kwa rubani asihisi joto ndani. Sasa ukianzia ride kwenye airport lazima kifaa chako kiwe na sifa zaidi ya SR-71 Blackbird.
Alternatively, unatumia launcher/mothership carrier inaweka speed kubwa alafu inakirusha kifaa chako kikiwa na momentum na kipo angani mbali kinawahi kuchanganya injini nadhani ni ramjet. Hapa unapunguza makorokoro ya kuanzia chini na unafanya kifaa kiwe compact kama hii product ya US Air Force nayo ni Retired
20230807_210816.jpg


Otherwise uwe na spaceship kama kawaida ilivyo uende anga za juu. Bado G forces zitakukatalia ila unavaa G-suits unazoona astronauts wanavaa. Zile zinapunguza, sasa kwenye speed of light ndio nasema hakuna teknolojia ya kutengeneza suits za kuwezesha hilo.
Nimeanzia mbali sababu umesema huelewi. Ukitaka kwenda na speed ya light fanya makubwa kuzidi hizi ndege mbili na hizo spaceships na rockets sababu friction itasababisha joto na hicho chombo kinachoenda kitazalisha joto kubwa zaidi kwenye skin ambalo hakuna lubricant itafanya kitu kwenye vifaa, hakuna heat sink duniani itahimili, hakuna material ya kuhimili joto kali vile na hakuna karibia kila kitu cha kuendana na mazingira hayo. Uanzishe sayansi yako mpya na gunduzi mpya metallurgy, conductors, insulators, etc.

Hii ni speculation ambayo ni sawa na hamna, sababu hakuna uwezekano wa kufanya chombo kiende speed ya mwanga. Ila sayansi haijawahi kugoma kujiuliza "WHAT IF?" kisa kitu fulani hakiwezekani.
 
hapa kaka nisikudanganye haya mambo ya space travel na mambo ya relativity mimi mgeni sana japo ni topiki nazopenda kujifunza
Gravity is warping of spacetime ie you bend spce-time...swali la jamaa yetu inawezekana duni na jua vinavutana hivi Hu Jintao
1691433868644.jpeg
 
hapa kaka nisikudanganye haya mambo ya space travel na mambo ya relativity mimi mgeni sana japo ni topiki nazopenda kujifunza
Gravity is warping of spacetime kwa hiyo nadhani kuna kitu kama hiki kinatokea??? sijui anyway
1691434135703.jpeg

Hivi!! mvutano kati ya mwezi na dunia nao unaegemea kwenye hiyo nadharia au
 
Hii sayansi ya gravity, energy, speed, force ni ngumu sana kuliko maelezo na nguli kina Einstein wakitoa formula zao hivyo siijui.
Ila kwa ninayojua iko hivi, gravit forces hurudisha vitu chini ya uso wa dunia. Ukirusha jiwe unalipa kinetic energy ya kufanya movement na ikiisha linarudi chini.
Ile energy inayotumika kurusha chombo angani inakinzana na gravitational forces ili chombo kieleee, kadri inavyokuwa kubwa & speed kubwa ndivyo na gravity nayo inakuwa kubwa kukizuia kisitoroke. Mwili wa binadamu kwa kawaida unahimili 5 G forces ukizidi hapo mara nyingi you pass out, hii hutokea kwa watumiaji wa rollercoaster za watoto.

Ndege za abiria zinakuwa na pressurised cabin kwa sababu ya pressure, za kijeshi zenye kasi kubwa kuanzia kama 1.8 Mach hivi huwa na ujanja fulani umetumika kupunguza makali ya G forces rubani asihisi kizunguzungu, kuumwa kichwa, kutokwa damu puani na kutapika. Mojawapo ya ndege iliyokuwa na kasi sana inaenda hadi 3,500km per hour ni SR-71 Blackbird ya Marekani kwa sasa imestaafu. Marubani wake walikuwa na mambo mengi ya tofauti na training kubwa, viatu vyao kama unavyoona hapa vimefungwa kwa nyuma miguu isicheze na kuvunjikaView attachment 2711350
View attachment 2711351
Ndege hiyo inafika zaidi ya 200°C ikiwa angani hivyo inataka coating kwa rubani asihisi joto ndani. Sasa ukianzia ride kwenye airport lazima kifaa chako kiwe na sifa zaidi ya SR-71 Blackbird.
Alternatively, unatumia launcher/mothership carrier inaweka speed kubwa alafu inakirusha kifaa chako kikiwa na momentum na kipo angani mbali kinawahi kuchanganya injini nadhani ni ramjet. Hapa unapunguza makorokoro ya kuanzia chini na unafanya kifaa kiwe compact kama hii product ya US Air Force nayo ni Retired View attachment 2711353

