Tuhuma za Rostam Aziz zichunguzwe. Wawekezaji walikuwa wanaikimbia Tanzania na kama tusingewapokea ungekuwa ujinga

Rushwa Kenya imekithiri na pia tatizo la kuwa na wafanyabiashara madarakani wanaishia kulinda maslahi ya kampuni zao, hawataki ushindani!


Business mogul Dangote faults Kenya over corruption​




By Africanews
Last updated: 07/04/2018

KENYA

Africa’s richest man Aliko Dangote has faulted Kenya’s leadership for their greed and persistent failure to place matters of national interest first when it comes to development.

Speaking to a renowned Kenyan journalist Jeff Koinange, he shelved his plans to build a mega cement factory in Kenya after being put off by top decision makers in the country whom he described as β€œmore corrupt than Nigerians.”

Speaking on his breakfast show in a local FM station, Jeff shared a private conversation he had with Dangote when he attended the billionaire’s daughter’s wedding in Nigeria last month.

β€œI asked him, β€˜Al Hajj when are you coming back to Kenya?’ and he said β€˜Jeff, there are people in that place (Kenya) who put greed and personal interest ahead of national interest. I didn’t think Kenya would be more corrupt that Nigeria.β€˜β€ Koinange narrated on air.

Dangote, who has been estimated to be Sh1.5 trillion by Forbes, visited Kenya in September 2013 as part of a high-powered delegation of 50 wealthy Nigerian businessmen accompany the country’s then president President Goodluck Jonathan.

The Nigerian tycoon recently pushed the factory’s entry to Kenya to 2021, having earlier planned to build a cement factory in the local market next year.

Dangote is widely known for using lower pricing to gain market share in new markets and its delayed entry will give some reprieve to existing players in a market that is already witnessing stiff competition.

 
Kwa jinsi ninavyoijuwa Kenya itakuwa walimuomba rushwa kubwa rostam .
 
Watoto Azzi alizaliwa igunga Tabora akamza Rostamu. Akawa mbunge wa igunga kwa miaka 15 ni mwanachama wa CCM tangu 1977 akiwa shule. Anakifaamu kinyamwezi kuliko wananyamwezi wa kisasa. Utajiri wa Rostam aliupata kwa baba yake kuhuza asali na tumbaku
 
Rostam Aziz hana nchi nyingine zaidi ya Tanzania. Ni mwekezaji Tanzania na dollar bilionea tangu 2013. Amewekeza katika nishati na madini kwa muda mrefu. Amekuwa kada wa ccm ile ya magamba, na amewahi kuwa mhasibu wa ccm na mbunge wa jimbo la kwo igunga. ni kati ya wale mafisadi papa waliosumbua tanzania. Magufuri aliwanyoosha wakaanza kuwekeza na kuanza kulipa kodi za serikali
 
Ila huyo jamaa ni mwizi na fisadi mkubwa sana. Utajiri wake kaupata kwa njia za haramu kwa kujiweka karibu na Viongozi wa ccm na Serikali.
Rostam kaingia kwenye siasa tayari akiwa na noti, baada ya kifo cha mbunge Charles shija kabeho jamaa alikuwa bado yanki tu naalikuwa anabiashara zake kwenye migodi mikubwatu hapa nchini.
 
Rostam kwao Tabora maeneo ya Mwisi jirani na sehemu paitwapo Nkinga pia, jamaa ni mburushi.

Naomba kufahamu kama kuna yeyote kwenye ukoo wake ambaye ameolewa au kuoa Mtanganyika mweusi.....
Yale yale tu...
 
Ila huyo jamaa ni mwizi na fisadi mkubwa sana. Utajiri wake kaupata kwa njia za haramu kwa kujiweka karibu na Viongozi wa ccm na Serikali.
UTAPELI ulianzia kwa WATU WEUPE, ndio ukaja AFRIKA. Kwahiyo hawa wenzetu wana njia nyingi sana za kujipatia fedha, hivyo inakupasa hata wewe kuwa makini.
 
Huyu siye miongoni waliotajwa kwenye List of Shame (Mafisadi) pale Mwembeyanga na Dr.Slaa?
Kama sikosei huyu ni mmoja wa Mafisadi ambao wameihujumu Tanzania kwa miaka mingi! Kwa hiyo kwa Mwendazake asingefurukuta kufanya hayo.
 



Hey MK254, I didn't get any feedback from my subordinates.​
 



Hey MK254! You can also enroute to Kigali, if you wish!​
 



Travel in NITROGENIC with MASHCOOL 😁😁😁​
 
Nacheka kwa dharau! Aha! Aha! Ahaa!
 
Hawa WATU WEUPE [ WAARABU, WAHINDI na WAZUNGU ] ni MATAPELI sana. Huwa wana mbinu nyingi za kujipatia fedha, hata wewe inakubidi kuwa nao makini kama umeshindwa kuwaepuka kabisa.
 


Unaona hiyo picha ya nakala ya gazeti hapo juu? Taarifa kubwa kwenye ukurasa wa mbele ni kuhusu timu ya mpira wa miguu inayoitwa YANGA SC.

Hao ni kama wadhamini wa YANGA SC kwa nyakati tofauti tofauti! Nasema nyakati tofauti tofauti kwa sababu hawakuwahi kutokea kuwa pamoja kwa kipindi kimoja.

Picha ya mtu wa katikati ni mwekezaji aliyelalamika kushindwa kuwekeza kwenye nchi ya KENYA kwa sababu alizoziweka wazi mwenyewe kwenye mkutano wa wawekezaji baina ya TANZANIA na KENYA.

Sasa subiri uone kitakachofuata YANGA SC, ni UTAPELI tu ambao kwa timu YANGU ya SIMBA SC hauwezi kufanyika.

Waliojaribu kuleta UTAPELI kama huu kwa timu YANGU ya SIMBA SC walilawitiwa na orodha ni ndefu maana watalawitiwa wengi sana hapo, mpaka watakimbia wenyewe.
 
Naomba kufahamu kama kuna yeyote kwenye ukoo wake ambaye ameolewa au kuoa Mtanganyika mweusi.....
Yale yale tu...
Yupo ndugu yake anaitwa Jambeck ameoa mtoto wa pastor shaushi wa Nkinga.
 
Yupo ndugu yake anaitwa Jambeck ameoa mtoto wa pastor shaushi wa Nkinga.

Kama kweli, utakuta ni huyo mmoja kwa uwiano wa Watanganyika milioni ishirini kwa mhindi mmoja, na ukifuata utakuta kasemwa balaa na kutia ukakasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…