Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Huo wivu, yaonekana umekosa hata wa kukusalimia so unaamua kumwaga mboga. Wacha watu wafurahie uumbaji wa Mungu Mwenye enzi yoye, Watu wanapunguza pia mastress, huwezi kila siku unakunywa coca, kunakipindi unatamani angalau ston tangawizi😎

sina cha kukujibu hivi kuna mwanamke anakosaga mwanaume??labda aaamuee kuwa hataki


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mwanaume anatoka nje, ujue ndani kuna shida....(Tumefunga maada)

Sent using Jamii Forums mobile app
Tushike lipi enyi wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani umeona nini mama?
 
Acha mabaharia tufaidi madem za watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mekuz ingekuwepo sjui pngekuwaje

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujatusaidia
Umeona nini?
Nini kifanyike?
Kili marathon inachukua watu kutoka pande zote za dunia,lengo kuu ni kusisimua utalii
Kwa hiyo watu wanakwenda kushiriki na kutangaza vivutio vya utalii,kama kuna mabazazi halikwepeki hilo
 
Wazo jema ila umeliongea negative sana! Kumbuka ni mkusanyiko wa watu wengi na kwa miaka ya karibuni imeonesha kushika kasi kubwa na kuongeza pato la nchi na mkoa kwa ujumla wake.

Kuwepo kwa ufuska ni tabia tu za baadhi ya watu wachache walioamua kufanya hivyo na ikumbukwe tu huwezi mlinda kila mtu kwasababu hata huko maofisini wanawake kwa wanaume wanatianaaa sana tu tenaaa mnooo kuliko hata tukio hilo la kilimarathoni.

Tusipende kuongea sana negative negativeeee,,penye wengi pana mengi mbona misemo iko wazi? Na hata zamani walikuwepo wachepukaji kili marathon sema sikuhizi inajulikana sana na watu wanafurahia Mara moja moja.

Mama la mama, ukiona vepeee jikusanye na mmeo mfate hapo nyuma maana hatoibiwa! Wala hata tia nje!

Just thinking aloud!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…