Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

P Diddy na wenzake wengi akiwemo Beonye na Jay Z wako implicated. Inasemekana Wanafanya parts expensive ambazo zinacost 1.5 million za kimarekani. ( billion 3 na usher TZS). Huku kwenye hizi house patties vyumbani kuna ufuska unaendelea.

Unalewa ukiingia vyumbani unabanduliwa au unawabandua wenzako

Wengi wameusishwa kumbandua au kubanduliwa na Didy. Didy no cover tu sio kwamba ni mbanduaji hata yeye anabanduliwa sana kwenye hizo parties

Mkewe Didy alifungua kesi kuwa wakiwq kwenye hizo parties alikuwa anabanduliwa mtungo wakati Didy amekaa kwenye kochi anaangalia

Waliohusishwa wengi sana akiweko Kevin Hart, Jaime Fox, Stevie J, usher Raymond, justice Bieber, .......

Kosa lake kubwa ni kuwafanyia watu vitu vya kishoga wakiwa wamelewa au hawajitambui au hawana nguvu ya kukataa
Aiseeh
 
kumbe ndio maana walikua wanashindana kucheza….
“Grammy-award winning Nigerian singer, Burna Boy, has warned veteran American rapper and record label executive, Diddy, to respect his status as a music legend to avoid being embarrassed by him on the dance floor.”
 
Una uhakika gani kuwa didy anafanya ufuska kumekuwa na tetesi watu weusi wenye mafanikio wanafanyiwa hujuma ili kuwekwa ndani kama r kell kafungwa kwa kesi isiyoeleweka
Niliwahi kuona video ya T.I akiwa n wanawake wanacheza uchi wa mnyama, so hizo tuhuma za PDDY ninaamini ni kweli kwa 100% simce wote wapo kwenye industry moja.

Juzi kati tuliona Drake ameshika simu huku akiji massage mbolo yake, zikija taarifa nyingine kumhusu tutasema wanamchafua.
 
Una uhakika gani kuwa didy anafanya ufuska kumekuwa na tetesi watu weusi wenye mafanikio wanafanyiwa hujuma ili kuwekwa ndani kama r kell kafungwa kwa kesi isiyoeleweka
Umewasikiliza hao weusi wenzake akina 50 cent , Katty na wengineo?
R Kelly alisingiziwa na nani?
Trump ni mweusi? George Washington alikuwa mweusi? Kennedy?
 
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Kwa hiyo waliofanyiwa hayo wote wamebeba Grammy? Wengine wanafanywa ili tu waonane naye waongeze profile zao wakuze biashara zao.
Kwani wasanii wa Tanzania wanapojipendekeza CCM huwa wanalenga kupata teuzi za uongozi? Ni fursa tu
 
Kuhusu Yuda iskariote
Mkuu hata yesu Mwenyewe aliwahi kuwaambia wanafunzi wake kuwa..

Mathayo 26:24, Marko 14:21, Luka 22:22

"Mwana wa Adamu aenda zake, kama alivyoandikiwa; lakini ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu! Ingekuwa heri kwake mtu yule kama asingalizaliwa"

Kwahyo hilo ndivyi lilivyokuwa limeandikwa..

Kuhusu Yuda mwana wa Yakobo

Yuda alifanya Dhambi kubwa sana ya kulala na Mke wa mtoto wake na kumpa ujauzito..

Yeremia 17:1

"Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma, na kwa ncha ya almasi; imechorwa katika kibao cha moyo wao, na katika pembe za madhabahu zenu;"
Kwa Kifo Cha Yesu Kristo, Yuda Yakobo Amesamehewa Dhambi yake.
 
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.

mkuu sio kila aliefanya tu anapata tunzo, kuna performance ya aliemfurahisha vizuri Bwana Ali Msomali pia huwa inazingatiwa
 
Back
Top Bottom