Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

Ni eneo gani la serikali ambalo halina vijana wa TISS? Je hakuna ufisadi? watu wanachomoa pesa hadi benki kuu na TISS wamejazana kibao, mbona nilifikiri una akili kuzidi hii comment yako?

Na kwa taarifa yako kilichosababisha aombe kujiudhuru ni kutokana na mwenendo wa uchunguzi unaoenda kuwatia hatiani maana yeye kama msimamizi na pay master wa serikali lazima awajibike kwa uzembe uwe wa kujua au wa kutokujua.
TISS si malaika ni wanadamu tu na wao. Pia wana tamaa ya pesa. Uzalendo umetuishia.
 
BAADHI YA TUHUMA ZINAZODAIWA KUMPELEKEA DR. AYUBU RYOBA KUJIUZULU
  • Yeye binafsi hana tuhuma za moja kwa moja, anawajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyofanywa na wasaidizi wake.
  • Wasaidizi hao kwa uchache ni Mkurugenzi wa Manunuzi na Mkuu wa Sattelite.
  • Tayari baadhi yao wamekuwa wakihojiwa na TAKUKURU.
  • Makampuni Zaidi ya matatu yamekuwa yakihusika katika kupata zabuni bila kufuata sheria.
  • Na Kampuni hizo zimekuwa zikiweka bei hadi mara tatu ya bei halisi za sokoni.
  • Kampuni hizo moja wapo ni ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).
  • Ipo miradi mingi imetekelezwa kwa mabilioni ya pesa za walipa kodi nab ado haifanyi kazi, nitajaribu kuelezea michache.
  • Pia Channel ya SAFARI imekubwa na matumizi mabaya ya pesa, yaani UFISADI.
Sote tunafahamu tetesi zilizosambaa juzi kati kuwa Mkurugenzi wa TBC, Dr. Ayubu Chacha Ryoba amejiuzulu. Ni kweli alijiuzulu na kuchukua likizo ya muda mfupi.

Sababu ya kujiuzulu ni kuwajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi ambayo yamekuwa yakifanywa hasa na wasaidizi wake, wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manunuzi, na Mkuu wa Sattelite. Wawili hawa wamekuwa wakishirikiana na kampuni za ndani na nje katika kuibua miradi na kulipa mabilioni ya pesa huko ubora wa TBC ukiwa hauboreki licha ya serikali kuwapa mabilioni kila mwaka.

KUHOJIWA NA TAKUKURU
Baada ya Taarifa kumfikia Waziri Mkuu, Mh. Majaliwa K. Majaliwa aliagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi katika baadhi ya Tuhuma walizopelekewa na katika baadhi ya miradi iliyotekelezwa na kampuni tatu: ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).

Katika mahojiano hayo kuna mambo kadhaa wameyabaini na bado wanaendelea kuyachunguza, nitajaribu kugusua hizi kampuni zao na uhusika wake kwa ufupi.

ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA)
Hizi ni kampuni pacha zinazoshirikiana katika kufanya kazi za kinyume na sheria TBC. Sheria ya manunuzi ya umma inakataza kampuni ambayo imeshiriki kuandaa tender nayo kuwa sehemu ya kuomba tender.

Ambacho wamekuwa wanafanya ni kuwa; TBC wakitaka kutekeleza mradi wanamuomba ONSET ENGINEERING kutoa pendekezo la mradi, huyu ONSET anatoa vifaa na bajeti ya huo mradi, tender ikitangazwa haombi kupitia ONSET bali anaomba kupitia washirikia wake wanaoitwa ENERGY & TELECOM na wanaweka bei kubwa sababu tayari wanakuwa wameficha Technical Specifications za vifaa, hivyo waombaji wengine hata wakiwa na bei chini wanaambiwa wameshindwa kwenye Technical Specifications na mwisho wa siku mradi unaoweza kutekelezwa kwa bilioni moja kwa uhalisia wa bei ya soko unaweza kutekelezwa kwa bilioni 2 hadi 3. Na wahusika wananyamaza sababu wanafaidika. Na huyu ONSET amekuwa akifanya miradi ya TBC toka mwaka 1999. Hivyo kwa kuongezea TAKUKURU ichunguze miradi yake yote na bei ambazo amekuwa akilipwa.

