Ameshasema kuwa waliwahi kwenda Takukuru na hakuna kilichofanyika.... Hapa ni kipi usichoelewa?Bila ushahidi hakuna atakayekuelewa ulitakiwa kwenda takukuru ungeeleweka zaidi, la sivyo unawasingizia
Kweli kabisa kuna mabint vichwa wanatumia nguvu zao wenyewe ila sasa wanaume wengine ni ving'ang'anizi sana hadi keroWapo wachache wanaopenda mtelemko ila sio wote.....mabinti wengine ni vichwa hatari.
Pole, unawajua wote, [emoji3][emoji3]
Sema tuu ni wanoko , nawajua kwa sura na tabia hawapendi ujinga,,,
Hahaha akutafute au sio?
Kweli kabisa na ifanyiwe kaziTISS na PCCB hii ni info tosha kabisa ya kujua ukweli
Kitu hujui acha tuNi wapi niliposema nafanya kazi pccb? Akili yako ikoje kushauri ni kufanya kaz PCCB? Anaekwambia tuhuma inafanyiwa kazi bila ushahidi nani? Acha porojo Mkuu!
Hujui haya mambo! Kukusaida PCCB hata kitu kikiandikwa gazetini wao wanaanza kazi! Nina uhakikia kwa sasa watakuwa wamepata pa kuanzia si lazima upeleke malalamiko kama ilivyo Polisi.We jamaa nahakika unaongozwa na hisia tu kuliko ukweli, kumbuka hapo juu amesema pccb mbeya walipata na wakaanzisha uchunguzi so ndio maana kuna mahali nimemwambia aende HQ inafanyiwa kazi tokea juu sasa wewe unaleta habari za ujuaji
Ziweke hapa hizo nambaPole sana dada.
Njoo nikupe namba za waziri au naibu waziri wa afya
Ataliwa na mabaharia mtaani. Tena waendesha bodaboda .. hatari sana.Hadi napata mawazo,mwanangu mpendwa wa kike maskini ndo anaanza form 1,cjui akijaaliwa kupataga ma chuo huko mbele watamfanya nini hawa majitu ya humo maofisini kwenye field,wacha nikomae mtt akitoka six salama aje kwa biashara yangu akae hapo na kk zake waendeleze mali,bora akubali kwa ridhaa yake kuliko kulazimishwa kisa tu eti apate alama nzuri
Ataliwa na mabaharia mtaani. Tena waendesha bodaboda .. hatari sana.
Bila shaka atakuwa amesha hitimu utarajari, na hayo ndo kapitia.Mtoa maada Hongera kwa kuweka wazi.Ila Angalizo tu ni kwamba tayari umeshatangaza vita.maana kama hao uliowataja kwamba walikufanyia unyanyasaji tayari washakujua.Hivyo jihadhari kabla ya hatari.
Siko hapa kubishana na wewe au kuonyeshana kujua utaratibu, lakini naomba ufahamu iko tofauti ya kushughulikia malalamiko yaliyokuja kama taarifa na malalamiko yaliyoletwa na mlalamikaji kwamaana ya malalamiko yenye mlalamikaji uchunguzi wa awali unakuwa na ushahidi tofauti na malalamiko yaliyokuja kama taarifa ambayo watalazimika kufanya prior investigation, na pia malalamiko yasiyo na mlalamikaji lazima kutengeneza kwanza tuhuma yenye malalamiko so kama kwa ufahamu wako unadhani sio muhimu kureport pccb unajidanganya.Hujui haya mambo! Kukusaida PCCB hata kitu kikiandikwa gazetini wao wanaanza kazi! Nina uhakikia kwa sasa watakuwa wamepata pa kuanzia si lazima upeleke malalamiko kama ilivyo Polisi.