Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Ndio maana nawaambia watu kama umeoa kahaba ataliwa tu hata aende gengeni,sokoni,n.k swala lakuliwa ni akili ya mtu tu hata akiwa mazingira shawishi.
Huwezi kuchukua maamuzi yakumuoa mtu halafu unaishi nae kwa wasi wasi kama upo na kiongozi wa al shabab....

2022 mama inafikaa utaruhusiwa kwenda hadi mars[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Auntie tuanze mazoezi hata ya kuzunguka nyumba mwakani tuunge tela[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie mimi na mambo za kukimbia siwezi hata acha niwe shabiki wako tu
 
Miaka miwili imebaki bby tuhalalishe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Twende ya mkoani kwetu basi. Ukifika chumvini utaimba mdumange mpaka umalize mamiyake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie mimi na mambo za kukimbia siwezi hata acha niwe shabiki wako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…