WAMEKUWA WAKILIPWA KABLA YA UTEJELEZAJI WA MIRADI
Nitaweka mfano wa mradi mmoja kati ya mingi, hii kampuni ilipewa mradi wa kutengeneza Community Radio Jijini Dodoma kwa gharama ya 1.74 bilioni, kabla ya kutekeleza tayari TBC ikawalipa 1.72B Ikabaki just 20,000,000. Mradi huu ulikuwa uzinduliwe na Hayati Magufuli May 2020, lakini ulisuasua kwa muda mrefu huku Muisrael na washirika wake wa Tanzania wakisingizia Corona.

Community Radio haiwezi kugharimu 1.74 Bilioni kama hakuna upigaji kwa bei za kawaida. Zaidi ya yote ilikuwaje walipwe kabla ya utekelezaji kinyume na sheria za manunuzi ya Umma? Nafikiri TAKUKURU wamekwisha ifanyia kazi na wana majibu Zaidi.

NB: Muhimu miradi yote chini ya hawa watu ichunguzwe na watendaji wanaowajibika wote wawajibishwe.

JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES LTD
Hii kampuni ni kampuni inayoendeshwa kijanja kijanja, nafikiri wengi mnajua hizi kampuni zinazojiita General Enterprise, kwamba wao kila kitu wana supply, na kuna wakati serikali ilizipiga marufuku.

Kwanza hii kampuni sio ya kitaalamu katika kufanya supply ya mambo ya Broadcasting, haina wataalamu, workshop wala ofisi nzuri, ana stationery ambayo anasema ndio ofisi yake.

Hii kampuni imeingizwa kiujanja na Mkurugenzi wa Manunuzi TBC na Mkuu wa Sattelite, ambaye ndio amekuwa kama mmiliki wa hii kampuni.

Moja ya kashifa yake kubwa ni kupewa mradi wa Tender Na: PA/084/2019-2020/G/33 (attached their delivery note).

Mradi huu ulikuwa unahusisha Supply, Installation, Training and Commisioning of Studio Equipments wenye thamani ya 855,000,000.

Kampuni hii haikuwa ma mtaji, hivyo Mkurugenzi wa Manunuzi akawalazimisha watendaji wake wa chini kusaini nyaraka kuonyesha huyu Jemo tayari kafanya supply, kafanya installation na kafanya training hivyo anastahili kulipwa.

Mkurugenzi wa manunuzi akahakikisha Jemo analipwa pesa 100% ndipo akaenda kunua vifaa hivyo. Sasa baada ya kununua sababu hana utaalamu na hana wataalamu alienda akavibwaga TBC bila installation na training na hadi leo baadhi ya vifaa viko stoo havifanyi kazi iliyokusudiwa ila wao tayari maisha yao yanaenda kwa kuchezea pesa za walipa kodi.

Lakini Zaidi ni kinyume cha sheria ya manunuzi kumpa mzabuni pesa ndio akanunulie vifaa. Huyu Jemo hadi leo mtaji wake aliosajiri Brela unaonyesha kuwa ana mtaji wa milioni 5 toka alipoanzisha kampuni mwaka 2013, ina maana mtaji wake haukui wala hafanyi annual retirement na msajiri wa makampuni brela.

UFISADI SAFARI CHANNEL
Uchunguzi pia umebaini kuwa katika hii Safari Channel kuna ufisadi mkubwa sana na unamgusa moja kwa moja Mkurugenzi wa Manunuzi na Msimamizi wa Hii Channel.

HITIMISHO
Mabilioni ya pesa ambayo TBC inatumia kila mwaka hayaendani na ubora wa picha wala maudhui, kuna miradi mingi sana pale wanaiita White Elephants Project. Ni kweli Dr. Ayubu Ryoba sio mtu corrupt lakini ameshindwa kabisa kujua kuwa watendaji walio chini yake wanamzunguka na kufanya vitendo vya kifisadi.

Hivyo kama anawajibika awajibike lakini hawa watendaji wanaohujumu Shirika pindi TAKUKURU wakikamilisha Uchunguzi wao basi wapelekwe mahakamani.

View attachment 2015188
View attachment 2015189
Sasa hapa Ryoba hahusiki vipi wakati yeye masuuli? Inakuwaje watu wanapiga yeye anakaa kimya? Waswahili tunasema mkamatwa na ngozi ndiye mwizi.
 
