NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 595
Humuhumu, jitetee boss usikubali kujumlishwa.Tulioenda Kili Marathon na wake zetu tuna-comment wapi?
Natumaini wote mu wazima,
Mama lao sina maneno mengi ila tuseme tu ukweli Kili Marathon ishapoteza mvuto sio kama zile Kili za zamani tulizokuwa tunazosikiaa kipindi hicho. Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano, kila ufuska huwa unafanyika Moshi
Yaani kuna kudanga na kudangwa sio kila mtu anaenda kwa ajili ya Marathon ila wanatumiaa mgongo wa Marathon kwenda Moshi kujivinjari
Hasa Wanaume manake unakuta mtu anaaga nyumbani kuwa anaenda kwa Marathon kumbe kashaandaa kiburudishi pembeni same applied to wadangaji nao washafanya ni chimbo la kupatiaa Wanaume.
Thats why unakutaa siku hizi kilaa mtu anajifanya anapenda Marathon.
Jamani Wanawake wenzangu kuweni macho na haya ma-marathon ya kila siku ambao yameshakuwa kama fashooooni mjini haya mama, marathon 25% ndo wapo kimarathon zaidi but the rest 75% ni kwa ajili ya kwenda kusaka na kusakwa niliyo yaona Moshi yanatoshaa jaman
🤣🤣🤣🤣🤣Yes...1 wk itatutosha kufanya marathon😄😄!...nadhan tutakuwa na wifi pamoja!...tukitoka hapo ni burigi😅😅Basi sawa.Killi marathon ijayo na mm nitakuwepo bila shaka nika test mitambo.i wll book a ticket for u as well.
Mkuu wala usijichoshe, hakuna mtu anaeenda kwa nia ya marathon ukiacha wakenya na wale wanariadha profesheno. Wengine wote wanaenda ama kumendea wanaume/wanawake, au kupiga picha za kuweka insta/status na kupata cha kujisifia.Wadangaji wanawaharibia sana wenzao, sasa hivi wote walioenda wanaonekana ndio walewale ingawa wapo walioenda kwa nia ya marathoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu mbona unawahukumu...ila wapo walioenda kwa nia ya dhati bwanaMkuu wala usijichoshe, hakuna mtu anaeenda kwa nia ya marathon ukiacha wakenya na wale wanariadha profesheno. Wengine wote wanaenda ama kumendea wanaume/wanawake, au kupiga picha za kuweka insta/status na kupata cha kujisifia.
povu veeepeee ww ndo mmoja wao unamuacha mkeo ndani alafu unaenda kukimbizana na upepo moshi mxiewwww yangu nafanyaa kwani nimekuomba msaada
Acha mambo yasiyokuhusu wewe, pita vileee
Sent using Jamii Forums mobile app
Plus g string ndo vitu tunavyopenda wake zetu mmekosa ubunifu ila bado tunawapendaTeam vichupi na tight hahahah
Goba ilikuwa Marathon ipi? Mana nimeshiriki karibu zote, kuanzia ya Atlas mpaka zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nipo hapa Moshi miaka yote naona kinachoendelea. Mfano juzi majority ya washiriki walikuja moshi ijumaa wakakesha na kushinda kwenye kumbi za starehe, loji na hoteli wakibanjuka. Watu mkesha wa marathon wanalala night club asubuhi wanaamkia uwanjani eti kukimbia..! Hapo kuna marathon kweli??Hahaha mkuu mbona unawahukumu...ila wapo walioenda kwa nia ya dhati bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kukiwepo kudangana mambo hayanogi?Sio kweli... kili inazidi kunoga..
Hahaha wabongo bwana kila sehemu wanaifanya fursa ya kufanyia ufuskaMkuu mimi nipo hapa Moshi miaka yote naona kinachoendelea. Mfano juzi majority ya washiriki walikuja moshi ijumaa wakakesha na kushinda kwenye kumbi za starehe, loji na hoteli wakibanjuka. Watu mkesha wa marathon wanalala night club asubuhi wanaamkia uwanjani eti kukimbia..! Hapo kuna marathon kweli??
[emoji23][emoji23][emoji23]..ndo hao wengine magoti yalikataa ikabidi wapande pikipikiMkuu mimi nipo hapa Moshi miaka yote naona kinachoendelea. Mfano juzi majority ya washiriki walikuja moshi ijumaa wakakesha na kushinda kwenye kumbi za starehe, loji na hoteli wakibanjuka. Watu mkesha wa marathon wanalala night club asubuhi wanaamkia uwanjani eti kukimbia..! Hapo kuna marathon kweli??
Wanaume kwa unafkiiiPlus g string ndo vitu tunavyopenda wake zetu mmekosa ubunifu ila bado tunawapenda
Sent using Jamii Forums mobile app