DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusiana ukiwamo utahini kwenye chuo hiki cha umma.

Takwimu hizi za matokeo ya hivi karibuni zinajionyesha:

IMG_20221009_004441_910.jpg


Hii ndiyo ilivyo hali ya pale LST kwa miaka nenda rudi.

Ada ni 1,570,000/- kwa mwaka inayotakiwa kulipwa yote kabla ya kuanza masomo.

Chuo hiki hakitambui hali halisi za watanzania na kuwa ni kwa kujinyima mno kwa wazazi kuwasomesha watoto wao kuishia kwenye siasa uchwara za hapo chuoni kwao.

Mitihani supplementary huwa haina ukomo ikilipiwa 30,000/- kwa component baada ya supplimentary ya kwanza. Course moja Ina components 3. Hivyo supplementary ni 90,000/- kwa course.

Vitabu vya walimu husika ni lazima wanafunzi kuvinunua kwa mzengwe wa kutosha. Photocopy za vitabu hivyo vinavyoruhusiwa kwenye mitihani ni batili.

Kuna pass mark 'dash'(-) zisizojulikana kwenye matokeo ya wanafunzi. Ambapo mtu mmoja katika course mbili, moja anaweza pata 'dash' kafaulu na nyingine akapata 'dash akawa kafeli.

Wanafunzi wawili pia somo hilo hilo, mmoja anaweza pata 'dash' kafaulu na mwingine 'dash' kafeli.

"Inawezekana namna gani?"

Malalamiko yako mengi yenye kuashiria fursa za rushwa za aina zote katika kujaribu kujinasua na vitanzi vya wazi vilivyopo chuoni hapo.

Ikumbukwe wanafunzi LST ni wahitimu wa shahada za kwanza, uzamili na hata uzamivu. Bila ya cheti Cha LST uhitimu wowote wa sheria ni kazi bure.

Kuna tuhuma za undugunization na ukabila. Kuna kujuana na connections. Katika wafanyakazi takribani 50 waliopo pale, wapo kadhaa wa kutokea familia moja (baba mmoja, mama mmoja) kama waajiriwa.

Wanafunzi wanaopata nafasi zaidi za kufaulu ni wale wenye unasaba na vigogo wa serikali wakiwamo mawaziri, majaji nk. Wenzangu na miye utakata rufaa katika mahakama ipi kwenye hali hii.

Chuo kimekuwa kama si taasisi ya serikali bali mali ya watu binafsi.

Kama kwa kufeli wanafunzi ni uhakikisho wa waendeshaji kujipatia mapato zaidi, watafaulu vipi wanafunzi kwa halali?

Kama walimu ni miungu watu kiasi hiki, ukimwi utakwisha kweli Tanzania hii?

"Hiki ni chuo cha umma, wenye dhamana hawawezi kuchagua kukaa kimya."

Bahati mbaya, ya namna hii si kwa LST peke yake.

Vimullikwe vyuo vyote vya elimu ya juu. Kutenganisha watunga mitihani, wasahihishaji na walimu wa course husika kuwa ni jambo la dharura sana.
 
[emoji81][emoji81] hili nalo mka liangalie

Disco na sup zote hizo afu pass 26 seriously. Na hao wote wame toka Secondary. High level wengne diploma na wali faulu iweje wa fail kwa kiwango icho .kuna tatizo hapa
 
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusiana ukiwamo utahini kwenye chuo hiki cha umma.

Takwimu hizi za matokeo ya hivi karibuni zinajionyesha:

View attachment 2381450

Hii ndiyo ilivyo hali ya pale TLS kwa miaka nenda rudi.

Ada ni 1,570,000/- kwa mwaka inayotakiwa kulipwa yote kabla ya kuanza masomo.

Chuo hiki hakitambui hali halisi za watanzania na kuwa ni kwa kujinyima mno kwa wazazi kuwasomesha watoto wao kuishia kwenye siasa uchwara za hapo TLS.

Mitihani supplementary huwa haina ukomo ikilipiwa 30,000/- kwa component baada ya supplimentary ya kwanza. Course moja Ina components 3. Hivyo supplementary ni 90,000/- kwa course.

Vitabu vya walimu husika ni lazima wanafunzi kuvinunua kwa mzengwe wa kutosha. Photocopy za vitabu hivyo vinavyoruhusiwa kwenye mitihani ni batili.

Kuna pass mark 'dash'(-) zisizojulikana kwenye matokeo ya wanafunzi. Ambapo mtu mmoja katika course mbili, moja anaweza pata 'dash' kafaulu na nyingine akapata 'dash akawa kafeli.

