Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasimikwa kuwa mkoa kesho
Haisaidii kitu sababu kiuhalisia tunajua ni sababu za kisiasa tu kama ambavyo mambo mengi yaliyokuwa yanafanyikaInasimikwa kuwa mkoa kesho kutwa.
Tuiondoe NIT tuihamishie Mabibo ihamie Chato.Hapa ndio sawa sawa ....waanike udaga ....samaki mapanki mpunga pamba etc....
Tulikubaliana iwe sehemu ya kuandika mpunga na mihogo.TULiKubaliana sehemu ya mifugo kupumzikia, au tumebadili matumizi tuliyokubaliana.
Gud ideaWengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
neema inakuja kwa wana chato, subirini siku ya kuzimwa mwenye mtasikia uamuzi wa chato kuwa mkoa.Huyu mleta mada anataka sisi wananchi wa Chato tukose sehemu ya kuanikia nafaka.
Sina utaalamu na maswala yw anga lakin nakubaliana na wazo lako.Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
Uelewa ni mdg kwa mambo ya Anga ila siyo chato tu kuna mikoa pia viwanja vyake vipo tu kama njombe songea tabora na pengine ambapo sijapaona vitumike kwa mazoezi ya ukufunzi huo wa mambo ya angaSina utaalamu na maswala yw anga lakin nakubaliana na wazo lako.
Hakuna faida yoyote mkuu hata Chato ikiwa nchi. Bado wewe na familia yako mtapaswa kutafuta mkate wa kila siku kwa nguvu zenuneema inakuja kwa wana chato, subirini siku ya kuzimwa mwenye mtasikia uamuzi wa chato kuwa mkoa.
Kwanini zisijue wakati tunaanika mazaoHivi pale ndege hazitui siku hizi?
Watu hawajui tu kiwanja hicho kitafanya kazi sana hapo baadae maana mtu hawezi kutoka katoro akapa de ndege mwanza! Lakini vichwa pamzi hawawezi kuona na alhamisi unatangazwa kuwa mkoa!
Hakuna strategy nzuri ama kuwa na uwanja wa ndege utakao cover Uganda, Rwanda, Congo na Burundi na hata Kenya.Jeshi wanajenga viwanja vyao strategically. Huwezi tu kuwapa na kikawafaa.
*Una nia mbaya wewe! unataka wana kanda ya ziwa waangukiwe na ndege waumie. unataka wanafunz wajifunzie vichwan mwetu sio? hututakii mema wewe, waendelee huko huko dar kwen upande wa baharWengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.
Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.
Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
Ipo moja 4/5 star hotel ilikuwa inajengwa na TANAPA kwa sasa ni pagala la popo! Waikamilishe iwe hostel ya marubani watarajiwa! Hahaha Tanzania ulikuwa imepatwa na mwehu jambawazi!Endapo uwanja utafanywa kwa matumizi ya ku train pilots,changamoto itakuwa mahala pa kuwaweka hao pilots ie accomodation,best hotels za Chato ni sawa na guest hse za Sinza na Magomeni.
Hili nalo linaweza kuwa matumizi mazuri ya hoteli ile.Ipo moja 4/5 star hotel ilikuwa inajengwa na TANAPA kwa sasa ni pagala la popo! Waikamilishe iwe hostel ya marubani watarajiwa! Hahaha Tanzania ulikuwa imepatwa na mwehu jambawazi!