DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hii ingewekwa kama certification ya ziada yani ukifanikiwa kuipata inakua na added advantage kama ilivyo kada za computer.

Iko CCNA, CEH, CISA na nyingine nyingi lakini mtu asipokua nazo haimyimi haki ya kutafuta na kupata ajira.

Kuieka ni lazima kua nayo ili upate ajira ndio shida ilianzia hapo kwa waswahili hii ni lazima igeuke kuwa urasimu na ukiritimba.

Umesoma una degree ya sheria lakini sasa inakuaje usiweze kuajiriwa hadi law school? Sio ni ushenzi huu.
-kazi za wenye degree ya sheria mbona nyingi tu unaweza kuwa afisa forodha,afisa tawala,afisa rasilimali watu, operation officer, afisa mambo ya nje,nk nk nk sio lazima uwe State attorney, magistrate
 
Nimejikuta naanza kuchangia kwa kupiga hesabu kwenye jukwaa la siasa na sio jambo la kawaida.

1,570,000 * 265=.......

Kwa mwaka wana "intakes" ngapi? kwa hiyo hilo jibu hapo unaweza kulizidisha mara mbili!.

Hivi kwa majibu ya hiyo hesabu hapo juu nikisema hao jamaa wapo kwa ajili ya kuwatapeli watanzania nitakuwa nakosea?

Kwa hiyo idadi ya wanafunzi wanaofeli sioni sababu ya wazazi kupeleka watoto wao huko "Law School", hiyo elimu sasa imegeuzwa kufaulu kuwa sawa na kushinda bahati nasibu, suala la uwezo wa mwanafunzi halipo tena.

Hili lisipoangaliwa, huko mbele tuendako naiona idadi ya wanafunzi wanaosoma sheria vyuoni itaanza kupungua, hasa kama wakizingatia mbele ya safari mambo ndio yanakuwa magumu kiasi hicho.

Bora hiyo ada ya Law School wazazi wawape watoto wao wafanye mtaji wa biashara, sio mahangaiko mengi na bado mwisho wa siku uhakika wa ajira haupo, ni kupoteza muda tu.
Intake zinakuwa mbili kwa mwaka. Kuna ya mwezi wa 12 na mwezi wa 7, na kila intake inabebe wanafunzi wasiopungua 700 ambao hutakiwa kulipa 1,570,000 kabla ya kuanza masomo. Hapo kama akifeli anarudia mtihani mara kwanza bure, lakini mara ya pili atatakiwa alipe 30,000 kwa kozi. Sasa unakuta mtoto anarudia kozi 9, ambapo anaweza kuzirudia hata mara 2 ndiyo afaulu. Kwenye kurudia nasikia wanakuwepo wanafunzi wasiopungua 2000 ambao wamelipa 30,000 kwa kozi.

Hapo bado hawajalamisha wanafunzi wanunue vitabu vyao ili wafaulu. Maana majibu yako kwenye vitabu vyao kwasababu wao ndiyo wataalamu wa hayo masomo. Kitabu kimoja bei ya chini ni 40,000. Hapo bado mwanafunzi hajala, hajalala na kununua sheria (Statutes), halafu hana mkopo wa kusomea, mbona ataona kila aina ya rangi..

LAW SCHOOL IS A PONZI SCHEME.....
 
-kazi za wenye degree ya sheria mbona nyingi tu unaweza kuwa afisa forodha,afisa tawala,afisa rasilimali watu, operation officer, afisa mambo ya nje,nk nk nk sio lazima uwe State attorney, magistrate
Sekta nyeti kama BANKING and TAX siyo lazima uwe wakili ndiyo uzifanye. Kuhusu STATE ATTORNEY kuwa wakili ni siku hizi tu. Mimi niliajiriwa hata sijawa wakili na maisha yakasonga vizuri sana tu.
 
[emoji81][emoji81] hili nalo mka liangalie



Disco na sup zote hizo afu pass 26 seriously. Na hao wote wame toka Secondary. High level wengne diploma na wali faulu iweje wa fail kwa kiwango icho .kuna tatizo hapa
Mkuu, unashangaa hilo tu. Kuna mtu kasoma LLB, LLM, PhD Uingereza halafu LST walimkamata na akadisco. Akaachana nao akaenda kusoma Uingereza akafaulu vizuri kwelikweli, ndiyo akarudi tena hapa BONGO. Mpaka leo hana hamu..
 
Mkuu, unashangaa hilo tu. Kuna kasoma LLB, LLM, PhD Uingereza walimkamata na akadisco. Akaachana nao akaenda kusoma Uingereza akafaulu vizuri kwelikweli, ndiyo akarudi tena hapa BONGO. Mpaka leo hana hamu..
-huyo kasoma UINGEREZA hao huwa wanafeli sana kwa sababu wengi wao hawazijui Sheria za tanzania vizuri, but only legal principles za common law.
 
