Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Naomba kuuliza hivi didy kwenye hizo tuzo za grammy yeye anahusika vipi ana power gani?

Power inatokana na ushawishi mkuu alionao mkuu, hao watu wapo kwenye game miaka mingi sana na wana wela ndefu pamoja na connection na watu wazito kwenye mfumo mzima wa hio sanaa yao, usktute pengine nusu ya wahusika wa hizo tunzo either ni washkaji zake au ana uwezo wa kupenyeza rupia na aka influence anachotaka.
 
Kwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves..

Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa pdiddy na walifanya vitu vingi sana na Vingi hawezi kuvisema..

Vipi bado tumuamini Kuwa yuko safe au tupate mashaka kama ya Producer wake (Pdidy)? na wengine..

View attachment 2949658

Ikumbuke Kuwa 50 cents aliwahi kusema kuwa Alitaka Kushoot Diddy baada ya kutaka kumfanyia Shopping..
View attachment 2949669

Na hata Katt williams anasema ukialikwa kwenye Party ya Diddy usiende kama we ni mwanaume maana hata yeye anaprotect Kwa mujibu wa maneno yake "Utu wake wa Nyuma"
Ambao aliwahi kupewa pesa nyingi na akazikataa
View attachment 2949670



Pasaka Njema kwa Wakristo wote na Ramadhani kareem kwa waislamu..

Haleluya kafufukaaaaa
Bora asiseme😭
 
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Kwani tuzo za grammy diddy ndie mmiliki?
Curious to know
 
Diamond alisema tu mambo mengine aliyoyaona kule ( labda) haifai kuyazungumza hadharani.
Hakusema yeye alifanywa chochote.
Na kama yeye alifanywa jambo baya,asizungumze.
Ni ujinga kwa watu kumpongeza mtu kwa kutoka hadharani kusema alivyodhalilishwa.
Kama mtu anataka kuongea mambo hayo,iwe uamuzi wake.
 
Kwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves..

Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa pdiddy na walifanya vitu vingi sana na Vingi hawezi kuvisema..

Vipi bado tumuamini Kuwa yuko safe au tupate mashaka kama ya Producer wake (Pdidy)? na wengine..

View attachment 2949658

Ikumbuke Kuwa 50 cents aliwahi kusema kuwa Alitaka Kushoot Diddy baada ya kutaka kumfanyia Shopping..
View attachment 2949669

Na hata Katt williams anasema ukialikwa kwenye Party ya Diddy usiende kama we ni mwanaume maana hata yeye anaprotect Kwa mujibu wa maneno yake "Utu wake wa Nyuma"
Ambao aliwahi kupewa pesa nyingi na akazikataa
View attachment 2949670



Pasaka Njema kwa Wakristo wote na Ramadhani kareem kwa waislamu..

Haleluya kafufukaaaaa
Dah MUNGU asamehe kizazi hiki
 
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Domo anavyopenda sofa unaweza kukuta kafanywa kitambo
 
Uganda kuna mmmoja nikiwa kule tukawa tunapenda sana kwenda na shemeji yako wa kule

Tuukajuana mmmh uwezi amini siku niko na bintmu7 akaenda choonii akaja akaongea amambo ya aibu niko pemben na mwanaoo

Ur lkn....
Nyokonyoko kibao
Miss u. Na n mwanaume

Aisee

Si ahamu nao mpaka kesho
 
Back
Top Bottom