Tufuate mfano wa malezi wa Christiano Ronaldo; hebu msikilize kwa makini hapa

Tufuate mfano wa malezi wa Christiano Ronaldo; hebu msikilize kwa makini hapa

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Watanzania, hasa akina baba, tunao wajibu wa kuwalea watoto wetu kwa kutowapa kila kitu, hata kama tumejaliwa utajiri wa kutosha.

Tunapaswa kuwafanya watoto wetu wa hustle ili wajue kuwa mali zinapatikana kwa uchungu. Sio kila akiomba hela unampa halafu anaenda kuspend na girlfriend wake. Anapaswa afahamu kuwa pesa zinapatikana kwa ugumu sio kilelemama. Turejee malezi ya wazazi wetu wa zamani.


 
Ndio maana huwaga nawaambia kila siku watoeni watoto wenu shule za English Mediums warudisheni Kayumba ndo kuna malezi halisi
Walikufanya nini huko? Ila harakati yako ni nzuri maana baada ya elimu hakuna maisha private wote tunatud public.
 
Ndio maana huwaga nawaambia kila siku watoeni watoto wenu shule za English Mediums warudisheni Kayumba ndo kuna malezi halisi
Umeongea jambo la msingi lakini unaweza kumsomesha mtoto wako private na wakati huohuo ukawa unamfanyisha kazi ngumu ili ajue pesa haipatikani kindezi.
 
nakumbuka wakati mdogo niliokota note ya shiling 200. by the time 200 ilikuwa na high value, nikakusanya rafiki zangu tulikula sanaa, vitu kibao tulinunua. Sasa ishu ikaja kuna watu wakaenda kumwambia bibi kuwa nina hela nakula na rafiki zangu.
Nilivyorudi nilipigwa saaana. kesho yake bibi aliniambia haijalishi pesa uliokota nilikuchapa sababu kwa umri wako ni mwiko kutumia pesa ya note hiyo pesa ni kubwa sana😀😀😀😀 nikikumbuka huwa nacheka tu
 
Back
Top Bottom