Wanafunzi wawili pia somo hilo hilo, mmoja anaweza pata 'dash' kafaulu na mwingine 'dash' kafeli.

"Inawezekana namna gani?"

Malalamiko yako mengi yenye kuashiria fursa za rushwa za aina zote katika kujaribu kujinasua na vitanzi vya wazi vilivyopo chuoni hapo.

Ikumbukwe wanafunzi LST ni wahitimu wa shahada za kwanza, uzamili na hata uzamivu. Bila ya cheti Cha LST uhitimu wowote wa sheria ni kazi bure.

Kuna tuhuma za undugunization na ukabila. Kuna kujuana na connections. Katika wafanyakazi takribani 50 waliopo pale, wapo kadhaa hadi wa familia moja (baba mmoja, mama mmoja) kama waajiriwa.

Wanafunzi wanaopata nafasi zaidi za kufaulu ni wale wenye unasaba na vigogo wa serikali wakiwamo mawaziri, majaji nk. Wenzangu na miye utakata rufaa katika mahakama ipi kwenye hali hii.

Chuo kimekuwa si taasisi ya serikali bali mali ya watu binafsi.

Kama kwa kufeli wanafunzi ni uhakikisho wa waendeshaji kujipatia mapato zaidi, watafaulu vipi wanafunzi kwa halali?

Kama walimu ni miungu watu kiasi hiki, ukimwi utakwisha kweli Tanzania hii?

Hiki ni chuo cha umma wenye dhamana hawawezi kuchagua kukaa kimya.

"Bahati mbaya ya namna hii si TLS peke yake."

Vimullikwe vyuo vyote vya elimu ya juu. Kutenganisha watunga mitihani, wasahihishaji na walimu wa course husika kuwa ni jambo la dharura sana.
Ukichunguza unaweza kukuta hizo pass ni connection !
 
Law school mnasoma kiboss, mkishavaa suti mnajiona mshatoooka.

Mkuu suti ni uniform tu kwa mujibu wa utaratibu wa chuo chenyewe.

Kumbuka pana wazazi maskini hapa wamepoteza:

265 x 1,570,000 = 416,050,000/- kwenye disco hizo hapo juu. Ambapo bila shaka LST wanahesabu kuwa ni faida kwao.

Wanafunzi hawa itakuwa kuwaonea kudhani kuwa hujiona wametoka. Hawa ni wahanga kama ilivyo kwa wengine wote ambao haki zao zinakiukwa wazi wazi na hawana namna.
 
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusiana ukiwamo utahini kwenye chuo hiki cha umma.

Takwimu hizi za matokeo ya hivi karibuni zinajionyesha:

View attachment 2381450

Hii ndiyo ilivyo hali ya pale TLS kwa miaka nenda rudi.

Ada ni 1,570,000/- kwa mwaka inayotakiwa kulipwa yote kabla ya kuanza masomo.

Chuo hiki hakitambui hali halisi za watanzania na kuwa ni kwa kujinyima mno kwa wazazi kuwasomesha watoto wao kuishia kwenye siasa uchwara za hapo TLS.

Mitihani supplementary huwa haina ukomo ikilipiwa 30,000/- kwa component baada ya supplimentary ya kwanza. Course moja Ina components 3. Hivyo supplementary ni 90,000/- kwa course.

Vitabu vya walimu husika ni lazima wanafunzi kuvinunua kwa mzengwe wa kutosha. Photocopy za vitabu hivyo vinavyoruhusiwa kwenye mitihani ni batili.

Kuna pass mark 'dash'(-) zisizojulikana kwenye matokeo ya wanafunzi. Ambapo mtu mmoja katika course mbili, moja anaweza pata 'dash' kafaulu na nyingine akapata 'dash akawa kafeli.

Wanafunzi wawili pia somo hilo hilo, mmoja anaweza pata 'dash' kafaulu na mwingine 'dash' kafeli.

"Inawezekana namna gani?"

Malalamiko yako mengi yenye kuashiria fursa za rushwa za aina zote katika kujaribu kujinasua na vitanzi vya wazi vilivyopo chuoni hapo.

Ikumbukwe wanafunzi LST ni wahitimu wa shahada za kwanza, uzamili na hata uzamivu. Bila ya cheti Cha LST uhitimu wowote wa sheria ni kazi bure.

Kuna tuhuma za undugunization na ukabila. Kuna kujuana na connections. Katika wafanyakazi takribani 50 waliopo pale, wapo kadhaa hadi wa familia moja (baba mmoja, mama mmoja) kama waajiriwa.

Wanafunzi wanaopata nafasi zaidi za kufaulu ni wale wenye unasaba na vigogo wa serikali wakiwamo mawaziri, majaji nk. Wenzangu na miye utakata rufaa katika mahakama ipi kwenye hali hii.

