DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Halafu unategemea majaji watoe haki: akina Siyani- Slippery and unobjective character sasa ni jaji kiongozi!
 
Mkuu ulipoliguza kwenye mboni ya jicho! ni mmojawapo wa wala rushwa wa LST hao. Yanayotuharibikia mihimili yetu kwa kutoa vilaza wasiojiamini!
 
Mkuu ulipoliguza kwenye mboni ya jicho! ni mmojawapo wa wala rushwa wa LST hao. Yanayotuharibikia mihimili yetu kwa kutoa vilaza wasiojiamini!

Yalidhani yataendelea kuwadanganya watu wote siku zote.
 
Haiwezekani wanafunzi wengi kiasi hicho kufeli kama waalimu walitimiza wajibu wao! Waalimu hao wachunguzwe huenda wao ndiyo vilaza!
 
Kama na wewe ni 'wakili msomi' naona na wewe ni walewale. Huwezi kuargue bila matusi!
 
Kama na wewe ni 'wakili msomi' naona na wewe ni walewale. Huwezi kuargue bila matusi!

Matusi unayasoma wapi ndugu? Mbona ni ustaraabu wa kawaida tu kutokuweka tafsiri zako binafsi kama ambavyo ungetaka kwenye maneno ya mwingine.
 
Upumbavu ni subjective. Kwanini hudhani mtetea upumbavu unaweza kuwa wewe?

Hata enzi hizo wapumbavu wenye kutetea upumbavu kama wako walikuwapo.

Kifupi ajue tu kuwa upumbavu ulianza zamani sana, hatumshangai kwa yeye anapouonesha maana sio jambo jipya.
 
Haiwezekani wanafunzi wengi kiasi hicho kufeli kama waalimu walitimiza wajibu wao! Waalimu hao wachunguzwe huenda wao ndiyo vilaza!
Wahamishwe, LST waje walimu wengine kutoka taasisi mbalimbali za elimu za serikali, walimu wa LST wasijipe umuhimu kihivyo. Wameonea watu, INATOSHA sasa
 
swali ambalo huwa najiuliza, kama hawa waalimu wa lawschool ni wazuri sana, mbona huku mahakamani tunawazidi akili? au ni hasira za wivu wa maendeleo?
 
swali ambalo huwa najiuliza, kama hawa waalimu wa lawschool ni wazuri sana, mbona huku mahakamani tunawazidi akili? au ni hasira za wivu wa maendeleo?
Wanapanic balaa. Wanajifanya wanajua sheria kuliko watu wote, huku uwezo huo haupo kiuhalisia. Wanaficha aibu zao kwa kufelisha wanafunzi
 
swali la kujiuliza, wanajitetea kwamba wanafunzi hawaandaliwi kwenye vyuo wanavyotoka, that means including UDSM. na huo ujinga waalimu wa udsm ndio wameuleta. mtakufa na roho mbaya zenu, mbona tukikutana mahakamani ni kama sisi ndio waalimu wenu?
 
Serikali sio wajinga nchi ikiwa na wanasheria wengi Sana mtaani itakua njia kupotea kwa ccm
Inaonekana hata ulichokiandika hukijui!!kwani uki fail hapo law school,ndio uanasheria wako unapotea!?wanachokuzuia ni kuwa WAKILI Tu lakini utaendelea kuwa MWANASHERIA.
 
Taaluma ya kijambazi ambayo humnyang'anya haki mwenye haki kwa kutumia ujuzi wa kusema kwa kumhofisha mwenye haki.
Taaluma ya kumtetea mwizi ili aonekane hana hatia ili hali huyo mtetezi (wakili) akijua huyo anaemtetea kaiba kweli.
Taaluma ya uwakili haina hata chembe ya ubinadamu kutokana na tabia yake ya kupindisha ukweli hata kama huyo wakili analijua hilo cha msingi kwake ni kupata pesa tu.hawa jamaa sijui makanisani na misikitini huwa wanafuata nini
 
Serikali iajiri wazungu wakiendeshe chuo hicho ili kuondoa malalamiko
 
Umemaliza kazi vijana hao wanajiona mno wacha wapambne wenyewe kwa wenyewe
 
Hapana ndugu nyangindo, taaluma ya sheria na fani ya uwakili bado ina mchango mkubwa katika kutetea haki katika jamii.
Ni mambo mangapi unadhani watu wameweza kusingiziwa, kubambikiwa, kuhujumiwa na hata kudhulumiwa lakini waliweza kutetewa na hao hao mawakili.
Fani ya uwakili hujaribu kumtetea yeyote yule ambae anahitaji msaada. Sheria zipo wazi kazi ya kuitafsiri sheria hiyo ni mahakama wakili kazi yake ni kuielekeza mahakama katika kutafsiri kuliko bora kabisa na sahihi ki ujumla.
Je, wewe unadhani tukiwaondoa mawakili mifumo yetu ya mahakama iendeshwe kwa mfumo gani ambao utakuwa ailimia mia moja salama na kujitosheleza kiasi cha kwamba hakutahitajika wakili?
 
Mnataka kilaa mtu awe wakili kwa kulazimisha big result now ili mje muwaite mawakili wa mchongo...Ukifel law school soma postgraduate ya education ujikite na ualimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…