Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Kwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves..

Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa pdiddy na walifanya vitu vingi sana na Vingi hawezi kuvisema..

Vipi bado tumuamini Kuwa yuko safe au tupate mashaka kama ya Producer wake (Pdidy)? na wengine..

View attachment 2949658

Ikumbuke Kuwa 50 cents aliwahi kusema kuwa Alitaka Kushoot Diddy baada ya kutaka kumfanyia Shopping..
View attachment 2949669

Na hata Katt williams anasema ukialikwa kwenye Party ya Diddy usiende kama we ni mwanaume maana utaaa...
View attachment 2949670



Pasaka Njema kwa Wakristo wote na Ramadhani kareem kwa waislamu..

Haleluya kafufukaaaaa
Ndio maana nyimbo zake nyingi ni za kukatika katika na kuchezesha manyama yake.Na sauti yake nyembamba kama dada.
 
Kuhusu Yuda iskariote
Mkuu hata yesu Mwenyewe aliwahi kuwaambia wanafunzi wake kuwa..

Mathayo 26:24, Marko 14:21, Luka 22:22

"Mwana wa Adamu aenda zake, kama alivyoandikiwa; lakini ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu! Ingekuwa heri kwake mtu yule kama asingalizaliwa"

Kwahyo hilo ndivyi lilivyokuwa limeandikwa..

Kuhusu Yuda mwana wa Yakobo

Yuda alifanya Dhambi kubwa sana ya kulala na Mke wa mtoto wake na kumpa ujauzito..

Yeremia 17:1

"Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma, na kwa ncha ya almasi; imechorwa katika kibao cha moyo wao, na katika pembe za madhabahu zenu;"
Yuda was like a Black Sheep
 
Mzee 50.aliwahi kusema kuwa pdiddy alimwomba kwenda kufanya shopping tu..

Fifty akataka kumshoot Diddy kisa kuambiwa tu kwenda kufanya shopping..

Msikie cwnts anavyosema hapo chini..
View attachment 2949667

Then msikie katt williams anavyosema
View attachment 2949668

That means huwezi kupita mikononi mwa diddy Kimya kimya bila kufyatuliwa
Fifty ameonyesha namna mwanaume kamili unavyotakiwa kuwa.
 
Una uhakika gani kuwa didy anafanya ufuska kumekuwa na tetesi watu weusi wenye mafanikio wanafanyiwa hujuma ili kuwekwa ndani kama r kell kafungwa kwa kesi isiyoeleweka

Una uhakika gani kuwa didy anafanya ufuska kumekuwa na tetesi watu weusi wenye mafanikio wanafanyiwa hujuma ili kuwekwa ndani kama r kell kafungwa kwa kesi isiyoeleweka
Lakini umeona hadi washkaji zake mablack wanakiri kuwa mchizi ana pigo za kiwaki
 
Kumbe ndio maana nyimbo zake nyingi Mondi anaimba matusi na kuhamasisha ngono kinyume na maumbile!!!!
inawezekana ...alifundishwa ushetani..naye akaanza kwa kasi kubwa kuusambaza kwa kizazi chetu.


Pongezi kwa Jeshi la Polisi Florida USD kwa kuvamia nyumba ya PDD na kufanya upekuzi na kuwakamata watoto wa pdd bila kuja kuwa ni staa mkubwa.

Polisi wetu wanalo la kujifunza hapo, ikitokea hapa nchi kwetu staa mkubwa kiasi gani anatuhumiwa kwa uhalifu ama udhalilishaji wa kingoni msiogope wala msijali fanyeni kazi zenu kwa kujiamini.
Haihitaji akili kubwa kujua Diamond ana ushetani ndani yake. Ana kila dalili
 
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Hivi mnapata faida kuandika uzushi kama huu ilhali hamna ushahidi wowote?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves..

Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa pdiddy na walifanya vitu vingi sana na Vingi hawezi kuvisema..

Vipi bado tumuamini Kuwa yuko safe au tupate mashaka kama ya Producer wake (Pdidy)? na wengine..

View attachment 2949658

Ikumbuke Kuwa 50 cents aliwahi kusema kuwa Alitaka Kushoot Diddy baada ya kutaka kumfanyia Shopping..
View attachment 2949669

Na hata Katt williams anasema ukialikwa kwenye Party ya Diddy usiende kama we ni mwanaume maana utaaa...
View attachment 2949670



Pasaka Njema kwa Wakristo wote na Ramadhani kareem kwa waislamu..

Haleluya kafufukaaaaa
Hawa waabudu mashetani wanafanya sexual retual as sacrifices ndo maana kajamaa kakaja kumaliza hasira zake kwa kitu flat kitu laina wake. Gizani kuna mengi.
 
Back
Top Bottom