Tufunge mjadala: Mobhare Matinyi vs Salim Kikeke nani alistahili kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali?

Tufunge mjadala: Mobhare Matinyi vs Salim Kikeke nani alistahili kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali?

Mbona mnapenda ku exaggerate watu kiasi hiki, utashangaa ana under perform ilihali mlimsifia weeee. Mliwahi msifia sana Kipilimba ooh TISS sijui nini wakati vitambulisho vya NIDA tu alifeli kusambaza, unabaki unajiuliza lipi wanaloweza hawa mnaowaita vipanga?
Wabongo wanawashobokea sana hao
Sijui teeth kitengo mara jasusi

Ova
 
Nauliza, kati ya Mobhare Matinyi(Mwanafamilia Mwandamizi wa Kipanga House aliyewiva hata mara kadhaa jina lake kufikishwa mezani kwenye Mamlaka za Uteuzi ateuliwe kuwa DG wa Jumba lile).

na Ndg. Salim Kikeke (with due respect, Mshereheshaji na Chawa Mkuu wa Makolo FC kwa sasa) nani alipaswa kuaminiwa kuwa Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali?

Nafasi nyeti hizi wazee, Kikeke asubiri bahati yake sehemu nyingine

ALAMSIKI[emoji99][emoji99]
kikeke amerudi kwabkazi nyingine kabisa,sasa hivi anasubiriwa mtu kustaafu ndio apewe yeye
 
Nauliza, kati ya Mobhare Matinyi(Mwanafamilia Mwandamizi wa Kipanga House aliyewiva hata mara kadhaa jina lake kufikishwa mezani kwenye Mamlaka za Uteuzi ateuliwe kuwa DG wa Jumba lile).

na Ndg. Salim Kikeke (with due respect, Mshereheshaji na Chawa Mkuu wa Makolo FC kwa sasa) nani alipaswa kuaminiwa kuwa Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali?

Nafasi nyeti hizi wazee, Kikeke asubiri bahati yake sehemu nyingine

ALAMSIKI💤💤
Kwani Kazi siku hizi inatolewa kwa mtanzania anayestahili au kwa masharti ya mtu kuwa jasusi?

Kama kila nafasi ya kazi nyeti serikalini inahitaji muombaji kuwa jasusi, basi mitaala yetu ya elimu na mafunzo ibadilishwe kurusu somo la ujasusi kuwa la lazima kwa kila mwanafunzi.
 
Nnavyofahamu mimi ni kwamba yule mzee pale NIDA alikwenda kwa kazi ingine na si ilokusudiwa.
Nachojua ukipewa majukumu ya ujasusi ni lazima primary goal utimize on top of lile jukumu la siri. Haiwezekani TISS apelekwe kuwa jasusi huko NIDA ila kazini hauonekani kila siku and you underperform, huoni utaleta suspicion au pengine kutumbuliwa mapema kabla hujafika lengo
 
Hivi idara ya Habari na Maelezo, hakuna watumishi waandamizi, ambao wanaweza kuteuliwa kujaza nafasi ya Mkurugenzi wa Habari na Maelezo (Msemaji wa Serikali).
-Kwa nini Mamlaka ya uteuzi ,haiwateui hao maafisa waandamizi kuchukua nafasi hizo, badala yake wanachaguliwa watu kutoka nje ya idara ya Maelezo.
-Mfumo huu,unawavunja moyo na kukatisha tamaa watumishi wa Serikali na taasisi za umma ambao, wamefanya kazi kwenye idara hizo kwa miaka mingi na pengine wengine wamejiendeleza,na kupata sifa( elimu na uzoefu) za kazi hizo.
-utaratibu huu,unatumika kwenye teuzi za wakurugenzi wa halmashauri na ma-DAS.
-sina maana Mamlaka ya uteuzi isiteue watanzania wengine kutoka nje ya utumishi wa umma,la hasha.

Ushauri
-Mamlaka ya uteuzi itoe kipa umbele kwa watumishi wa Serikalini,sekta binafsi ambao wemeonyesha weledi na kutoa mchango mkubwa kwenye jamii.
-ili kutunza Siri za Serikali,wateule wapya wapigwe msasa, kabla ya kuanza Majukumu yao mapya
 
Hiyo nafasi ilififishwa na Kikwete alipokuwa blackmailed na wakona Salva Rweyemamu na Magufuli ndio akaja kuizika kabisa Kwa teuzi ya a junior TBC mkoa with very little if any exposure na mengineyo, utashangaa kujua kuwa Jana alitweet kumkaribisha Msemaji mpya kuwa huru kuwasiliana Kwa ushauri🥸 akijuaminisha kuwa Kwa kuwa alipita hapo kabla basi yeye ni senior to the new holder. Hii ndiyo arrogance ya wengi wetu kudhani kuwa position power inatosha bila capacity to fit in the position. Namtakia msemaji mpya heri na fanaka Kwa kweli kurejesha heshima kwenye nafasi na kazi hiyo ya kuunganisha umma na serikali
 
