Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sawa.Tunasubiri utukane tena kama ulivyozoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Tunasubiri utukane tena kama ulivyozoea
Nunua mb za kutosha itafunguka mkuuNani Chalamila maana video haifunguki
Hawa wanawekewa bando na Polepole , sasa inasemekana wiki hii hawajawekewa
Mwanasiasa wa upinzani anayetajwa zaidi ni Lijualikali!Mbowe ndiye mwanasiasa anayetajwa zaidi na wanaccm kuliko hata anavyotajwa Magufuli .
Mkuu hakuna TAKUKURU nchi hii .Kule Kangi na wenzake wanawaachia wakati walisema uchunguzi umeshakamilika, halafu wanajidai kupambana na rushwa.
Haya maigizo sijawahi kuyaona.
kwa kutumika hujambo, sjui unalipwa shingapi hapo ufipaMbowe ndiye mwanasiasa anayetajwa zaidi na wanaccm kuliko hata anavyotajwa Magufuli .
kuna walevi wanaoteguka miguu na kusingizia wamebakwa na wahuniMkuu hakuna TAKUKURU nchi hii .
MbilinyiNani Chalamila maana video haifunguki
Acha kuwatukana watu wa Mbeya, Chalamila anaweza kuwa Rais wa Mbeya?Nani Chalamila maana video haifunguki
😆😆😆😆Acha kuwatukana watu wa Mbeya, Chalamila anaweza kuwa Rais wa Mbeya?
Nani kakuambia Lijualikali ni mwanasiasa wa upinzani? Alishajiondoa, upinzani hakuna watu wajinga wa aina hiyoMwanasiasa wa upinzani anayetajwa zaidi ni Lijualikali!
Yaani wewe kila watu wa aina hii wakisema unaamini? Au na wewe ni kama wao?kuna walevi wanaoteguka miguu na kusingizia wamebakwa na wahuni
Haya ni matokeo ya kuwapa nchi washamba,hawana jipya.Naam, wanahojiwa tu ingawa bado sijaelemewa kwanini wanahojiwa na chombo cha makosa ya rushwa wakati tuhuma ni matumizi mabaya ya fedha! Lakini pia tukumbuke kuwa kuna wakati zilitolewa tuhuma bungeni kuwa baadhi ya wabunge wetu wamepewa rushwa ya sh. 10m/= kila mmoja kipindi cha kuelekea kujadiliwa miswada ya sheria iliyokuwa na utata mkubwa. Kiti cha Spika kulizuia tuhuma hizi zisijibiwe bungeni. Baada ya muda Rais Magufuli alipokutana na vyombo vya habari kwa mara kwanza aliulizwa swali kuhusu tuhuma hizi hizi. Rais alijibu kuwa atakabidhi TAKUKURU. Hakuna mrejesho wowote uliotolewa kwa umma kuhusu tuhuma hizi nzito mno.
Mkuu labda niulize; hawa JWTZ licha ya kumilikiwa na CCM wamewezaje kujinasua na makucha yao?Kati ya Taasisi ambazo zitafanyiwa reformation kubwa au kuvunjwa kabisa na kuundwa upya baada ya CCM kutoka Mahakamani hapo October namba
1. TISS
2. Takukuru
3. Polisi
4. Magereza
Naona JWTZ ndo taasisi pekee itakayoepuka mkono huu maana ndo taasisi pekee iliyofanikiwa kujitenga na siasa uchwara za CCM
[emoji23][emoji1787][emoji2960]kwa kutumika hujambo, sjui unalipwa shingapi hapo ufipa
General Mbung'o ukweli ikiwa umepata maelekezo hapa historia haitakuacha salama wewe na uzao wako.Wabunge wa CHADEMA leo wameanza kuwasili katika ofisi za TAKUKURU jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa. Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) amekuwa wa kwanza kufika.
TAKUKURU ilisema itawahoji wabunge 69 wa chama hicho kufuatia malalamiko juu ya matumizi ya fedha za makato katika mishahara.
Pia soma > TAKUKURU kuwahoji Wabunge 69 kuhusu matumizi ya pesa za CHADEMA
Mbona kesi hiyo ilishakwishaga kitambo au unaulizia kesi ipi?Kesi ya Kangi na wenzake imeishia wapi?