-huyo kasoma UINGEREZA hao huwa wanafeli sana kwa sababu wengi wao hawazijui Sheria za tanzania vizuri, but only legal principles za common law.
Hebu tuacheni mzaha. Hivi, unataka kuniambia kwamba masomo kama CIVIL PROCEDURE, CRIMINAL PROCEDURE na COMMERCIAL LAW ambazo ni Carbon Copy ya sheria za Uingereza mtu anaweza kushindwa kuelewa kweli ndani ya miezi sita. Mbali na hizo, masomo kama LEGAL DRAFTING na HUMAN RIGHTS yana utanzania upi ambao mtu aliyesoma Uingereza anashindwa kuufahamu ???

Wengine hatujawahi kusoma Zanzibar na kuzifahamu sheria zao, lakini tunaweza vizuri kabisa kwenda kwenye mahakama za Zanzibar baada ya kujifunza na kufanya vizuri tu. Kiufupi, hakuna kitu kikubwa kwenye sheria za Tanzania ambacho hamuigi kutoka kule Uingereza.
 
Hebu tuacheni mzaha. Hivi, unataka kuniambia kwamba masomo kama CIVIL PROCEDURE, CRIMINAL PROCEDURE na COMMERCIAL LAW ambazo ni Carbon Copy ya sheria za Uingereza mtu anaweza kushindwa kuelewa kweli ndani ya miezi sita. Mbali na hizo, masomo kama LEGAL DRAFTING na HUMAN RIGHTS yana utanzania upi ambao mtu aliyesoma Uingereza anashindwa kuufahamu ???

Wengine hatujawahi kusoma Zanzibar na kuzifahamu sheria zao, lakini tunaweza vizuri kabisa kwenda kwenye mahakama za Zanzibar baada ya kujifunza na kufanya vizuri tu. Kiufupi, hakuna kitu kikubwa kwenye sheria za Tanzania ambacho hamuigi kutoka kule Uingereza.
-kuhusu Commercial law ni kweli ni parimateria to some extent to tanzanian commercial laws, Civil procedure ya tz ni parimateria to indian civil procedure if imnot mistaken .
 
-kuhusu Commercial law ni kweli ni parimateria to some extent to tanzanian commercial laws, Civil procedure ya tz ni parimateria to indian civil procedure if imnot mistaken .
Hakuna kitu hamjaiga kutoka Muingereza, hivyo hoja ya kusema wanafunzi waliosoma kule wanafeli kwasababu hawana uelewa na sheria za kitanzania nadhani haina mashiko sana. LST kuna tatizo kubwa mno ambalo inabidi liangaliwe kwa upana.
 
Hivi wewe PASCO unaweza kumwandikia mtu ushauri wa kisheria na ukalipwa kama wakili bila muhuri ?
Nimesema kuna watu kibao wamesoma sheria lakini wanafanya shughuli nyingine na sio za uwakili. Ma legal officers kibao hata kwenye baadhi ya law firms sio mawakili!, watu wote wenye certificates in law na wenye ODL wanafanya paralegal na wanasaidia wananchi kwenye issues za kisheria kuliko mawakili. Watu wanafeli sana LST kwasababu sheria inahitaji watu very smart upstairs, enzi zetu bila Div. 1 sheria utaisikia!, sasa kila Tom, Dick and Harry anataka kuwa wakili na kuna vyuo kibao hadi vya uchochoroni vinatoa LL.B. Pale UDSM 1st class ya mwisho ni ya Prof. Hamidu Majamba, ilipatikana 1992 mpaka leo its 30 years hakuna 1st class ya sheria!. Leo nenda kaangalie matokeo ya LL.B za KIU!, mtu ana Div.111 kajiunga KIU katoka na 1st Class, wanatoa 1st class za kumwaga kama zote!,
Sasa mtu kama huyu pale LST lazima tuu atazungusha!.
P.
 
Hakuna kitu hamjaiga kutoka Muingereza, hivyo hoja ya kusema wanafunzi waliosoma kule wanafeli kwasababu hawana uelewa na sheria za kitanzania nadhani haina mashiko sana. LST kuna tatizo kubwa mno ambalo inabidi liangaliwe kwa upana.
  • sio kila sheria zinafanana na uingereza,
  • lst kuna tatizo kwa sababu ya massive failure ?vipi kuhusu nbaa (cpa)?.
 
