Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

Padri Mcharo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
1,899
Reaction score
3,688
Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...

EBANA SAWA :
Nimetoka jijini mara moja nimekuja mikoani huku kwa majukum ya kiofisi...

Kitu nilicho notice ni kuwa :

Nilipoiacha Chalinze tuu, kuanzia pale kuelekea morogoro mpaka huku Mwanza....
Sioni magari mazuri mazuri kama Dar es Salaam.....
Yaan tugari twa huku (private cars) tubaya tubaya tuu, tumechakaa chakaa, twa kizamani zamani....

Tugari twingi twa huku mikoani ni T443 ACK.... T407 AZQ Saana labda utakuta T553 BBD. Na mifano mingine kama hiyo...
Finding a car with plate number like T553 DHF is a NIGHTMARE!!!!!

SASA MAZEE :
Ndo kusema mabox kama Range, BMW, Prado nakadhalika yapo Dar pekee?????

YAAN ndio kusema kuwa NYIE WANAUME WA MIKOANI ni masikini kiasi hicho jaman???
Nimezunguka hapa wanapaita jijini Mwanza.. Gari kali kabisa ni NOAH.. Ndio wafanya biashara wakubwa wakubwa naona wanamiliki....

Ctaki kusema mimi nina gari ama sina, na kama ninalo ni aina gani....

ISSUE NI KUWA :
Wanaume wa Mikoani acheni ushamba basi, jichangeni muachane na hutu tugari tubaya tubaya..
Njooni Dar muone gari nzuri nzuri, kali kali na mpya mpya mazee....

Sababu leo niko free:
Ngoja niende Mecco nikaendelee na research yangu... Nikitoka huko namalizia Kirumba, Bwiru then Pasiansi.

I am out.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Wewe mwenyewe wa mkoani huoni hata kiswahili hujui
 
Huyu, kwanza bado mtoto, halafu ni mshamba kuliko hao anaowaita wa mikoani, na la mwisho, hata Think capacity yake ni low!
Kwani amejiona hao anaowaita wa mikoani kama vile yeye anaishi mbinguni kwa mtazamo wake amewashinda nn?
Akiri?
Elimu?
Mali?
Na, au amewashindaWote? Kwa vyote?
Dah! Ushamba mwingine
 
Magari ya watanzania mengi ni yale yale, iwe Dar au mkoa wowote nakuta harrier, rav 4, ist, carina, kluger chache, mengi yanacheza hapo aina nyingine chache sana
 
Me nazani huyu jamaa uengeneer wake ni wa uchizi yaani umetoka dar unaenda mikoni kuchunguza magari me nahisi pale kwa mtogole unapokaa pamekuchizisha. Jaribu kukua mkuu watu hawashindani magar wanashindana kuwekeza bro.
 
mkuu tatizo la huko mikoanI ni kwambA watu wanapesA bt wameng'ang'aniA kuficha fedhA ardhini badalA yA kufanya maendeleo kama kununua magarI ,kujengA nyumbA n.k nA mwisho wa siku tingatinga zinakujA kuzchimbuA
 
clear revelation of your stupidity. a mature boy you sit out there and post this rubbish!! You don't have anything sensible to do? most likely you do not own even a bike. mkiitwa mataahira mnalalamika.
 
Kwahiyo inamaana wewe umezaliwa Dar, umekula na kusoma Dar pekee?
 
Wanaume wa Dar mnakodi magari ili mpige selfie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…