Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

i think mingo zako zimebuma,
by the way utazunguka jiji zima hutampata mteja wa bidhaa yako (gari lako la T ---DZZ) na ukitoka huko Pasiansi pitia hapa Diamond kona ya bwiru alau nikupe hata bia mbili upotezee muda then ukalale.

ACHA UJINGA.
Engineer nimekuja mikoani kikazi.
Cjaja kunywa pombe.... Kama ni bia nimeziacha makao makuu ya TBL na Serengeti Dar es Salaam...

Nimekuja kuwatoa ushamba na kuwa janja rusha kuwa pelekeni dampo huto tugari tubaya tubaya, njooni dar mnunue gari nzuri nzuri.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Utachoka zaidi pale mwanaume anapojitapa na kuringia mali za wanaume wenzie.
Ukute yeye hata huto tugari tubayatubaya hana.
Wanaume wa Dar wanamatatizo sana.
Mnisamehe sipendagi kutumia haya maneono(Mwanaume wa Dar)lakini leo imebidi.


Wanawake wa mikoani bana...

Mimi naongea na wanaume wa mikoani, wewe cjui umekula MAHARAGWE YA WAPI WEWE unavurumuka tuu na povu mdomoni....

Au niwachane nanyie wanawake wa mikoani USHAMBA wenu niloukuta huku????

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
yawezekana hata baiskeli huna afu unajidai dar kuna hammer

FAZA.
Home kwangu nina magari mawili...
Langu na la kampuni..

My private car nalitumia mara moja moja sana, most of the time natumia gari la kampuni...

Karibu dar utoe tongo tongo la ushamba...
Kuna magari mazuri, nyumba kali, pamba kali, madem wakali... Kila kitu kikali..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
We kama ni msomi hewa!! Umekuja Mwanza kufanya utafiti wa aina ya magari? Unafaidika na nn?

Inaonekana huna ajira, njoo hapa kamanga ujifunze kuvua samaki..
 
Acha kutafuta kiki mkuu!!
 
Mm nikiwa dar naona mababy walkers yamejaa kibao tofaut na uku nilipo Mtwara,
 
tushawazoea mkuu....bosi hajiendeshi ungepewa dereva kama kweli we ni chief engineer
 
Wanaume wa dar unaona gar ndio kitu cha samani sana chakutolea mfano
 
Mnanunua Ma Prado used mil 40, sisi tunanunua Matrekta mapya mil 65. Hizo Noah tunabebea Magunia ya Hela. Huko Buzuruga kuwa makini utaolewa...kunawatu wanapesa za samaki balaaaaa
 
Wanaume wa Mwanza Bwabwa hilo, japokua hajalipia tangazo lake, mimi ntamlipia, wanaume wa Dar wamefuata ukuni wa kweli wa mkoani,... Ashughulikiwe huyo.... Duuh! Dar hapana mwanaume aisee! [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Mnanunua Ma Prado used mil 40, sisi tunanunua Matrekta mapya mil 65. Hizo Noah tunabebea Magunia ya Hela. Huko Buzuruga kuwa makini utaolewa...kunawatu wanapesa za samaki balaaaaa


MAGUNIA YA HELA?????
Mnapeleka wapi... Kuchimbia ardhini zioze mpaka magreda yanakuja kutifua????

Hehehehe... Acheni USHAMBA.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Wanaume wa dar unaona gar ndio kitu cha samani sana chakutolea mfano


MKUU...
Gari ndio kipimo direct cha maendeleo ya mtu.
Mambo ya nyumba na balance ya bank account ni siri ya mtu...
Lakin gari tunaiona, ile pale na tunaweza kuithaminisha...

Acheni USHAMBA wanaume wa mikoani.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Nilipokuona tu, nilijua wewe ni mwanaume wa Dar. Ulikuwa umevaa kisuruali kama cha kike kimebana sana pia kimechanwa chanwa! Ulikuja kuulizia chipsi pale kirumba mi nikiwa pembeni napiga dona sangara! Ulinihuzunisha sana!!
 
ha ha hii mada imenikumbusha moshi na Arusha..baadhi ya wadau unakuta ana kagari kabovu ka zamani kamapigwa rim za sport.mziki mkubwa na mataa ya fuso...burdani sana!

Yote kwa yote..

huduma ya usafiri mtu anaipata hivyo maisha yanasonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…