Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁Zinatua sana kware,njiwa ,vipurwe,bata mzinga nk
Zinatua. Wasafiri wa huko wapoHivi pale ndege hazitui siku hizi?
Kweli mkuu, hizo kamba ni imara sana.Ile vile vyandarua vya msaada vina kazi sana. Wanazuia kuku wasile bustani, wanabebea makopo na kamba zake ngumu balaa na haichafuki kirahisi.
Wakati huyo bwana anatapanya pesa, hatukuona, CCM haikuona? Bunge halikuona?Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
Ila bora ya Chato kuliko ya Gbadolote mkuu. Walau wa huku alijenga sehemu nyingi maeneo mengine ya nchi pia..Gbadolite of Tanzania..
Wasted taxpayers money!
That was simply a white elephant project due to Jiwe's arrogance
Still counting, we shall revisit
Chuo cha pilots, siyo kama chuo cha Ualimu ambapo unafikiria tu darasa na mahali pakulala.Kinajengwa chuo na hostel
Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
Vitu gani mbali na uwanja vinahitajika ambavyo vitatushinda kuvipata. Kitu kigumu na gharama kuliko vyote ni uwanja. Training aircraft za kufundishia zipo kibao tena kwa bei rahisi. Wakufunzi hawatushindi kupata. Jengo la chuo na hostel. Sijui zile simulators nk. Ni nia tu. Kama Nairobi na Ethiopia wana vyuo vya marubani sisi tutashindwa nini?Chuo cha pilots, siyo kama chuo cha Ualimu ambapo unafikiria tu darasa na mahali pakulala.
Wageni hawaendi Tena mwenyeji wao hayupo Tena.Hivi pale ndege hazitui siku hizi?
Ndege inatua ananunuliwa ng'ombe anapandishwa ndege, kwenda kuliwa, hivyo lazima wauzike kea bei nzuri zaidi.Kabisa. Mifugo ipate pahala bora pa kupumzika. In fact itaongeza thamani ya ng'ombe, mbuzi, na kondoo wa Tanzania soko la dunia.
Inasimikwa kuwa mkoa kesho kutwa.Gbadolite of Tanzania..
Wasted taxpayers money!
That was simply a white elephant project due to Jiwe's arrogance
Still counting, we shall revisit
Sure naunga mkono hojaIndeed, wazo nimelipenda pesa nyingi za walipa kodi zimetumika pale
Hivyo kitendo cha kuacha hivi hivi inauma mno Bora uwanja utumike kwa Mambo mengine kuliko kukaa bure
Banda bora kabisa lakini njiwa hawatui kule!Hivi pale ndege hazitui siku hizi?
uko sahh broWengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.