Chuo kimekuwa si taasisi ya serikali bali mali ya watu binafsi.

Kama kwa kufeli wanafunzi ni uhakikisho wa waendeshaji kujipatia mapato zaidi, watafaulu vipi wanafunzi kwa halali?

Kama walimu ni miungu watu kiasi hiki, ukimwi utakwisha kweli Tanzania hii?

Hiki ni chuo cha umma wenye dhamana hawawezi kuchagua kukaa kimya.

"Bahati mbaya ya namna hii si TLS peke yake."

Vimullikwe vyuo vyote vya elimu ya juu. Kutenganisha watunga mitihani, wasahihishaji na walimu wa course husika kuwa ni jambo la dharura sana.
Malalamiko ni ya muda mrefu.
Na somo la sheria si moja ya masomo magumu duniani.
 
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusiana ukiwamo utahini kwenye chuo hiki cha umma.

Takwimu hizi za matokeo ya hivi karibuni zinajionyesha:

View attachment 2381450

Hii ndiyo ilivyo hali ya pale LST kwa miaka nenda rudi.

Ada ni 1,570,000/- kwa mwaka inayotakiwa kulipwa yote kabla ya kuanza masomo.

Chuo hiki hakitambui hali halisi za watanzania na kuwa ni kwa kujinyima mno kwa wazazi kuwasomesha watoto wao kuishia kwenye siasa uchwara za hapo chuoni kwao.

Mitihani supplementary huwa haina ukomo ikilipiwa 30,000/- kwa component baada ya supplimentary ya kwanza. Course moja Ina components 3. Hivyo supplementary ni 90,000/- kwa course.

Vitabu vya walimu husika ni lazima wanafunzi kuvinunua kwa mzengwe wa kutosha. Photocopy za vitabu hivyo vinavyoruhusiwa kwenye mitihani ni batili.

Kuna pass mark 'dash'(-) zisizojulikana kwenye matokeo ya wanafunzi. Ambapo mtu mmoja katika course mbili, moja anaweza pata 'dash' kafaulu na nyingine akapata 'dash akawa kafeli.

Wanafunzi wawili pia somo hilo hilo, mmoja anaweza pata 'dash' kafaulu na mwingine 'dash' kafeli.

"Inawezekana namna gani?"

Malalamiko yako mengi yenye kuashiria fursa za rushwa za aina zote katika kujaribu kujinasua na vitanzi vya wazi vilivyopo chuoni hapo.

Ikumbukwe wanafunzi LST ni wahitimu wa shahada za kwanza, uzamili na hata uzamivu. Bila ya cheti Cha LST uhitimu wowote wa sheria ni kazi bure.

Kuna tuhuma za undugunization na ukabila. Kuna kujuana na connections. Katika wafanyakazi takribani 50 waliopo pale, wapo kadhaa wa kutokea familia moja (baba mmoja, mama mmoja) kama waajiriwa.

Wanafunzi wanaopata nafasi zaidi za kufaulu ni wale wenye unasaba na vigogo wa serikali wakiwamo mawaziri, majaji nk. Wenzangu na miye utakata rufaa katika mahakama ipi kwenye hali hii.

Chuo kimekuwa si taasisi ya serikali bali mali ya watu binafsi.

Kama kwa kufeli wanafunzi ni uhakikisho wa waendeshaji kujipatia mapato zaidi, watafaulu vipi wanafunzi kwa halali?

Kama walimu ni miungu watu kiasi hiki, ukimwi utakwisha kweli Tanzania hii?

"Hiki ni chuo cha umma wenye dhamana hawawezi kuchagua kukaa kimya."

Bahati mbaya ya namna hii si LST peke yake.

Vimullikwe vyuo vyote vya elimu ya juu. Kutenganisha watunga mitihani, wasahihishaji na walimu wa course husika kuwa ni jambo la dharura sana.
Mangwini wawapo vyuoni hula shushi kubwa katika kozi zao, kumbe hapo "Law School" wanabutuliwa kichizi! Ndiyo gharama zenyewe hizo za kuwa kutambulika katika "bar" na kuwa "learned brother or sister"
 
[emoji81][emoji81] hili nalo mka liangalie



Disco na sup zote hizo afu pass 26 seriously. Na hao wote wame toka Secondary. High level wengne diploma na wali faulu iweje wa fail kwa kiwango icho .kuna tatizo hapa
-tatizo labda paper ngumu
 
Siye uku VETA mambo hayo hatuna hata ukinyiwa cheti ukienda site ukafanya kazi vizuri masawe ana kulipa unasepa, anakunganisha na deal jingine tene yanu burudani
 
Nimejikuta naanza kuchangia kwa kupiga hesabu kwenye jukwaa la siasa na sio jambo la kawaida.

