Hili lalamiko
Unaweza kuliwazilisha kwa wizara Afya chini ya waziri Ummy Mwalimu, nafikiri litafanyiwa kazi mara moja .Haya maswala ya sexual harassment hayatakiwi kabisa kwenye maofisi ya serikali maana yanawakatisha tamaa wanafunzi wengi ktk jamii
Unaweza kuliwazilisha kwa wizara Afya chini ya waziri Ummy Mwalimu, nafikiri litafanyiwa kazi mara moja .Haya maswala ya sexual harassment hayatakiwi kabisa kwenye maofisi ya serikali maana yanawakatisha tamaa wanafunzi wengi ktk jamii