Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Sawa ni tubaya ila Peugeot 504 ni nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipu ww na pengine ulipo si kanda ya ziwa usiongelee Ndinga za kiDon Rock city zipo za kusaza tuu Nichek 0712 135745 nikuoneshe jiji na BMW X5 nikupeleke mitaa ambayo watoto Wa Mwanza tunafanya yetu kapri point,kirumba,bwiru,Rufiji,Nyakato,Bugando,Sahara na mitaa flan mabatini uswahilin uone ndinga za kileo zilivyonyuti then ntakuachia Verrosa urudi nayo ulikotoka ukawaambie imetoka Mwanza jiji lenye miamba........View attachment 1476215783909.jpgNiaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...
EBANA SAWA :
Nimetoka jijini mara moja nimekuja mikoani huku kwa majukum ya kiofisi...
Kitu nilicho notice ni kuwa :
Nilipoiacha Chalinze tuu, kuanzia pale kuelekea morogoro mpaka huku Mwanza....
Sioni magari mazuri mazuri kama Dar es Salaam.....
Yaan tugari twa huku (private cars) tubaya tubaya tuu, tumechakaa chakaa, twa kizamani zamani....
Tugari twingi twa huku mikoani ni T443 ACK.... T407 AZQ Saana labda utakuta T553 BBD. Na mifano mingine kama hiyo...
Finding a car with plate number like T553 DHF is a NIGHTMARE!!!!!
SASA MAZEE :
Ndo kusema mabox kama Range, BMW, Prado nakadhalika yapo Dar pekee?????
YAAN ndio kusema kuwa NYIE WANAUME WA MIKOANI ni masikini kiasi hicho jaman???
Nimezunguka hapa wanapaita jijini Mwanza.. Gari kali kabisa ni NOAH.. Ndio wafanya biashara wakubwa wakubwa naona wanamiliki....
Ctaki kusema mimi nina gari ama sina, na kama ninalo ni aina gani....
ISSUE NI KUWA :
Wanaume wa Mikoani acheni ushamba basi, jichangeni muachane na hutu tugari tubaya tubaya..
Njooni Dar muone gari nzuri nzuri, kali kali na mpya mpya mazee....
Sababu leo niko free:
Ngoja niende Mecco nikaendelee na research yangu... Nikitoka huko namalizia Kirumba, Bwiru then Pasiansi.
I am out.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Mkuu Verosa imeshapitwa na wakati bora ungekaa kimyaJipu ww na pengine ulipo si kanda ya ziwa usiongelee Ndinga za kiDon Rock city zipo za kusaza tuu Nichek 0712 135745 nikuoneshe jiji na BMW X5 nikupeleke mitaa ambayo watoto Wa Mwanza tunafanya yetu kapri point,kirumba,bwiru,Rufiji,Nyakato,Bugando,Sahara na mitaa flan mabatini uswahilin uone ndinga za kileo zilivyonyuti then ntakuachia Verrosa urudi nayo ulikotoka ukawaambie imetoka Mwanza jiji lenye miamba........View attachment 416397
Ungekaa kimya ww ingekua better zaidMkuu Verosa imeshapitwa na wakati bora ungekaa kimya
lugha unayotumia inaonyesha nawe ni wa mkoani hasa Mkoani MbeyaSawa. Lakin ukweli utabak pale pale.
Tugari twa mikoani tubaya tubaya tuu....
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Tumia tu dadangu kuitwa mwanaume wa Dar ni fahari kubwa tz.Ni sifa kubwa inayomtofautisha mwanaume wa kijijini na mjiniUtachoka zaidi pale mwanaume anapojitapa na kuringia mali za wanaume wenzie.
Ukute yeye hata huto tugari tubayatubaya hana.
Wanaume wa Dar wanamatatizo sana.
Mnisamehe sipendagi kutumia haya maneono(Mwanaume wa Dar)lakini leo imebidi.
Ndioo mawazo ya baadh ya wanaojiita wasomiACHA UBOYA.
Nimewashinda akili kwa sababu najua kutafuta hela na namna ya kuzitumia, sio kuzichimbia ardhini mpaka ma greda yanakuja kuwa aibisha..
Nimewashinda elimu sababu mie ni Engineer.. Huko mikoani hakuna ma Engineer, engineer karibu wote tuko Dar, mikoani tunakuja kufanya kazi then tunarud dar....
Uko hapo????
Kifupi ni kuwa nimewazidi karibu kila kitu, ingawa sio wote....
ACHENI USHAMBA
NUNUENI magari mazuri mazuri bana.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
lugha unayotumia inaonyesha nawe ni wa mkoani hasa Mkoani Mbeya
Jipu ww na pengine ulipo si kanda ya ziwa usiongelee Ndinga za kiDon Rock city zipo za kusaza tuu Nichek 0712 135745 nikuoneshe jiji na BMW X5 nikupeleke mitaa ambayo watoto Wa Mwanza tunafanya yetu kapri point,kirumba,bwiru,Rufiji,Nyakato,Bugando,Sahara na mitaa flan mabatini uswahilin uone ndinga za kileo zilivyonyuti then ntakuachia Verrosa urudi nayo ulikotoka ukawaambie imetoka Mwanza jiji lenye miamba........View attachment 416397
Ahahahah! haina shida Injinia endelea kutujuza yanayojiri maana hao vijana wa mikoani wanajisifia kula vyakula vigumu kisha kwenda kujisaidia vitu vigumu😀😀😀MKUU....
Mi mtoto wa town babu.... Huoni tu swagger zangu mzee???
Njoo hapa Nyakato mecco uone madem wa Mwanza wanavo nishobokea, mpaka nimeamua nikimbie nirud zangu hotelini nikalale tuu..
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Kumbe unajua kuna mitaa ClassicBasi hiyo kapripoint mnaitegema kishenz kujitunisha kuwa nanyie mna mitaa classic kama ya Jijini Dar.....
Nimezunguka mitaa yote uliotaja hapo hamna kitu, naona tu Noah Noah tu ndio tumejaa...
Acheni USHAMBA wanaume wa mikoani.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Ndo kitu gani hapo kwenye rangi mkuu??uuuuuwiiiiiii magar dar Arusha veeeeppppp hajafika huyo