Otherwise uwe na spaceship kama kawaida ilivyo uende anga za juu. Bado G forces zitakukatalia ila unavaa G-suits unazoona astronauts wanavaa. Zile zinapunguza, sasa kwenye speed of light ndio nasema hakuna teknolojia ya kutengeneza suits za kuwezesha hilo.
Nimeanzia mbali sababu umesema huelewi. Ukitaka kwenda na speed ya light fanya makubwa kuzidi hizi ndege mbili na hizo spaceships na rockets sababu friction itasababisha joto na hicho chombo kinachoenda kitazalisha joto kubwa zaidi kwenye skin ambalo hakuna lubricant itafanya kitu kwenye vifaa, hakuna heat sink duniani itahimili, hakuna material ya kuhimili joto kali vile na hakuna karibia kila kitu cha kuendana na mazingira hayo. Uanzishe sayansi yako mpya na gunduzi mpya metallurgy, conductors, insulators, etc.

Hii ni speculation ambayo ni sawa na hamna, sababu hakuna uwezekano wa kufanya chombo kiende speed ya mwanga. Ila sayansi haijawahi kugoma kujiuliza "WHAT IF?" kisa kitu fulani hakiwezekani.
asante sana. Ilinichukua miaka kuelewa theory of relativity na special relativity, ni vitu vigumu sana, quite abstract thinking which is a type thinking!. Ngoja nisome andiko lako.
 
This is what I wanted from people like you! Hapo ndipo tunahitaji kufikiri zaidi kama Albert kuweza ku overcome forces zote hizo ili tusife..................................................... the greater the gravity, the slower the time...vikikamatana basi magnitude of slowing ageing itaongezeka 🙄 🙄 🙄
Kwa haraka haraka kuna mwanasayansi alisema gravity na speed of light vinapishana kidogo, na gravity hapa duniani unajua inategemeana umeanzia wapi ingawa nahisi tofauti inaleta effect ndogo sana. Haya mambo magumu sana kuliko tunavyodhani.

Lakini kwa hoja yako kwani ukienda nje ya dunia kwa speed of light unahesabu ule muda ambao umewahi (nimesahau hiyo terminology). Like, ni 7th of August 2023, umesafiri kwa speed of light kwenda kwenye universe. Umetumia dakika 8 kwenye safari which is kilomita milioni 145 hivi, ukiwa uko effect unayoacha duniani ni nini mpaka uwe umepunguza muda na wenzako wamewahi muda?
Argument yao inasema unawahi muda gani kwa kutembea muda gani, kwamba kuna calculation ya kujua ukitembea miaka kadhaa kwa speed of light utakuwa umesave miaka kadhaa duniani?
 
The flash na wenzake akina reverse flash,dark flash na wengineo wanaweza hilo la kwenda na speed of light
 
Watu wanaweza kwenda faster than light. Haya mambo yako just around the corner. Yaani,baada ya muda mfupi,binadamu wataanza kwenda faster than light. In fact,Elon Musk alikuwa anazungumza kuhusu hili swala siku chache zilizopita.(two or three days ago)
Soma Pleiades Connection.no.30
Hili jambo walithibitisha BAADA ya Einstein kufa. Walichukua wrist watch mbili,moja wakaiweka base,nyingine wakaiweka ndani ndege ya Boeing. (Jet plane).
Ile ndege ikaenda around the world,iliporudi,ilipotua,ile saa mule ndani ilikuwa a few fraction of seco ds slower kuliko ile saa ya ardhini.
 
Hivi!! mvutano kati ya mwezi na dunia nao unaegemea kwenye hiyo nadharia au
Nadharia ya uhusiano wa jumla (general relativity) imejaribu kuuelezea huo uvutano unavyokuwa.

Uvutano huo sio kama unavyoufikiria (kwa namna ulivyoelezwa na Newton?)

Nadharia hiyo ya uhusiano wa jumla (general relativity) inasema kuwa kitu chochote chenye uzito mkubwa, kinaweza kufanya nafasi-wakati kupinda (warp).

Embu chukulia jinsi ukiweka kitu kizito kwenye godoro laini kinavyopinda eneo karibu nacho. Hali hiyo inatokea pia katika anga la nafasi, ambapo vitu vyenye uzito vinapinda nafasi na wakati katika mazingira yao.


101715_essay_opener_free.jpg

Angalia video hii fupi uelewe
 
Nadharia ya uhusiano wa jumla (general relativity) imejaribu kuuelezea huo uvutano unavyokuwa.

