Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Ha ha ha !1. Mkurugenzi wa Manunuzi: Nestory Machumbe
2. Mkuu Kitengo Cha Satelite: Karim Chitenda.
au unataka na namba zao na picha kabisa?
Mkuu nimekuvulia kofia kwa hasira yako kwa mafisadi wa ndani 💪💪💪!
Tupe na picha mkuu!
Hii inanikumbusha vijana walioiva wa UVCCM, kama mbwai iwe mbwai!!