Tufunge mjadala: Mobhare Matinyi vs Salim Kikeke nani alistahili kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali?

Tufunge mjadala: Mobhare Matinyi vs Salim Kikeke nani alistahili kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali?

Nauliza, kati ya Mobhare Matinyi(Mwanafamilia Mwandamizi wa Kipanga House aliyewiva hata mara kadhaa jina lake kufikishwa mezani kwenye Mamlaka za Uteuzi ateuliwe kuwa DG wa Jumba lile).

na Ndg. Salim Kikeke (with due respect, Mshereheshaji na Chawa Mkuu wa Makolo FC kwa sasa) nani alipaswa kuaminiwa kuwa Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali?

Nafasi nyeti hizi wazee, Kikeke asubiri bahati yake sehemu nyingine

ALAMSIKI💤💤
Musiba.
 
Nachojua ukipewa majukumu ya ujasusi ni lazima primary goal utimize on top of lile jukumu la siri. Haiwezekani TISS apelekwe kuwa jasusi huko NIDA ila kazini hauonekani kila siku and you underperform, huoni utaleta suspicion au pengine kutumbuliwa mapema kabla hujafika lengo
Mkuu, Kapilimba alikwenda pale na baadae akatoka baada ya kumaliza kazi ya kutathmini hasara ilofanywa pale.

Baadae tukasikia watu fulani wa NIDA wakipata matatizo.

Nafikiri alikuwa ni Maimu na wenzie.
 
Mbona mnapenda ku exaggerate watu kiasi hiki, utashangaa ana under perform ilihali mlimsifia weeee. Mliwahi msifia sana Kipilimba ooh TISS sijui nini wakati vitambulisho vya NIDA tu alifeli kusambaza, unabaki unajiuliza lipi wanaloweza hawa mnaowaita vipanga?

Kama walivyokuwa wanamsifia Membe. Yani watu wa humu kwa chumvi!!! Na huyu Kikeke atulizane. Nyuzi kama hizi hazimsaidii na utoto wake wa kurukaruka huko mitandaoni.
 
Huyo kikeke alivyo na mambo ya kitoto hivyo ndio apewe nafasi nyeti hivyo?afu ni kama ameanza kuchanganyikiwa flani hivi

I’m glad kila mtu anaona uchildish wake. Abadilike na yeye, hii tabia inamshusha sana.
 
Nauliza, kati ya Mobhare Matinyi(Mwanafamilia Mwandamizi wa Kipanga House aliyewiva hata mara kadhaa jina lake kufikishwa mezani kwenye Mamlaka za Uteuzi ateuliwe kuwa DG wa Jumba lile).

na Ndg. Salim Kikeke (with due respect, Mshereheshaji na Chawa Mkuu wa Makolo FC kwa sasa) nani alipaswa kuaminiwa kuwa Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali?

Nafasi nyeti hizi wazee, Kikeke asubiri bahati yake sehemu nyingine

ALAMSIKI💤💤
Mnakikuza sana kitengo wakati villazza wa uvccm wamejaa tu
 
Back
Top Bottom