Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Gym na marathon sasa ndio machimbo rasmi ya udangaji. Yani unakuta mwanamke kavaa tight fupi see-through nae yupo gym anafanya mazoezi akiambiwa inama mambo yote wazi. Sikuhizi ukiona mwanaume kakazana jumatatu hadi jumamosi gym dada kama ni mumeo fanya tu uunge tela maana utamkuta mwana si wako.
 
Hivyo ni Vilabu vya kutakatisha ufuska...watoto wa mjini ndio wanazitumia kuopoa madanga yani mtu anaishi magomeni ila anakimbia jogging club za Masaki na Oysterbay akifikiria kwamba Mabaharia hatutausoma mchezo.🤣🤣🤣

Kama kuna watu wanatafuta urahisi katika maisha at any cost ni hawa freedom fighters wa mjini bongo DSM.
 
Ahahahahah...kwel kabisaa..huwa sibishi tena ule usemi flan kwamba "watu wasio na hela huwa wakali wakali halaf wakoloni koloni kinoma".

🤣🤣🤣muda wote wako tayari kupambana namtu hahhaa...hahahhhaa..sasa nini kifanyike mkuu🤣🤣..lol
 
Nasubiria Mt. Uluguru Marathon......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…