Uchaguzi 2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

Uchaguzi 2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

Siwashangai maana ndo kazi waliyozoea kwa hiyo rushwa watatoa sana.

Subili wafike bungeni utawapenda na maneno ya kuwambia wengine wajiajiri
 
Lete nyuzi tujisomee ya wizi wa taulo mana sio kwa yule Dada anajidai anamsaidia kumbe anamchoma aisee wanawake hatari sana Kennedy
 
Dah ila yule dada noma sana.
Tuishi na wanawake kwa akili jamani
 
Ccm nichaka la wanyang'anyi Bukoba Bulembo na mtoto wake walikuwa wanasaka viti maalumu kila mjumbe alidaka milioni moja wakampitisha nadhani hizi ela na mkono wa Zitto ulikuwepo.
Halima Zitto Bulembo pesa zilikuwa njenje awamu ya tano imeongoza kwa Rushwa kuzidi awamu zote zilotangulia.
 
NARUDIA KUSEMA TENA HUMU JF
RUSHWA NCHI HII HAIWEZI KUISHA WALA KUONDOKA....
TUENDELE TU KUISHI HIVYOOO HAMNA JINSI

ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Huyu Mama hata kama ametoa rushwa ambayo ndio utamaduni wa CCM, lakini anafagha yake ambayo inalindwa na na sheria za nchi.
Tukemee Hilo swala ya udukuzi ni mbaya sana hii.
Naunga mkono hoja, huku ni kuingilia the right to privacy ya mtu kinyume cha sheria, ni kosa la jinai.
p
 
Za tulia akson za kugawa bajaj na bima za afya mbona hamzungumzii, halafu pascal nakumbuka humu jukwaani uliwahi kusema kwamba endapo lisu atarudi tz na kugombea urais atakuwa ni shujaa zaidi ya Mandela....

Vp msimamo wako bado unao au umebadili?

Majira yanabadilika ndugu, sio kila siku ijumaa.
 
Bashiru hana ubavu huo
Rushwa zipo ccm kwenye level zote na yupo kimya kulinda v8 lake
🤣 🤣 mbona jana Dr. Bashiru kawasema sana wale jamaa wa Arusha ambao walilalamika kwamba Mrisho Gambo katoa rushwa kubwakubwa na kukodi ukumbi wa mkutano kwa gharama zake ilhali kazi ya kukodi ukumbi ni ya chama? Ama ilikuwa ni mkwara tu wa hapa na pale.
 
Za tulia akson za kugawa bajaj na bima za afya mbona hamzungumzii, halafu pascal nakumbuka humu jukwaani uliwahi kusema kwamba endapo lisu atarudi tz na kugombea urais atakuwa ni shujaa zaidi ya Mandela....

Vp msimamo wako bado unao au umebadili?

Majira yanabadilika ndugu, sio kila siku ijumaa.
Tulia nae ni mchafu sana. Kaanza mchezo mchafu Mbeya miaka mingi kidogo, kugawa Bajaj, bodaboda, fedha na kuhudhuria misiba. Kanunua sana wajumbe
 
CCM na Rushwa sawa na chupi na makalio, hivyo usishangae.

Walioshinda ndio waliotoa Rushwa kubwa....


Wakati huo huo tuangalie hili swala la udukuzi , hakuna alie salama..Muda wowote za kwetu zinavujishwa.

Naamini mikono mizito imehusika kwenye kuvujisha hizi voice clips.

Huyu Mama hata kama ametoa rushwa ambayo ndio utamaduni wa CCM, lakini anafagha yake ambayo inalindwa na na sheria za nchi.

Tukemee Hilo swala ya udukuzi ni mbaya sana hii.
Nan kakuambia udukuz ni kosa apa nchini?(rejea ya akina kinana,nape na .....)
 
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.

Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.

Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.

Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.

View attachment 1526552



wamedukuwana sasa.
kazi ipo walikuwa wansikia raha wapinzani wakidukuliwa.
 
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.

Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.

Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.

Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.

View attachment 1526552
Kwanza Mama mwenyewe huyo huwa mdhulumaji - kule Dodoma alimdhulumu rafiki yangu mmoja wakati anamsimamia ujenzi wa nyumba zake kwa kugoma kumlipa. Mbaya sana huyo mama!
 
Swali ni nani aliyedukua simu yake. Daah japo mama alifanya kosa kubwa lakin haikuwa sahihi kudukua faragha yake. Hakuna aliye salama alisema Membe. Mama kajimaliza kisiasa cjui anajisikiaje.
 
Swali ni nani aliyedukua simu yake. Daah japo mama alifanya kosa kubwa lakin haikuwa sahihi kudukua faragha yake. Hakuna aliye salama alisema Membe. Mama kajimaliza kisiasa cjui anajisikiaje.
Siasa Inalipa Faster Ila Kero Zake Ndiyo Hizo
Kubwa Sana Ni Hilo La Kudukua Ambapo Amejikuta Ghafla Yupo Uchi Asijue La Kufanya.
Ukuaji Kwa Maslahi Ya Ulinzi Na Usalama Wa Nchi Siyo Mbaya.
Lakini Unadukuliwa Hata Kama Unatongoza
 
Kwanza Mama mwenyewe huyo huwa mdhulumaji - kule Dodoma alimdhulumu rafiki yangu mmoja wakati anamsimamia ujenzi wa nyumba zake kwa kugoma kumlipa. Mbaya sana huyo mama!
Kuna watu ni wevi kwa asili.

Unakuta toka shule ya vidudu yey analalamikiwa kukwiba vya wenzie.

sa wengne wanaenda hivo hadi ukubwani. Na mtu wa ivo hata awe tajiri atakwiba tu akipata upenyo.

Nakumbuka shulen tulikuwa na mtu wa hivo. Si ajabu nauyo atakuwa wa aina hiyo.

Mshana Jr km unaweza kutupa jicho la 3 la asili ya watu wenye tabia hiz mfano Je kuna uezekano mababu nao walikuwa hivo, laana au?
 
Back
Top Bottom