Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

Utachoka zaidi pale mwanaume anapojitapa na kuringia mali za wanaume wenzie.
Ukute yeye hata huto tugari tubayatubaya hana.
Wanaume wa Dar wanamatatizo sana.
Mnisamehe sipendagi kutumia haya maneono(Mwanaume wa Dar)lakini leo imebidi.
 
bahati mbaya kwako ni kwamba Mwanza kuna wanawake wazuri sana
wala hatuhitaji mashoga kutoka Dar kuja kutuhudumia huku,
i think mingo zako zimebuma,
by the way utazunguka jiji zima hutampata mteja wa bidhaa yako (gari lako la T ---DZZ) na ukitoka huko Pasiansi pitia hapa Diamond kona ya bwiru alau nikupe hata bia mbili upotezee muda then ukalale.
 
Utachoka zaidi pale mwanaume anapojitapa na kuringia mali za wanaume wenzie.
Ukute yeye hata huto tugari tubayatubaya hana.
Wanaume wa Dar wanamatatizo sana.
Mnisamehe sipendagi kutumia haya maneono(Mwanaume wa Dar)lakini leo imebidi.
Hawajui kutafuta pesa.ni kujipodoa tu
 
Mainjinia wa Bongo hao. Hata njiti za kuchokonolea meno tunaagiza China lakini yeye yuko bize kuangalia upya na ukuu kuu wa magari. Mwaka 2020 nitampigia kura Eddo kama bado atakuwa na uchungu na Elimu, Elimu, Elimuuuu!
 
Chief eng toka kidogo angalau uende South alafu ukifka uwanja wa ndege angalia magari ya Dar anayoamini ni mapya.! Lazma kesho yake atakuja na uzi mpya wa kuponda magari aliyosema ni mapya.
 
Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...

EBANA SAWA :
Nimetoka jijini mara moja nimekuja mikoani huku kwa majukum ya kiofisi...

Kitu nilicho notice ni kuwa :

Nilipoiacha Chalinze tuu, kuanzia pale kuelekea morogoro mpaka huku Mwanza....
Sioni magari mazuri mazuri kama Dar es Salaam.....
Yaan tugari twa huku (private cars) tubaya tubaya tuu, tumechakaa chakaa, twa kizamani zamani....

Tugari twingi twa huku mikoani ni T443 ACK.... T407 AZQ Saana labda utakuta T553 BBD. Na mifano mingine kama hiyo...
Finding a car with plate number like T553 DHF is a NIGHTMARE!!!!!

SASA MAZEE :
Ndo kusema mabox kama Range, BMW, Prado nakadhalika yapo Dar pekee?????

YAAN ndio kusema kuwa NYIE WANAUME WA MIKOANI ni masikini kiasi hicho jaman???
Nimezunguka hapa wanapaita jijini Mwanza.. Gari kali kabisa ni NOAH.. Ndio wafanya biashara wakubwa wakubwa naona wanamiliki....

Ctaki kusema mimi nina gari ama sina, na kama ninalo ni aina gani....

ISSUE NI KUWA :
Wanaume wa Mikoani acheni ushamba basi, jichangeni muachane na hutu tugari tubaya tubaya..
Njooni Dar muone gari nzuri nzuri, kali kali na mpya mpya mazee....

Sababu leo niko free:
Ngoja niende Mecco nikaendelee na research yangu... Nikitoka huko namalizia Kirumba, Bwiru then Pasiansi.

I am out.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng

Imba taarabu kabisa... mwanaume wa Dar ktk ubora wako
 
Daah.. Ukosefu wa ajira kwa mainjinia ni janga la taifa.. Sasa kama chief injinia anafanya kazi hizi je fundi mchundo afanye nin?
Huyu ni kilaza. Injinia unategemea ajira au unatengeneza ajira? Amekariri tu huyu
 
Huyu ni ******. Injinia unategemea ajira au unatengeneza ajira? Amekariri tu huyu

BLAZA
Cjaelewa hapo umenitukana mimi au huyo Kodofan....
Kama ni Kodofan you are safe. Lakin kama ni mimi kuna mawili, either unatania au uko serious.
Kama unatania you are safe, kama uko serious kuna mawili....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Chief eng toka kidogo angalau uende South alafu ukifka uwanja wa ndege angalia magari ya Dar anayoamini ni mapya.! Lazma kesho yake atakuja na uzi mpya wa kuponda magari aliyosema ni mapya.


WE nawe umekula MAHARAGWE YA WAPI WEWE..
Mi naongelea magari ya Dar Vs mikoani.. Hapa TZ.
Acha kukapulia macho pasipo Husika.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
BLAZA
Cjaelewa hapo umenitukana mimi au huyo Kodofan....
Kama ni Kodofan you are safe. Lakin kama ni mimi kuna mawili, either unatania au uko serious.
Kama unatania you are safe, kama uko serious kuna mawili....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Tusi gani mkuu?
 
bora hata angekuwa mwanaume wa dar tatizo zaidi ni kavulana ka dar


Acheni USHAMBA.....
Pelekeni dampo huto tugari tubaya tubaya..
Njoooni dar mchukue gari nzuri nzuri..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Hawajui kutafuta pesa.ni kujipodoa tu


NDIO.
Tunajipodoa sababu tuna hela...
Nyie hamna hela, maisha magumu muda wa kujipodoa mtaupata wapi...

Acheni USHAMBA.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Back
Top Bottom