Haiwezekani hausiki; kwa sisi tuliosoma fraud vizuri tunajua anahusika: 100%.

1. Alikuwa haoni fedha zikitoka? Kama anaona alikuwa hafuatilii matokeo ya fedha kutoka?

2. Alikuwa naona Hivo vifaa bila training and kufungwa; mkurugenzy hajui? Wala Hakuna Vikao kujadili?

3. Hauju policy na taratibu za office yake? Kabisa hajui; utaratibu wa manunuzi yeye hajui kabisa kabisa?
Mkuu huenda mleta mada ndo Ryoba mwenyewe kwa namna anavyojisafisha ila kwa vyovyote yeye ni mtuhumiwa wa kwanza
 
CAG huwa anakagua receipt na nyaraka tu. kuna uhitaji ofisi ya CAG ikapanuliwa kwa kuwa na wataalamu katika baadhi ya Proffesionalism. hivyo ofisi ile ina mapungufu. hata kamati za bunge zinazokagua hizi taasisi watu hawawekwi kwa utaalamu wao, hivyo loophole za kupiga ni nyingi sana.
Ofisi ya CAG ina wataalamu wa Aina zote ulizotaja. Mbali ya kukagua procurement procedures pia wanakagua value for money Kwa kulinganisha BOQ na market price. Ukiona hakijaonekana kitu ujue si ujisefu wa wataalamu Bali ni ongezeko la maelekezo toka juu.
 
Vitu nilivyogundua ni kwanza matatizo ya TBC tunayoona kwenye TV chanzo chake ni utawala wa shirika,pili huu waraka una agenda ya kumsafisha Ayubu Ryoba
 
Watanidaka kwa kosa gani mkuu, maana wao wanavuna walichopanda, huyo Mkurugenzi wa manunuzi kakutwa na madudu mengi TAKUKURU, kuna wakati baada ya kumlipa mzabuni mmoja hapo alinunua IST 10 kaziingiza UBER, kakutwa anajenga ghorofa ambalo haliendani na mshahara na kipato chake, toka August kishaitwa TAKUKURU mara 5, hivyo ni mambo yaliyo wazi na yeye anafahamu kuwa muda wa kulipia dhambi zake ni sasa, na nimeweka mifano ya miradi michache, miradi hewa pale sio chini ya 20 na imegharimu mabilioni ya shilingi.
Migambo wanaruka na kukanyagana, kaazi kweli kweli.
 
Vitu nilivyogundua ni kwanza matatizo ya TBC tunayoona kwenye TV chanzo chake ni utawala wa shirika,pili huu waraka una agenda ya kumsafisha Ayubu Ryoba
ni kweli uongozi wa Shirika una mapungufu. ukitaka kujua nenda kaangalie bajeti ya AZAM na ya TBC, ya TBC iko juu with poor quality, hata TV za mtaani zenye very low bajeti kuwa zina ubora na zinafanya biashara kuliko TBC, what a shame.
 
Kumbe ndo maana kila siku ni vipindi vya kusifu na mapambio kumbe wana yakwao wanayoyafanya gizani.Shirika lenyewe ata halieleweki pamoja na ukongwe wake.
 
This is a political hit job. Angekuwa fisadi mngesubiri hadi atangaze kuacha kazi ndo muanze kumchafua?

TBC is a vital installation. Kuna watu wa TISS wamejazana pale. Giving you benefit of doubt, huo "ufisadi" uliwezekanaje under their watch?
Tss gani hiyo unayoizungumzia. kwan we huoni nchi ilivyo ovyo kila mahali.
 
Watanidaka kwa kosa gani mkuu, maana wao wanavuna walichopanda, huyo Mkurugenzi wa manunuzi kakutwa na madudu mengi TAKUKURU, kuna wakati baada ya kumlipa mzabuni mmoja hapo alinunua IST 10 kaziingiza UBER, kakutwa anajenga ghorofa ambalo haliendani na mshahara na kipato chake, toka August kishaitwa TAKUKURU mara 5, hivyo ni mambo yaliyo wazi na yeye anafahamu kuwa muda wa kulipia dhambi zake ni sasa, na nimeweka mifano ya miradi michache, miradi hewa pale sio chini ya 20 na imegharimu mabilioni ya shilingi.
Hapa kwenye kununua Ist 10 na kuingiiza uber mie sijaona ubaya wake......vijana wa mtaani si wameshapata ajira 😳😳😳
 
