Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

clear revelation of your stupidity. a mature boy you sit out there and post this rubbish!! You don't have anything sensible to do? most likely you do not own even a bike. mkiitwa mataahira mnalalamika.

ACHENI USHAMBA BANA....
TAFUTENI HELA NUNUENI GARI NZURI NZURI BANA....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Si kwamba Gari zote zenye namba za d ni mpya.,nyingine ni kuu kuu tu! Zimebadili namba.ufahamu wa mtoa Uzi inawezekana sio mkubwa juu LA hili.


Sawa. Lakin ukweli utabak pale pale.

Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Mwanza mbona gari nzur zipo kibao

Ziko wapi.. Mbona naangaza hazionekani?????

Butimba, Nyasaka, buswelu, mabatini, buzuruga, nyegezi au wapi zilipo!!!!!!

ACHENI USHAMBA.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Me nazani huyu jamaa uengeneer wake ni wa uchizi yaani umetoka dar unaenda mikoni kuchunguza magari me nahisi pale kwa mtogole unapokaa pamekuchizisha. Jaribu kukua mkuu watu hawashindani magar wanashindana kuwekeza bro.


ACHA UBOYA...

Nimesema nipo mikoani kiofisi...
Kwa sababu leo niko free ndio nimeamua kufanya hii simple research....

Gari la kampuni, mafuta ya kampuni... Muda ninao ndio Maana nafanya utafiti huu....

Ndio nyie mnachimbia hela ardhini magreda yanakuja kuzifukua...
Badala mnunue magari makali....

ACHENI USHAMBA.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Wamikoani wananunua matrekta na malory kwa ajili ya kilimo

ACHA UONGO.

WANAUME WA MIKOANI hawana hela ya kununua matrector na malory kama tu vigari valivyo navyo vibaya vibaya... Havina hadhi, vimechoka, vya kizamani... Havivutii...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Tupia picha ya gari yako hapa tuione kwanza, chief eng

Gari yangu nimeiacha dar kwa shemeji yako..
Hapa nipo na gari ya kampuni, unataka picha yake????

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Huyu, kwanza bado mtoto, halafu ni mshamba kuliko hao anaowaita wa mikoani, na la mwisho, hata Think capacity yake ni low!
Kwani amejiona hao anaowaita wa mikoani kama vile yeye anaishi mbinguni kwa mtazamo wake amewashinda nn?
Akiri?
Elimu?
Mali?
Na, au amewashindaWote? Kwa vyote?
Dah! Ushamba mwingine


ACHA UBOYA.

Nimewashinda akili kwa sababu najua kutafuta hela na namna ya kuzitumia, sio kuzichimbia ardhini mpaka ma greda yanakuja kuwa aibisha..

Nimewashinda elimu sababu mie ni Engineer.. Huko mikoani hakuna ma Engineer, engineer karibu wote tuko Dar, mikoani tunakuja kufanya kazi then tunarud dar....
Uko hapo????

Kifupi ni kuwa nimewazidi karibu kila kitu, ingawa sio wote....

ACHENI USHAMBA
NUNUENI magari mazuri mazuri bana.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
ACHA UBOYA...

Nimesema nipo mikoani kiofisi...
Kwa sababu leo niko free ndio nimeamua kufanya hii simple research....

Gari la kampuni, mafuta ya kampuni... Muda ninao ndio Maana nafanya utafiti huu....

Ndio nyie mnachimbia hela ardhini magreda yanakuja kuzifukua...
Badala mnunue magari makali....

ACHENI USHAMBA.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Gari la "njemba" wa dar
 

Attachments

  • 1476180752170.png
    1476180752170.png
    130.3 KB · Views: 34
Ziko wapi.. Mbona naangaza hazionekani?????

Butimba, Nyasaka, buswelu, mabatini, buzuruga, nyegezi au wapi zilipo!!!!!!

ACHENI USHAMBA.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Dogo naona umekuja kushangaa gari za mikoani kwa mwanza kama unataka kushangaa magari mazuri makubwa simama hapo garden/kemondo barabara ya airport, kaplpoint, bwiru kule chini.
 
ACHA UBOYA.

Nimewashinda akili kwa sababu najua kutafuta hela na namna ya kuzitumia, sio kuzichimbia ardhini mpaka ma greda yanakuja kuwa aibisha..

Nimewashinda elimu sababu mie ni Engineer.. Huko mikoani hakuna ma Engineer, engineer karibu wote tuko Dar, mikoani tunakuja kufanya kazi then tunarud dar....
Uko hapo????

Kifupi ni kuwa nimewazidi karibu kila kitu, ingawa sio wote....

ACHENI USHAMBA
NUNUENI magari mazuri mazuri bana.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
0brn
 
Thread zingine kweli hazina msaada, hapa sijajifunza chochote cha maana
 
mkuu vp unalo la kwako au unajidaia gari za bakhressa


We nawe cjui umekula MAHARAGWE YA WAPI WEWE....

Sasa uengineer na gari za SSB zina relate vipi..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
naona wanaume wa mikoani wamekuja kwa jazba ila ukweli utabaki palepale mfano huwez kulinganisha daladala za town ya dodoma na zile za banana kitunda
 
Back
Top Bottom