Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba makamba makamba, unazidi kuzeeka vibaya sana. angalia sana maneno yako yatakuhukumu. Redet inajulikana ni tawi la kikwete sema source nyingine. Utafikti wenyewe wa redet unafanyika kwenye vijiwe vya ccm sasa unategemea nini? mkuu wa redet ni mwanamtandao na ameshindwa kuiongoza udsm. Je ataweza kweli kufanya utafiti makini?
Makamba anazidi kukididimiza CCM kizidi kuonekana ni chama cha wahuni! Huko nyuma TANU na CCM ni vyama vilivyokuwa vikiheshimika sana hapa nchini, nchi jirani, Afrika na hata kwingineko duniani. Katibu Mkuu wa CCM akianza kuwaita wanachama wake "wehu" pale wanapotoa mawazo yao (ambayo ni haki yao ya kikatiba) basi tuelewe kwamba CCM sasa kimekuwa chama cha wahuni na yeye Katibu Mkuu wa CCM ndiye anaonekana "mwehu" kwa kutoa kauli kama hiyo!
Yusuf Makamba ni sawa na mpiga filimbi wa Amelin. Hata akijua Kikwete anaboronga yeye yuko radhi kumsifia. Mtu mweledi hawezi kuzikiliza pumba za Makamba maana zinatia kichefuchefu.
ikitokea kaweza kuishawishi? Maana yeye ni rais wa kwanza kuarikwa white house na obama hivi obama anaarika marais wadhaifu?
inaonekana hufuatilii mambo...watu wameanza kupigia kelele udhaifu wa jk tangu siku za kwanza ......hawajaanza leo....
na werevu walijua tangu mwanzo kuwa ni BOMUUU!!
makamba alisha jikatia tamaa....................majaliwa yake yanategemea zaidi uwepo wa kikwete madarakani ili aendelee kuwemo madarakani........wana ccm walisha attempt kumng'oa japo walisha zimwa na jk
Hivi unadhani kwa nini Kikwete (Mzee wa ku-smile hata wakati anapotakiwa kutoa majibu ya maswali magumu) alimtoa Mangula kama katibu wa CCM na kumteua Makamba?