Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Ngoja Magufuli aanze kuyapigia kodi ya anasa kila mwaka hayo magari.Chief Engineer anafanya kazi ya paparazi...................
Watayauza wenyewe, halafu wakute mnunuzi hayupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja Magufuli aanze kuyapigia kodi ya anasa kila mwaka hayo magari.Chief Engineer anafanya kazi ya paparazi...................
yawezekana hata baiskeli huna afu unajidai dar kuna hammerWe nawe cjui umekula MAHARAGWE YA WAPI WEWE....
Sasa uengineer na gari za SSB zina relate vipi..
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Nenda atown ukakutane na watoto wa mujini mazimbaNDIO MKUU.
LINGINE???
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Hawajui kutafuta pesa.ni kujipodoa tuUtachoka zaidi pale mwanaume anapojitapa na kuringia mali za wanaume wenzie.
Ukute yeye hata huto tugari tubayatubaya hana.
Wanaume wa Dar wanamatatizo sana.
Mnisamehe sipendagi kutumia haya maneono(Mwanaume wa Dar)lakini leo imebidi.
Atakua jinsia tofauti na picha yakeMtoa thread naomba kujua jinsia yako tafadhari
bora hata angekuwa mwanaume wa dar tatizo zaidi ni kavulana ka darmtoa mada chokoo
Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...
EBANA SAWA :
Nimetoka jijini mara moja nimekuja mikoani huku kwa majukum ya kiofisi...
Kitu nilicho notice ni kuwa :
Nilipoiacha Chalinze tuu, kuanzia pale kuelekea morogoro mpaka huku Mwanza....
Sioni magari mazuri mazuri kama Dar es Salaam.....
Yaan tugari twa huku (private cars) tubaya tubaya tuu, tumechakaa chakaa, twa kizamani zamani....
Tugari twingi twa huku mikoani ni T443 ACK.... T407 AZQ Saana labda utakuta T553 BBD. Na mifano mingine kama hiyo...
Finding a car with plate number like T553 DHF is a NIGHTMARE!!!!!
SASA MAZEE :
Ndo kusema mabox kama Range, BMW, Prado nakadhalika yapo Dar pekee?????
YAAN ndio kusema kuwa NYIE WANAUME WA MIKOANI ni masikini kiasi hicho jaman???
Nimezunguka hapa wanapaita jijini Mwanza.. Gari kali kabisa ni NOAH.. Ndio wafanya biashara wakubwa wakubwa naona wanamiliki....
Ctaki kusema mimi nina gari ama sina, na kama ninalo ni aina gani....
ISSUE NI KUWA :
Wanaume wa Mikoani acheni ushamba basi, jichangeni muachane na hutu tugari tubaya tubaya..
Njooni Dar muone gari nzuri nzuri, kali kali na mpya mpya mazee....
Sababu leo niko free:
Ngoja niende Mecco nikaendelee na research yangu... Nikitoka huko namalizia Kirumba, Bwiru then Pasiansi.
I am out.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Huyu ni kilaza. Injinia unategemea ajira au unatengeneza ajira? Amekariri tu huyuDaah.. Ukosefu wa ajira kwa mainjinia ni janga la taifa.. Sasa kama chief injinia anafanya kazi hizi je fundi mchundo afanye nin?
Huyu ni ******. Injinia unategemea ajira au unatengeneza ajira? Amekariri tu huyu
Chief eng toka kidogo angalau uende South alafu ukifka uwanja wa ndege angalia magari ya Dar anayoamini ni mapya.! Lazma kesho yake atakuja na uzi mpya wa kuponda magari aliyosema ni mapya.
Tusi gani mkuu?BLAZA
Cjaelewa hapo umenitukana mimi au huyo Kodofan....
Kama ni Kodofan you are safe. Lakin kama ni mimi kuna mawili, either unatania au uko serious.
Kama unatania you are safe, kama uko serious kuna mawili....
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
bora hata angekuwa mwanaume wa dar tatizo zaidi ni kavulana ka dar
Hawajui kutafuta pesa.ni kujipodoa tu