Tuheshimu Ikulu, Tuwaheshimu viongozi wote Wateule, ni Watanzania wenzetu, Tuwaheshima kama ambavyo Baba na Mama yako anastahili heshima

✍️📝👍👌👏👊🤝🙏💐🎁🛡️
 
Kwahiyo Lissu anasema Uongo!??
 
Weka namba ya Simu mwishoni. Ni ushauri tu.
 
Viongozi lazima wawaheshimu wanchi?
Hakuna kiongozi anayetukana Wananchi, hivi kuna kiongozi unaona anahangaikia kutukana Watanzania huko X au kwenye mikutano, Viongozi wanatimiza wajibu wao kwa kuwaletea Watanzania Maendeleo kwa namna walivyojaliwa Ages11
 
Ikiwa mwenyewe hujiheshimu, kwanini unaamini unayo haki ya kuheshimiwa?Unafahamu maana ya utumishi wa UMMA?
Sisi Ndio UMMA,tunalipa Kodi,tozo ili mjilipe na kutokutenda haki Kwa wanaokulipia maisha yako?
Ikiwa unaona unatukanwa na kuingiliwa faragha,unaweza kujiuziru.
 
JAMANI poleni haya maswala ya nchi YETU tuende kwa staha ni muda wa kukosoana kwa hoja na di kwa vioja vya matusi.Mimi binafsi napenda kuwa fair kwa pande zote mbili.Tukijadili jambo letu iwe kwa hoja na si matusi tutafika tu .Si mnaona changes zinavyokuja kwa Kasi hapa nchini? Hivyo tuvute SUBIRA hakika mambo YETU sote yatakwenda VIZURI
 
Wewe ni baba wa familia

Nyumbani kwako mabinti wanabakwa, vijana wako wanalawitiwa wizi wa Kila namna halafu wewe unajisifu baba Bora. Je jamii inayokuzunguka itakupa jina zuri?

Kama jibu sio basi kiongozi wa Unma hawezi kuepuka kupewa jina baya.

Jina baya unaweza liita tusi pia
 
Inayokopa ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkuu huoni miradi ya Afya na miundo mbinu yake huko mtaani? Miradi ya Elimu, barabara, Etc
Ooooh! Kumbe akikopa ni serikali ila akitoa pesa za barabara ni pesa za mama Samiah. Unafiki mbaya Sana.
 
Watu wamekuwa wakiwalisha maneno bila hata kuchunguza, unaweza thibitisha nini kimeporwa ? 4 7mbatizaji
Ndio mfano tu kikokotoo sio wizi,au uporaji? Na kama sivyo je wabunge ,mawaziri , wastaafu marais na mawaziri wakuu, n.k kinawahusu, na vipi posho za wenza wa viongozi zipo na kikokotoo?

Pili leo nani kwamba ambae sio punguani anaweza kataa kwamba maliasili za nchi hii zinagawiwa kama njungu katika kichaka cha uwekezaji,

Leo wajua wapo wananchi mlo wa siku moja ni shida ila serikali nzima imejaa mav8 ya m500 na ni ya kutembelea mtu mmoja tu na dereva wake kisa mkuu wa mkoa ,wilaya ,achana na hao makatibu wakuu na wakurugenzi wa taasisi mbali mbali ,huo ni uporaji au sio uporaji

Tatu rushwa ya kutisha alisema Mzee Butiku ,nani anatoa na atoa wapi kama sio pesa hizi za tozo ambazo huludi kwa kinyume nyume wakati watoto wa maskini wanakosa mpaka mikopo ya vyuo vikuu.

Shida ya nchi hii ukisha kuwa na sehem ya kupata pa kulamba viatu na kupata chochote haya yasemwayo utayaona takataka , ujinga huu

Machawa wote mbigu wahataisikia asema Bwana
 
Kwahiyo joe78 kama ni UMMA una haki ya kutukana watu? Una haki ya kuwasingizia watu uongo? Kufitinisha etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…