Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio mondi hakumfurahisha
Naomba kuuliza hivi didy kwenye hizo tuzo za grammy yeye anahusika vipi ana power gani?
Bora asiseme😭Kwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves..
Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa pdiddy na walifanya vitu vingi sana na Vingi hawezi kuvisema..
Vipi bado tumuamini Kuwa yuko safe au tupate mashaka kama ya Producer wake (Pdidy)? na wengine..
View attachment 2949658
Ikumbuke Kuwa 50 cents aliwahi kusema kuwa Alitaka Kushoot Diddy baada ya kutaka kumfanyia Shopping..
View attachment 2949669
Na hata Katt williams anasema ukialikwa kwenye Party ya Diddy usiende kama we ni mwanaume maana hata yeye anaprotect Kwa mujibu wa maneno yake "Utu wake wa Nyuma"
Ambao aliwahi kupewa pesa nyingi na akazikataa
View attachment 2949670
Pasaka Njema kwa Wakristo wote na Ramadhani kareem kwa waislamu..
Haleluya kafufukaaaaa
Kwani tuzo za grammy diddy ndie mmiliki?Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.
Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.
Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Dah MUNGU asamehe kizazi hikiKwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves..
Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa pdiddy na walifanya vitu vingi sana na Vingi hawezi kuvisema..
Vipi bado tumuamini Kuwa yuko safe au tupate mashaka kama ya Producer wake (Pdidy)? na wengine..
View attachment 2949658
Ikumbuke Kuwa 50 cents aliwahi kusema kuwa Alitaka Kushoot Diddy baada ya kutaka kumfanyia Shopping..
View attachment 2949669
Na hata Katt williams anasema ukialikwa kwenye Party ya Diddy usiende kama we ni mwanaume maana hata yeye anaprotect Kwa mujibu wa maneno yake "Utu wake wa Nyuma"
Ambao aliwahi kupewa pesa nyingi na akazikataa
View attachment 2949670
Pasaka Njema kwa Wakristo wote na Ramadhani kareem kwa waislamu..
Haleluya kafufukaaaaa
Ungefafanua tu mkuu!Kuna kitu hujakijua kuhusu zile tuzo za Grammy na Didy anahusikaje .
Ingia mtandao umsome.
Domo anavyopenda sofa unaweza kukuta kafanywa kitamboHuyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.
Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.
Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Sina vila.... ntake dhira
💯 mpwaaaWasanii kuna umaarufu fulani wakiwaga nao wanajiona kama wako juu ya mbingu
Pesa huwalevya....
Kutumia madawa,kubanduana
Kubanduliwa hiyo kawaida kwao
Ova