Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

toka uanze kunywa kavu kavu inakupeleka vibaya eeh.

Madame B bishanga hakupongezi mpaka ufanye yafuatayo kisha umfuate:
1. Piga chini fasta wafuatao ( in that order): Chimbuvu tedo, Chilli, CHAI CHUNGU, Arusha one, Chibolo.... kiplagati26 huwezi kumpata ni incommunicado ana kazi maalum kenya.
2. Usingonoke nao tena si kwa vitendo tu bali pia kwa maneno na kwa mawazo
3. Weka picha yangu full time kwenye mkoba wako
4. Tumia perfume ambazo nimekununulia mimi na si nyingine
5. Hicho kimkoko uchwara alichokununulia Arushaone tupa kurrrreee,kuna rav4 brand new inakusubiri international motor mart,kaichukue
6. Tumba,marimba,magitaa,saxaphone na mazagazaga mengine ya @ chimbuvu tupa dampo
7. Mkopo uliiomba pride kau cancel,mi nna hela banaa
8. Ushoga na gfsonwin stop,siutaki,anakupeleka kwa vigagula
9. Koma kumsikiliza Mamndenyi
10. Jifunze kumenya ndizi
Ukishatimiza hayo kachukue tiketi yako klm ,kwea pipa utanikuta Amsterdam Radisson hotel
 
Ila watu wengine bana . . . .
Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!

Anyways . . . kila la kheri Madam.

Ushauri mzuri ila uliyempatia huo ushauri sasa....., heri ungekaa nao ushauri wako ili usijutie kuupoteza...BTW mbona umeadimika sana...
 
Angalia sifa hizo.....


Hongera mpenzi wangu.Nilipojiunga JF miaka 6 iliyopita nilisubiri kwa muda wa miaka 5 hadi nilipokutana na wewe.Sikuamini kama JF ingenipatia mke.JF imelipatia taifa First Lady!

Mpenzi Madame B,My love for you will never die


My dear Ben Saanane,.......... naamini Mungu ana makusudi yake makuu kunileta humu JF,
Kwani ningeendelea kubaki uraiani kamwe nisingekutana na Mume mwema kama wewe.
Hakika wewe kwangu una thamani kubwa kuliko mboni ya jicho langu.
Naamini jicho langu halikukosea kukuona na kukupenda wewe.
Ulisubiri kwa miaka mitano, lakini sasa unaishi kwa furaha milele.

Naahidi kukupenda na kuwa na wewe mpaka kifo kitakapotutenganisha,
Ni mimi wako Kipenzi,
Madame B.

i-love.jpg


Celine Dion - I Love You - YouTube
 
Last edited by a moderator:
Nipo Madame B. Ninakupenda pia, unasaidia sana kuchangamsha majukwaa kwa comments/replies zako.

May God Bless You.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

asante sana rafiki yangu Sumu,......
Nakushukuru kwa kutambua mchango wangu humu.
asante.
 
Last edited by a moderator:
My dear Ben Saanane,.......... naamini Mungu ana makusudi yake makuu kunileta humu JF,
Kwani ningeendelea kubaki uraiani kamwe nisingekutana na Mume mwema kama wewe.
Hakika wewe kwangu una thamani kubwa kuliko mboni ya jicho langu.
Naamini jicho langu halikukosea kukuona na kukupenda wewe.
Ulisubiri kwa miaka mitano, lakini sasa unaishi kwa furaha milele.

Naahidi kukupenda na kuwa na wewe mpaka kifo kitakapotutenganisha,
Ni mimi wako Kipenzi,
Madame B.

i-love.jpg


Celine Dion - I Love You - YouTube

naota,
Naota,
Nadanganywa!
Sos
 
Last edited by a moderator:
My dear Ben Saanane,.......... naamini Mungu ana makusudi yake makuu kunileta humu JF,
Kwani ningeendelea kubaki uraiani kamwe nisingekutana na Mume mwema kama wewe.
Hakika wewe kwangu una thamani kubwa kuliko mboni ya jicho langu.
Naamini jicho langu halikukosea kukuona na kukupenda wewe.
Ulisubiri kwa miaka mitano, lakini sasa unaishi kwa furaha milele.

Naahidi kukupenda na kuwa na wewe mpaka kifo kitakapotutenganisha,
Ni mimi wako Kipenzi,
Madame B.

i-love.jpg


Celine Dion - I Love You - YouTube

naota,
Naota,
Nadanganywa!
Sos: mbaraka mwinshehe mwaruka
Kopi aione CHAI CHUNGU
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom