Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu... Hii imekaaje mazee!!!!

Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...

EBANA SAWA :
Nimetoka jijini mara moja nimekuja mikoani huku kwa majukum ya kiofisi...

Kitu nilicho notice ni kuwa :

Nilipoiacha Chalinze tuu, kuanzia pale kuelekea morogoro mpaka huku Mwanza....
Sioni magari mazuri mazuri kama Dar es Salaam.....
Yaan tugari twa huku (private cars) tubaya tubaya tuu, tumechakaa chakaa, twa kizamani zamani....

Tugari twingi twa huku mikoani ni T443 ACK.... T407 AZQ Saana labda utakuta T553 BBD. Na mifano mingine kama hiyo...
Finding a car with plate number like T553 DHF is a NIGHTMARE!!!!!

SASA MAZEE :
Ndo kusema mabox kama Range, BMW, Prado nakadhalika yapo Dar pekee?????

YAAN ndio kusema kuwa NYIE WANAUME WA MIKOANI ni masikini kiasi hicho jaman???
Nimezunguka hapa wanapaita jijini Mwanza.. Gari kali kabisa ni NOAH.. Ndio wafanya biashara wakubwa wakubwa naona wanamiliki....

Ctaki kusema mimi nina gari ama sina, na kama ninalo ni aina gani....

ISSUE NI KUWA :
Wanaume wa Mikoani acheni ushamba basi, jichangeni muachane na hutu tugari tubaya tubaya..
Njooni Dar muone gari nzuri nzuri, kali kali na mpya mpya mazee....

Sababu leo niko free:
Ngoja niende Mecco nikaendelee na research yangu... Nikitoka huko namalizia Kirumba, Bwiru then Pasiansi.

I am out.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Jipu ww na pengine ulipo si kanda ya ziwa usiongelee Ndinga za kiDon Rock city zipo za kusaza tuu Nichek 0712 135745 nikuoneshe jiji na BMW X5 nikupeleke mitaa ambayo watoto Wa Mwanza tunafanya yetu kapri point,kirumba,bwiru,Rufiji,Nyakato,Bugando,Sahara na mitaa flan mabatini uswahilin uone ndinga za kileo zilivyonyuti then ntakuachia Verrosa urudi nayo ulikotoka ukawaambie imetoka Mwanza jiji lenye miamba........View attachment 1476215783909.jpg
 
Vita ya vijana wa Arusha na Mwanza inaendelea safari hii jina la Dar es salaam linatumika kuiponda Mwanza
 
Jipu ww na pengine ulipo si kanda ya ziwa usiongelee Ndinga za kiDon Rock city zipo za kusaza tuu Nichek 0712 135745 nikuoneshe jiji na BMW X5 nikupeleke mitaa ambayo watoto Wa Mwanza tunafanya yetu kapri point,kirumba,bwiru,Rufiji,Nyakato,Bugando,Sahara na mitaa flan mabatini uswahilin uone ndinga za kileo zilivyonyuti then ntakuachia Verrosa urudi nayo ulikotoka ukawaambie imetoka Mwanza jiji lenye miamba........View attachment 416397
Mkuu Verosa imeshapitwa na wakati bora ungekaa kimya
 
Utachoka zaidi pale mwanaume anapojitapa na kuringia mali za wanaume wenzie.
Ukute yeye hata huto tugari tubayatubaya hana.
Wanaume wa Dar wanamatatizo sana.
Mnisamehe sipendagi kutumia haya maneono(Mwanaume wa Dar)lakini leo imebidi.
Tumia tu dadangu kuitwa mwanaume wa Dar ni fahari kubwa tz.Ni sifa kubwa inayomtofautisha mwanaume wa kijijini na mjini
 
Haaaa haaa hakuna kitu kinawakera wajomba wa mkoani kama maumivu ya kuiangalia Dar kwenye Tv hapa lazima waje kile kimsemo chao kinachowafariji na wana hasira hao wakiuza au kukopa mbio wanajazana kwa wajanja wajifunze burudani.
 
Ukiona hivyo ujue wanaume wa mkoani tulianza kumiliki ndinga kitambo, tangu kipindi kile unapanda daladala kwa fisi tu(50Tshs) sisi tunayakwetu.

Tangu ununue toyota vitz mkuu hatulali!!!
 
ACHA UBOYA.

Nimewashinda akili kwa sababu najua kutafuta hela na namna ya kuzitumia, sio kuzichimbia ardhini mpaka ma greda yanakuja kuwa aibisha..

Nimewashinda elimu sababu mie ni Engineer.. Huko mikoani hakuna ma Engineer, engineer karibu wote tuko Dar, mikoani tunakuja kufanya kazi then tunarud dar....
Uko hapo????

Kifupi ni kuwa nimewazidi karibu kila kitu, ingawa sio wote....

ACHENI USHAMBA
NUNUENI magari mazuri mazuri bana.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Ndioo mawazo ya baadh ya wanaojiita wasomi
 
Wanaume wa mkoani wakiona Land Cruiser wanajua ni gari la wanyonya damu.Wakiona watalii wamevaa smart glass wanasema wanachunguliwa sehemu za siri.Wananikumbusha enzi za kina Zinjanthropus.
 
Umedhalilisha sana taaluma ya uhandisi aiseee looooooooh!
 
lugha unayotumia inaonyesha nawe ni wa mkoani hasa Mkoani Mbeya


MKUU....
Mi mtoto wa town babu.... Huoni tu swagger zangu mzee???
Njoo hapa Nyakato mecco uone madem wa Mwanza wanavo nishobokea, mpaka nimeamua nikimbie nirud zangu hotelini nikalale tuu..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Jipu ww na pengine ulipo si kanda ya ziwa usiongelee Ndinga za kiDon Rock city zipo za kusaza tuu Nichek 0712 135745 nikuoneshe jiji na BMW X5 nikupeleke mitaa ambayo watoto Wa Mwanza tunafanya yetu kapri point,kirumba,bwiru,Rufiji,Nyakato,Bugando,Sahara na mitaa flan mabatini uswahilin uone ndinga za kileo zilivyonyuti then ntakuachia Verrosa urudi nayo ulikotoka ukawaambie imetoka Mwanza jiji lenye miamba........View attachment 416397


Basi hiyo kapripoint mnaitegema kishenz kujitunisha kuwa nanyie mna mitaa classic kama ya Jijini Dar.....
Nimezunguka mitaa yote uliotaja hapo hamna kitu, naona tu Noah Noah tu ndio tumejaa...

Acheni USHAMBA wanaume wa mikoani.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
MKUU....
Mi mtoto wa town babu.... Huoni tu swagger zangu mzee???
Njoo hapa Nyakato mecco uone madem wa Mwanza wanavo nishobokea, mpaka nimeamua nikimbie nirud zangu hotelini nikalale tuu..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Ahahahah! haina shida Injinia endelea kutujuza yanayojiri maana hao vijana wa mikoani wanajisifia kula vyakula vigumu kisha kwenda kujisaidia vitu vigumu😀😀😀
 
Kumbe kabla ya kuhongwa huwa mnapima thamani za magari
 
Basi hiyo kapripoint mnaitegema kishenz kujitunisha kuwa nanyie mna mitaa classic kama ya Jijini Dar.....
Nimezunguka mitaa yote uliotaja hapo hamna kitu, naona tu Noah Noah tu ndio tumejaa...

Acheni USHAMBA wanaume wa mikoani.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Kumbe unajua kuna mitaa Classic
 
Back
Top Bottom