Nimesema kuna watu kibao wamesoma sheria lakini wanafanya shughuli nyingine na sio za uwakili. Ma legal officers kibao hata kwenye baadhi ya law firms sio mawakili!, watu wote wenye certificates in law na wenye ODL wanafanya paralegal na wanasaidia wananchi kwenye issues za kisheria kuliko mawakili. Watu wanafeli sana LST kwasababu sheria inahitaji watu very smart upstairs, enzi zetu bila Div. 1 sheria utaisikia!, sasa kila Tom, Dick and Harry anataka kuwa wakili na kuna vyuo kibao hadi vya uchochoroni vinatoa LL.B. Pale UDSM 1st class ya mwisho ni ya Prof. Hamidu Majamba, ilipatikana 1992 mpaka leo its 30 years hakuna 1st class ya sheria!. Leo nenda kaangalie matokeo ya LL.B za KIU!, mtu ana Div.111 kajiunga KIU katoka na 1st Class, wanatoa 1st class za kumwaga kama zote!,
Sasa mtu kama huyu pale LST lazima atazungusha!.
P.
Kwahiyo bwana Pasco unataka kuniambia kwamba watu wanafeli LST kwasababu hawana uwezo kichwani ?
 
  • sio kila sheria zinafanana na uingereza,
  • lst kuna tatizo kwa sababu ya massive failure ?vipi kuhusu nbaa (cpa)?.
Nitajie ni somo lipi la sheria hapa nchini Tanzania ambalo misingi yake haipo kwenye falsafa na mapokeo ya sheria za Uingereza. Nafahamu, kwamba sheria za bunge (Statutes) na sheria ndogo ndogo (Regulations, Rules etc) zinaweza kuwa za Tanzania, lakini hili haliondoi uzito kwamba hata mbinu mnazotumia kufasasiri na kuandika sheria zenu za nchi mmeiga Uingereza. AU naongopa ???
 
Nitajie ni somo lipi la sheria hapa nchini Tanzania ambalo misingi yake haipo kwenye falsafa na mapokeo ya sheria za Uingereza. Nafahamu, kwamba sheria za bunge (Statutues) na sheria ndogo ndogo (Regulations, Rules etc) zinaweza kuwa za Tanzania, lakini hili haliondoi uzito kwamba hata mbinu mnazotumia kufasasiri na kuandika sheria zenu za nchi mmeiga Uingereza. AU naongopa ???
-ulisoma nilichoandika hapo awali? nilishasema legal principles za common law, hukuiona hii?
 
Nimesema kuna watu kibao wamesoma sheria lakini wanafanya shughuli nyingine na sio za uwakili. Ma legal officers kibao hata kwenye baadhi ya law firms sio mawakili!, watu wote wenye certificates in law na wenye ODL wanafanya paralegal na wanasaidia wananchi kwenye issues za kisheria kuliko mawakili. Watu wanafeli sana LST kwasababu sheria inahitaji watu very smart upstairs, enzi zetu bila Div. 1 sheria utaisikia!, sasa kila Tom, Dick and Harry anataka kuwa wakili na kuna vyuo kibao hadi vya uchochoroni vinatoa LL.B. Pale UDSM 1st class ya mwisho ni ya Prof. Hamidu Majamba, ilipatikana 1992 mpaka leo its 30 years hakuna 1st class ya sheria!. Leo nenda kaangalie matokeo ya LL.B za KIU!, mtu ana Div.111 kajiunga KIU katoka na 1st Class, wanatoa 1st class za kumwaga kama zote!,
Sasa mtu kama huyu pale LST lazima atazungusha!.
P.
Akili za vichwa maji kama hizi ndo zina kiharibu chuo cha UDSM , Hata kama mtu ana stahili ata nyimwa tu marks zake hili upoyoyo wa record uendelee
 
Kwahiyo bwana Pasco unataka kuniambia kwamba watu wanafeli LST kwasababu hawana uwezo kichwani ???
No sio hawana uwezo kichwani, law is a professinal for smart people, they are not smart enough!. FCO ilikuwa inatafuta Political Advisor, tumeomba more than 100 people, tukafanya interview 16 tukawa shortlisted, tukafanya oral tukabak 6. 3 wana Ph.D, 2 wana Masters 1 ambaye ni mimi ndio ni 1st degree, tukapewa amplitude timed test ya 10 question for 30 min. Mimi nilimaliza after 25 min. Mimi ndie niliyepata hiyo kazi!. Kuna wasomi wazuri tuu wana Ph.D za maana tuu, but they are not smart!
Law needs smart people!.
P
 
Mdg angu baada ya kuona Hilo akabadili gia angani kaawachia vumbi sashv anafanya mamb mengine huko serekalini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom