Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 673
- 865
Itabidi ifike mahali wanafunzi wa kike vyuoni wafundishwe na walimu wa kike tu. Maana tuhuma kama hizi zitakuwa haziishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, hata Mimi nimesita kumwambia aniPM kuepuka mambo hayo lakini kwa malalamiko haya ninaona urahisi wa kuyashughulikia so afike TAKUKURU HQPia kuwa makini na wanaotaka kukusaidia. Kumbuka JF veryfied members ni wachache.
Unaweza kudhani kuwa wanataka kukusaidia kumbe ni haohao wanataka kujua mleta tuhuma ni nani.
TRUST NO BODY
Wapo wachache wanaopenda mtelemko ila sio wote.....mabinti wengine ni vichwa hatari.Tatizo mabinti na nyie mnawashawishi Wasimamizi wenu, mabinti wengi wanapenda kusaidiwa kufaulu na muda mwingine mnaumalizia kwenye smartphone zenu ikifika muda wa mitihani mambo hayaendi mnakuwa mnataka slope, Hafu napo mjiangalie mahusiano yenu mnapenda sana kuchekacheka na Lecturers na kuwatega na wao ni binadamu.
Una akili sana mkuu.Hawa watu sijui walikuaga ni madomo zege mtoto wa kike unamtongoza akikukatalia unaachana nae tu sio lazima ukubaliwe na kila demu
Uko sahihi na Mimi sikushauri kukutana na mtu anaekwambia atakusaidia but ushauri wangu peleka malalamiko PCCB HQ yatafanyiwa kazi bila wewe kujulikana! Nimeona hapo juu kwamba mbeya walilifanyia kazi ndio maana nakushauri fika HQSiwezi kufanya hilo kosa.
Nimetafakari sana kabla ya kufikia uamuzi wa kulileta hili humu ndani. Naelewa pia hata baadhi ya hao washenzi niliowataja ni members humu.
Kitu pekee ambacho i hope kitatokea ni kwamba serikali/wizara ya afya itapata tuhuma hizi na kufanya uchunguzi wake huru na kuchukua hatua.
Najua nguvu ya JF.
Bila ushahidi hakuna atakayekuelewa ulitakiwa kwenda takukuru ungeeleweka zaidi, la sivyo unawasingizia
Siamini unafanya kazi PCCB maana hujui jinsi inavyofanya kazi. Kawaida kama hii washainyaka na watafanyia kazi baadala ya yeye kwenda.Pole sana, kama kweli uliliport pccb na wakaweka mtego ukafyatuka kwa Afisa kuvujisha siri, please nakuomba ufike pccb makao makuu ukiwa na malalamiko yako, wachunguzi watatoka HQ kulifanyia kazi so nakushauri malalamiko yako yasiishie hapa!
Mleta amani usiende kienyeji huko, changanya na akili zako ili hao jamaa wanyookeNi kweli, hata Mimi nimesita kumwambia aniPM kuepuka mambo hayo lakini kwa malalamiko haya ninaona urahisi wa kuyashughulikia so afike TAKUKURU HQ
Tunapata shida Sana, darasa la Saba kuna mwalim alikuwa ananitoa darasani mchana nakaa juani wakati anafundisha hadi kipindi chake kiishe alikuwa na vipindi viwili kwa kimoja, pia kazini nilikaa miaka mitano bila kiongezewa mshahara na nilipitwa mshahara hadi na wahudumu wa ofisi, wiki kabla hajaondoka baada ya mkataba kuisha nilimfuata na kumweleza ukweli akajifanya hajui, nilichomwambia nimekusamehe basi, nadhani aliongea na MD baada ya kuondoka tu nikaitwa na kuambiwa natakiwa kwenda chuo chochote ninachotaka mimi, nilifanya hivyo.
Ni wapi niliposema nafanya kazi pccb? Akili yako ikoje kushauri ni kufanya kaz PCCB? Anaekwambia tuhuma inafanyiwa kazi bila ushahidi nani? Acha porojo Mkuu!Siamini unafanya kazi PCCB maana hujui jinsi inavyofanya kazi. Kawaida kama hii washainyaka na watafanyia kazi baadala ya yeye kwenda.
We jamaa nahakika unaongozwa na hisia tu kuliko ukweli, kumbuka hapo juu amesema pccb mbeya walipata na wakaanzisha uchunguzi so ndio maana kuna mahali nimemwambia aende HQ inafanyiwa kazi tokea juu sasa wewe unaleta habari za ujuajiMleta amani usiende kienyeji huko, changanya na akili zako ili hao jamaa wanyooke