Tugeuze uwanja wa ndege Chato kuwa Chuo cha Urubani

Tugeuze uwanja wa ndege Chato kuwa Chuo cha Urubani

Chuo Cha Urubani tunajenga KIA huko ndio Kuna watu wenye akili, hapo itakuwa kituo labda cha ndege za kumwaga viua dudu
 
Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.

Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.

Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
Kwani vipi? Utalii wa Burigi sasa basi tena?
 
Kama kwa Sasa mnauona hauna maana,baadae mtajua jamaa alikuwa ginius,sio Kama ww unayewaza umbali wa mita moja.aliye leta mada ni ginius pia ,sio Kama ww popoma!!
" ginius" ndo nini we .........?
We ndio huoni zaidi ya mkojo wako unapoangukia
Badala ya kujibu hoja unaleta matusi and that speaks volumes of your mental capacity that is if you have any
 
Wooote!! Nyie wachangiaji humu hamkusoma school za international level.....EAC wanachama tuligawana majukumu ivo tulikubaliana tangu awali kabisa...kuwa chuo cha Marubani wote wa jumuiya kiwe Soroti.....sasa leo ukianzisha hapo ni kinyume....jiwe hakuw na uelewa kabisaaaa!! Jumuiyani tulipaswa kufuata miiko na utaratibu wa kugawana majukumu ya air ways flight...yapo wazi lkn jiwe alikiuka sababu ya umbumbumbu wake wa kutokujua nia madhumuni na malengo ya jumuiya yetu.hspo alikuwa mweupe...Rais ajaye ataapa kuilinda jumuiya.na wote wataapia makao makuu ya kumuiya.
 
kupanga ni kuchagua, tukichagua uwe na manufaa utakuwa na tukiamua kuususia usiwe na kazi itakuwa hivyo, offcourse ni issue ya ukosefu wa mipango kwa viongozi wetu kutokana na wengi kujali matumbo yao tu. Kwa ukubwa wa nchi yetu, wingi wa rasilimali zetu tulizojaliwa pia kwa umri wa nchi yetu tulionao tokea kupata uhuru, issue ya miundombinu ya viwanja vya ndege ilibidi iwepo kila wilaya tena viwanja yenye hadhi ya kimataifa ya wastani.
 
kupanga ni kuchagua, tukichagua uwe na manufaa utakuwa na tukiamua kuususia itakuwa hivyo, of course ni issue ya ukosefu wa mipango kwa viongozi wetu kutokana na wengi kujali matumbo yao tu. Kwa ukubwa wa nchi yetu, wingi wa rasilimari zetu tulizojaliwa pia kwa umri wa nchi yetu tulionao tokea kupata uhuru, issue ya miundombinu ya viwanja vya ndege ilibidi iwepo kila wilaya tena viwanja yenye hadhi ya kimataifa ya wastani.
Sio rahisi hivyo!!yaani uwanja kama huo ujengwe sehemu ambako shughuri za kiuchumi ziko nyuma, tena ulijengwa kutokana na siasa tu, uufanye uwe na manufaa kiuchumi?!!na sio uwanja tu, hayo majumba tu ya biashara ambayo watu walikimbilia kuwekeza huko sasa wanalia, sembuse kiwanja cha ndege chenye hadhi hiyo?!!
 
Sio rahisi hivyo!!yaani uwanja kama huo ujengwe sehemu ambako shughuri za kiuchumi ziko nyuma, tena ulijengwa kutokana na siasa tu, uufanye uwe na manufaa kiuchumi?!!na sio uwanja tu, hayo majumba tu ya biashara ambayo watu walikimbilia kuwekeza huko sasa wanalia, sembuse kiwanja cha ndege chenye hadhi hiyo?!!
hiyo inaweza kufungua fursa kwa maeneo mengine pia, sababu hadi leo hii usafiri wa ndege bongo ni anasa kitu ambacho kwa longterm plans za kiuchumi hakitakiwi kuwa hivyo... Chato ni sehemu ya Tanzania na waliopo pale ni Watanzania regardless kwa yaliyofanywa huko nyuma.... Bado hatma ya kuutumia uwanja huo kiuchumi au kisiasa ipo mikononi mwetu... Ni vile hatuja-turn huko sababu miundombinu ya kawaida tu ya barabara bado tunasua sua ndio maana hatabww unaamini huko itakuwa ni misuse of plans kufikiria kukitumia kiuchumi.
 
Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena.

Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za urubani maeneo hayo. Nchi inahitaji marubani, kuanzia ndege ndogo za kunyunyiza dawa mashambani na kuua nzige hadi wa kurusha dreamliner.

Naona hilo litakuwa ni matumizi mazuri ya uwanja ule.
tunahitaji akili kubwa kama hizi... Big up Expert Member.
 
Back
Top Bottom