Uvutano huo sio kama unavyoufikiria (kwa namna ulivyoelezwa na Newton?)

Nadharia hiyo ya uhusiano wa jumla (general relativity) inasema kuwa kitu chochote chenye uzito mkubwa, kinaweza kufanya nafasi-wakati kupinda (warp).

Embu chukulia jinsi ukiweka kitu kizito kwenye godoro laini kinavyopinda eneo karibu nacho. Hali hiyo inatokea pia katika anga la nafasi, ambapo vitu vyenye uzito vinapinda nafasi na wakati katika mazingira yao.


View attachment 2711357
Angalia video hii fupi uelewe
View attachment 2711393
Nimekuelewa brother... Keep it up 👊
 
Nadharia ya uhusiano wa jumla (general relativity) imejaribu kuuelezea huo uvutano unavyokuwa.

Uvutano huo sio kama unavyoufikiria (kwa namna ulivyoelezwa na Newton?)

Nadharia hiyo ya uhusiano wa jumla (general relativity) inasema kuwa kitu chochote chenye uzito mkubwa, kinaweza kufanya nafasi-wakati kupinda (warp).

Embu chukulia jinsi ukiweka kitu kizito kwenye godoro laini kinavyopinda eneo karibu nacho. Hali hiyo inatokea pia katika anga la nafasi, ambapo vitu vyenye uzito vinapinda nafasi na wakati katika mazingira yao.


View attachment 2711357
Angalia video hii fupi uelewe
View attachment 2711393
Umieleza vema kabisa...trampoline example
1691473166643.png



Huyu Einstein alikuwa na akili za ajabu!
 
Watu wanaweza kwenda faster than light. Haya mambo yako just around the corner. Yaani,baada ya muda mfupi,binadamu wataanza kwenda faster than light. In fact,Elon Musk alikuwa anazungumza kuhusu hili swala siku chache zilizopita.(two or three days ago)
Soma Pleiades Connection.no.30
Hili jambo walithibitisha BAADA ya Einstein kufa. Walichukua wrist watch mbili,moja wakaiweka base,nyingine wakaiweka ndani ndege ya Boeing. (Jet plane).
Ile ndege ikaenda around the world,iliporudi,ilipotua,ile saa mule ndani ilikuwa a few fraction of seco ds slower kuliko ile saa ya ardhini.
time dilation!???? au nimechanganya mambo
 
Yeah ungekula spana hadi ukimbie
sawa ila next time uwe unasafisha lile lango la kuelekea hadi kwenye oesephagus kwa dettol ya maji ili kupunguza miwasho .Itakusaidia sana kupunguza makasiriko kwenye thread za watu humu.Amini kwamba
 
Mpaka sasq sijapata mtu wq kunielewesha kwa lugha rahisi kuhusiana na hii theory of general relativity naamini zipo lugha rahisi za kuelewesha wakuu nifahamisheni.
 
Hizi mada nazipenda sana shida ni kwamba wachangiaji wanazungumza lugha ya kisomi hivyo watu ambao hatukupita huko tunatoka kapa.
Shida ni kwamba misamiati ya kwenye hii kada ni migumu kupata atleast kiswahili chake. Ila sio mbaya wadau wanajitahidi kuielezea
 
Shida ni kwamba misamiati ya kwenye hii kada ni migumu kupata atleast kiswahili chake. Ila sio mbaya wadau wanajitahidi kuielezea
Kuna tofauti katika ya tafsiri na maana,wasomi wengi wanachanganya.

Mfano nikisema gravitational force tafsiri ya kiswahili mswahili hawezi kuielewwa ila ukitoa maana ya gravit. Force kea kiswahili mswahili ataelewa.

WEngi hutoa tafsiri na sio maana ndio maana mambo huwa magumu.

Mtu kuielezea ni nini inertia kwenye physics anashindwa sasa ni usomi gani huu.
 
Kuna tofauti katika ya tafsiri na maana,wasomi wengi wanachanganya.

Mfano nikisema gravitational force tafsiri ya kiswahili mswahili hawezi kuielewwa ila ukitoa maana ya gravit. Force kea kiswahili mswahili ataelewa.

WEngi hutoa tafsiri na sio maana ndio maana mambo huwa magumu.

Mtu kuielezea ni nini inertia kwenye physics anashindwa sasa ni usomi gani huu.
Misamiati kama kani myumbuliko, dutu, n.K kuna muda yanaweza kumchanganya mtu kuliko kuelewa.. Hapo ndipo linapokuja swala ni lugha gani inastahili kufundishia kwenye taasis za elimu
 
Back
Top Bottom