Tuhuma za matumizi mabaya ya fedha: Wabunge wa CHADEMA waanza kuhojiwa TAKUKURU

Kule Kangi na wenzake wanawaachia wakati walisema uchunguzi umeshakamilika, halafu wanajidai kupambana na rushwa.

Haya maigizo sijawahi kuyaona.
 
kuna walevi wanaoteguka miguu na kusingizia wamebakwa na wahuni
Yaani wewe kila watu wa aina hii wakisema unaamini? Au na wewe ni kama wao?

Your browser is not able to display this video.
 
Naona Lisu anakuja kuchomoa betri,mtaongea vizuri hivi punde.
 
Haya ni matokeo ya kuwapa nchi washamba,hawana jipya.
 
Mkuu labda niulize; hawa JWTZ licha ya kumilikiwa na CCM wamewezaje kujinasua na makucha yao?
 
General Mbung'o ukweli ikiwa umepata maelekezo hapa historia haitakuacha salama wewe na uzao wako.
Hatujapata kushuhudia kipindi ambacho taasisi zinazoendeshwa kwa kodi za wananchi zikiacha kufuata taratibu za kisheria na maadili ya uwazi na kujitegemea ili kutekeleza maagizo ya mtu mmoja au kikundi chenye nia ovu. Tumeshuhudia Kilangi AG akileta katika jumba la kutunga sheria maagizo ya kuhakikisha wahalifu viongozi na watoa amri na maagizo ya kihalifu hawashitakiwi na sheria za nchi hii.
Tutashuhudia mengi ila hakikisheni mnajitoa ICC mapema sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…