Msemaji sio lazima awe usalama, Dj tuu anaweza kusema alichoambiwa aseme. Itafikikia hatua kila mtu ni usalama usalama kama kweli tunao usalama Sawa hospitali,wanafunzi wasikae chini wasikae chini. Wastaafu walipwe,maji.umeme na miindo mbinu iwe pouwa hapo ndo usalama kama FBI,CIA,etc
 
Hiyo nafasi ina unyeti gani kulinganisha na utangazi kwenye shirika kubwa kama BBC?

Nadhani usemaji wa ikulu kila mtanzania mwenye uwezo wa kuzungumza anaweza kupewa! Muhimu ni kufuata maelekezo!

Kwani msigwa alikuwa na maajabu gani zaidi ya kufanya ziara za mikoani na kuita waandishi wa habari? Alichoeleza ni kilekile kinasemwa na mawaziri na watendaji wengine!
Tofautisha utangazaji na usemaji wa serikali! Kutangaza hata mtu asiye mwandishi anaweza. Kutangaza habari maana yake ni kusoma habari ambayo imeandikwa!
 
Kazi ya msemaji wa serikali ya tz ni propaganda tu za kuficha failure za serikali...
It is not even worth the debate on this platform
Unafeli sana wewe . Ukule mshahara wa serikali alafu unyee serikali . Hii ofisi dunia nzima inafanya kazi ki pro serikali.
 
Hiyo nafasi ilififishwa na Kikwete alipokuwa blackmailed na wakona Salva Rweyemamu na Magufuli ndio akaja kuizika kabisa Kwa teuzi ya a junior TBC mkoa with very little if any exposure na mengineyo, utashangaa kujua kuwa Jana alitweet kumkaribisha Msemaji mpya kuwa huru kuwasiliana Kwa ushauri🥸 akijuaminisha kuwa Kwa kuwa alipita hapo kabla basi yeye ni senior to the new holder. Hii ndiyo arrogance ya wengi wetu kudhani kuwa position power inatosha bila capacity to fit in the position. Namtakia msemaji mpya heri na fanaka Kwa kweli kurejesha heshima kwenye nafasi na kazi hiyo ya kuunganisha umma na serikali

Rose wewe haupo anonymous na still unaweza sema Kikwete alikuwa Blackmailed?hizi habari zisizo thibitishwa waachie anonymous contributers.....

Usije kuwa sued bila sababu...
 
unajiuliza lipi wanaloweza hawa mnaowaita vipanga?
Nchi hii hakuna anayejua halafu yuko serikalini. Kwasabb serikalini kumejaa unafiki na uzandiki.

Ukiwa unajua na ukafanya kazi kama unavuojua wanafiki watakuonea wivu na kukufitinisha kisha uondolewe kwenye mfumo.

Serikalini kumejaa wapumbavu ndiyo wanaosifiwa kwa upumbavu wao.
 
Tofautisha utangazaji na usemaji wa serikali! Kutangaza hata mtu asiye mwandishi anaweza. Kutangaza habari maana yake ni kusoma habari ambayo imeandikwa!
Kwahiyo msemaji wa serikali anazungumza yanayotoka kwenye ubongo wake?
 
Kwahiyo msemaji wa ikulu anazungumza yanayotoka kwenye ubongo wake?
Ikulu gani tena? Hapa tunasema msemaji mkuu wa serikali, siyo msemaji wa Ikulu! Tofautisha kwanza kati ya Msemaji Mkuu wa Serikali na Msemaji wa Ikulu kisha rudi tujadili.
 
Unafeli sana wewe . Ukule mshahara wa serikali alafu unyee serikali . Hii ofisi dunia nzima inafanya kazi ki pro serikali.
Ndio mana nimesema haina hadhi ya kuwa debated humu
Kazi zao zinajulikana.
 
Nauliza, kati ya Mobhare Matinyi(Mwanafamilia Mwandamizi wa Kipanga House aliyewiva hata mara kadhaa jina lake kufikishwa mezani kwenye Mamlaka za Uteuzi ateuliwe kuwa DG wa Jumba lile).

na Ndg. Salim Kikeke (with due respect, Mshereheshaji na Chawa Mkuu wa Makolo FC kwa sasa) nani alipaswa kuaminiwa kuwa Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali?

Nafasi nyeti hizi wazee, Kikeke asubiri bahati yake sehemu nyingine

ALAMSIKI[emoji99][emoji99]
Kikeke SI ni mwingereza??

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom