[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh mkeo akiwa analiwa nje mume unakuwa wa mwisho kujua!Kuna dada mke wa mtu huwa hakosi maana anakwenda na mchepuko wake.
Gym na marathon sasa ndio machimbo rasmi ya udangaji. Yani unakuta mwanamke kavaa tight fupi see-through nae yupo gym anafanya mazoezi akiambiwa inama mambo yote wazi. Sikuhizi ukiona mwanaume kakazana jumatatu hadi jumamosi gym dada kama ni mumeo fanya tu uunge tela maana utamkuta mwana si wako.
Watu wengine mnajikuta watakatifu! Kazi kuhukumu wenzenu.
kwa nini biashara ikae ndani wakati minada ipo?
Twende Tanga marathon 5/4/2020twende na sie basi
Hivi kweli event kama ile unategemea wataenda wanariadha tu?! Kuna walioenda kukimbia na wengine wameenda kula bata.Juzi kuna malaya redstone alianza kumchamba hawara wake πππ kwamba akamsumbue mkewe anaompikia michicha aachane nayeye.
Jamaa kwa aibu likaanza kumvuta nywele yule malaya mara chupa zikapasuliwa! π€£π€£π€£
Hii inaashiria kwamba kuna ukweli juu ya watu wanaenda kwa malengo ya kufanya picnic na ufuska tofauti kabisa na Marathon yenyewe!
Twende Tanga marathon 5/4/2020
Na zile vazi za mazoezi aiseeendo maana nimeclose chapter manake marathon na gym ndo chaka jipya la ufuska
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ Basi sawa
Anataka tu kuwakosesha vidume ushindi mana wakiangalia tu hiyo chura lazima watapoteza direction kwenye kukimbia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Gym na marathon sasa ndio machimbo rasmi ya udangaji. Yani unakuta mwanamke kavaa tight fupi see-through nae yupo gym anafanya mazoezi akiambiwa inama mambo yote wazi. Sikuhizi ukiona mwanaume kakazana jumatatu hadi jumamosi gym dada kama ni mumeo fanya tu uunge tela maana utamkuta mwana si wako.
ndo maana nimeclose chapter manake marathon na gym ndo chaka jipya la ufuska
Sent using Jamii Forums mobile app