Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Clouds kwenye hili la mzikinwa diamond kufungiwa mnawaonea tu.Clouds, shonza,CCM wote hao ni maadui namba moja wa Diamond kwa sasa
Unatongoza kiaina, wajanja tushakustukia.Inagawa Sipendi malumbano na Wala simfagilii Diamond Kwa Tabia zake kabisa,ila Leo nimegundua kuwa Kumbe wewe una akili za Kikubwa....
Kumbe wewe ni Mkubwa huna akili za kitoto[emoji14] [emoji14] [emoji6] [emoji6]
Mzigua90
[emoji23]Mada nyingine ya kijinga tangu tuifikie leo
Mkuu mm kama mtz nimegundua alietuloga bado yupo tena anachochea kabisa.Marehemu Mbaraka Mwishehe aliamua kuondoka Tanzania na kuishi Kenya Mauti yalipomfika.!
sijui sana kuhusu Simba wa Nyika na less Wanyika.
Kulikuwa na Tetesi za Rose Muhando pia kuhamia Kenya.!
Nimemsikia Diamond platnumz pia akisema kama hali itaendelea hivi bora ahamie Nchi nyingine afanyie muziki wake huko.!
nikakumbuka nyakati zile tulipotaka kuinuka kisoka kwa Timu yetu ya Taifa kufanya vema chini ya Maxio Maximo wakainuka viwavi jeshi na kuangusha morali ya kocha na timu yenyewe!
Leo hii hatuna la kujivunia...
INAKERA NA INAUMIZA MOYO SANA..
NCHI HII HATUFAI KUWA NA VITU VIZURI. ??
Kwanini hatuwezi kuwaenzi nyota wanazaliwa kwetu? Wivu majungu unafiki na chuki zisizo na maana kila kukicha.! Ukimlaumu Diamond kwa sifa anazopata je wewe umemsaidia kutengeneza hizo sifa za jina lake? Au kazitengeneza mwenyewe?
Tumekuwa na lundo la wasanii wa muziki wa Kizazi kipya tangu enzi hizo je yupo yoyote aliyefikia sehemu alipo Abdul Nasib leo?
Tuna kizazj cha watu wa ajabu kwelikweli..
Mkuu na wewe unaunga mkono ? Hivi Shonza wakati anahamia ccm, act ilikiawepo? Maana naona mwandishi anasema watu walitegemea angeenda act wakati kumbukumbu zangh zinaonyesha tofauti.Naunga mkono hoja.
P
Ahahaaaaaaaaaaah...eti anasema ....halafu anayokea mwanamke mmoja hajui umetafuta vipi Pesa kisha anakuja kufngia nyimbo "" na blaaaaah blaaah kibao ...kumbe hoja yake nikwakuwa zilifngiwa na mwanamke ...ila zingefungiwa na mwanaume angekausha....yule Jamaa bhana hana washauri aiseeee
Mkuu kuanzisha chama ni mchakato!Mkuu na wewe unaunga mkono ? Hivi Shonza wakati anahamia ccm, act ilikiawepo? Maana naona mwandishi anasema watu walitegemea angeenda act wakati kumbukumbu zangh zinaonyesha tofauti.
sio kweli mkuu umenielewa tofauti na wala siwezi kukutukana kwa sababu nihaki yako kuwa na Mawazo tofauti dhidi yngu ...hatuwezi kuwa sawa kimitazamo ...nakumbuka tulishawahi kufnya covo mimi nawew kuhusu huyu mtu nanilikwambia kuhusu udhaifu wake then finaly ulinielewa .....sasa mimi nilitegemea kuona leo ukinielewa zaidi kwa sbabu kile nilichokuwa nimekwambia kuhusu tabia ya mentor wko leo kimejionyesha "" dhahiri kabisaaa tena bahati nzuri iliyoje kwa upnde wangu na wew umekiri kuwa nikweli amekosea""" huoni kuwa nastahiki pongezi juu ykile nilichokuwa na kueleza ..kabla yakunitolea shutuma nakuniambia kuwa cjui alinikosea nini ulipaswa kunipa pongezi dhidi ya ule mtazamo wangu ambao leo umejidhihirisha kwako """Ahahaaaaaaaaaaah...
Wewe jamaa bhana..!
Hivi alikufanya nini huyu kijana,usiseme kwamba unamkosoa kwasababu amekosea coz natambua hilo..!
Ila ukosoaji wako sasa,ni kama una tatizo binafsi na huyu kijana..!
PLS: Usinitukane,ni mtazamo tu..!
Clouds, shonza,CCM wote hao ni maadui namba moja wa Diamond kwa sasa
Hahahahah,.dimondi konyo kweliHuyu Diamond anadharau sana wana wake, Please mfungieni kabisa asifanye music,... Alivyosema anatokea "mwanamke mmoja hajui pesa unatafuta vipi anakuja kufungia nyimbo..." hii ni dharau ya kiwango cha juu, amedharau serikali, amedharau mamlaka,