1,570,000 * 265=.......

Kwa mwaka wana "intakes" ngapi? kwa hiyo hilo jibu hapo unaweza kulizidisha mara mbili!.

Hivi kwa majibu ya hiyo hesabu hapo juu nikisema hao jamaa wapo kwa ajili ya kuwatapeli watanzania nitakuwa nakosea?

Kwa hiyo idadi ya wanafunzi wanaofeli sioni sababu ya wazazi kupeleka watoto wao huko "Law School", hiyo elimu sasa imegeuzwa kufaulu kuwa sawa na kushinda bahati nasibu, suala la uwezo wa mwanafunzi halipo tena.

Hili lisipoangaliwa, huko mbele tuendako naiona idadi ya wanafunzi wanaosoma sheria vyuoni itaanza kupungua, hasa kama wakizingatia mbele ya safari mambo ndio yanakuwa magumu kiasi hicho.

Bora hiyo ada ya Law School wazazi wawape watoto wao wafanye mtaji wa biashara, sio mahangaiko mengi na bado mwisho wa siku uhakika wa ajira haupo, ni kupoteza muda tu.
 
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusiana ukiwamo utahini kwenye chuo hiki cha umma.

Takwimu hizi za matokeo ya hivi karibuni zinajionyesha:

View attachment 2381450

Hii ndiyo ilivyo hali ya pale LST kwa miaka nenda rudi.

Ada ni 1,570,000/- kwa mwaka inayotakiwa kulipwa yote kabla ya kuanza masomo.

Chuo hiki hakitambui hali halisi za watanzania na kuwa ni kwa kujinyima mno kwa wazazi kuwasomesha watoto wao kuishia kwenye siasa uchwara za hapo chuoni kwao.

Mitihani supplementary huwa haina ukomo ikilipiwa 30,000/- kwa component baada ya supplimentary ya kwanza. Course moja Ina components 3. Hivyo supplementary ni 90,000/- kwa course.

Vitabu vya walimu husika ni lazima wanafunzi kuvinunua kwa mzengwe wa kutosha. Photocopy za vitabu hivyo vinavyoruhusiwa kwenye mitihani ni batili.

Kuna pass mark 'dash'(-) zisizojulikana kwenye matokeo ya wanafunzi. Ambapo mtu mmoja katika course mbili, moja anaweza pata 'dash' kafaulu na nyingine akapata 'dash akawa kafeli.

Wanafunzi wawili pia somo hilo hilo, mmoja anaweza pata 'dash' kafaulu na mwingine 'dash' kafeli.

"Inawezekana namna gani?"

Malalamiko yako mengi yenye kuashiria fursa za rushwa za aina zote katika kujaribu kujinasua na vitanzi vya wazi vilivyopo chuoni hapo.

Ikumbukwe wanafunzi LST ni wahitimu wa shahada za kwanza, uzamili na hata uzamivu. Bila ya cheti Cha LST uhitimu wowote wa sheria ni kazi bure.

Kuna tuhuma za undugunization na ukabila. Kuna kujuana na connections. Katika wafanyakazi takribani 50 waliopo pale, wapo kadhaa wa kutokea familia moja (baba mmoja, mama mmoja) kama waajiriwa.

Wanafunzi wanaopata nafasi zaidi za kufaulu ni wale wenye unasaba na vigogo wa serikali wakiwamo mawaziri, majaji nk. Wenzangu na miye utakata rufaa katika mahakama ipi kwenye hali hii.

Chuo kimekuwa kama si taasisi ya serikali bali mali ya watu binafsi.

Kama kwa kufeli wanafunzi ni uhakikisho wa waendeshaji kujipatia mapato zaidi, watafaulu vipi wanafunzi kwa halali?

Kama walimu ni miungu watu kiasi hiki, ukimwi utakwisha kweli Tanzania hii?

"Hiki ni chuo cha umma, wenye dhamana hawawezi kuchagua kukaa kimya."

Bahati mbaya, ya namna hii si kwa LST peke yake.

Vimullikwe vyuo vyote vya elimu ya juu. Kutenganisha watunga mitihani, wasahihishaji na walimu wa course husika kuwa ni jambo la dharura sana.
Law School ni eneo linalokwaza sana ktk taaluma.

Unahitajika kuwa kondoo haswaa ili uweze kupenya hapo.

Badala ya kuzalisha wanasheria, wao wanazima ndoto za wanasheria wa kesho
 
Back
Top Bottom