Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Ndio maana nyimbo zake nyingi ni za kukatika katika na kuchezesha manyama yake.Na sauti yake nyembamba kama dada.
 
Yuda was like a Black Sheep
 
Fifty ameonyesha namna mwanaume kamili unavyotakiwa kuwa.
 
Una uhakika gani kuwa didy anafanya ufuska kumekuwa na tetesi watu weusi wenye mafanikio wanafanyiwa hujuma ili kuwekwa ndani kama r kell kafungwa kwa kesi isiyoeleweka

Una uhakika gani kuwa didy anafanya ufuska kumekuwa na tetesi watu weusi wenye mafanikio wanafanyiwa hujuma ili kuwekwa ndani kama r kell kafungwa kwa kesi isiyoeleweka
Lakini umeona hadi washkaji zake mablack wanakiri kuwa mchizi ana pigo za kiwaki
 
Haihitaji akili kubwa kujua Diamond ana ushetani ndani yake. Ana kila dalili
 
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Hivi mnapata faida kuandika uzushi kama huu ilhali hamna ushahidi wowote?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hawa waabudu mashetani wanafanya sexual retual as sacrifices ndo maana kajamaa kakaja kumaliza hasira zake kwa kitu flat kitu laina wake. Gizani kuna mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…