BAADHI YA TUHUMA ZINAZODAIWA KUMPELEKEA DR. AYUBU RYOBA KUJIUZULU
  • Yeye binafsi hana tuhuma za moja kwa moja, anawajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyofanywa na wasaidizi wake.
  • Wasaidizi hao kwa uchache ni Mkurugenzi wa Manunuzi na Mkuu wa Sattelite.
  • Tayari baadhi yao wamekuwa wakihojiwa na TAKUKURU.
  • Makampuni Zaidi ya matatu yamekuwa yakihusika katika kupata zabuni bila kufuata sheria.
  • Na Kampuni hizo zimekuwa zikiweka bei hadi mara tatu ya bei halisi za sokoni.
  • Kampuni hizo moja wapo ni ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).
  • Ipo miradi mingi imetekelezwa kwa mabilioni ya pesa za walipa kodi nab ado haifanyi kazi, nitajaribu kuelezea michache.
  • Pia Channel ya SAFARI imekubwa na matumizi mabaya ya pesa, yaani UFISADI.
Sote tunafahamu tetesi zilizosambaa juzi kati kuwa Mkurugenzi wa TBC, Dr. Ayubu Chacha Ryoba amejiuzulu. Ni kweli alijiuzulu na kuchukua likizo ya muda mfupi.

Sababu ya kujiuzulu ni kuwajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi ambayo yamekuwa yakifanywa hasa na wasaidizi wake, wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manunuzi, na Mkuu wa Sattelite. Wawili hawa wamekuwa wakishirikiana na kampuni za ndani na nje katika kuibua miradi na kulipa mabilioni ya pesa huko ubora wa TBC ukiwa hauboreki licha ya serikali kuwapa mabilioni kila mwaka.

KUHOJIWA NA TAKUKURU
Baada ya Taarifa kumfikia Waziri Mkuu, Mh. Majaliwa K. Majaliwa aliagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi katika baadhi ya Tuhuma walizopelekewa na katika baadhi ya miradi iliyotekelezwa na kampuni tatu: ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).

Katika mahojiano hayo kuna mambo kadhaa wameyabaini na bado wanaendelea kuyachunguza, nitajaribu kugusua hizi kampuni zao na uhusika wake kwa ufupi.

ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA)
Hizi ni kampuni pacha zinazoshirikiana katika kufanya kazi za kinyume na sheria TBC. Sheria ya manunuzi ya umma inakataza kampuni ambayo imeshiriki kuandaa tender nayo kuwa sehemu ya kuomba tender.

Ambacho wamekuwa wanafanya ni kuwa; TBC wakitaka kutekeleza mradi wanamuomba ONSET ENGINEERING kutoa pendekezo la mradi, huyu ONSET anatoa vifaa na bajeti ya huo mradi, tender ikitangazwa haombi kupitia ONSET bali anaomba kupitia washirikia wake wanaoitwa ENERGY & TELECOM na wanaweka bei kubwa sababu tayari wanakuwa wameficha Technical Specifications za vifaa, hivyo waombaji wengine hata wakiwa na bei chini wanaambiwa wameshindwa kwenye Technical Specifications na mwisho wa siku mradi unaoweza kutekelezwa kwa bilioni moja kwa uhalisia wa bei ya soko unaweza kutekelezwa kwa bilioni 2 hadi 3. Na wahusika wananyamaza sababu wanafaidika. Na huyu ONSET amekuwa akifanya miradi ya TBC toka mwaka 1999. Hivyo kwa kuongezea TAKUKURU ichunguze miradi yake yote na bei ambazo amekuwa akilipwa.

WAMEKUWA WAKILIPWA KABLA YA UTEJELEZAJI WA MIRADI
Nitaweka mfano wa mradi mmoja kati ya mingi, hii kampuni ilipewa mradi wa kutengeneza Community Radio Jijini Dodoma kwa gharama ya 1.74 bilioni, kabla ya kutekeleza tayari TBC ikawalipa 1.72B Ikabaki just 20,000,000. Mradi huu ulikuwa uzinduliwe na Hayati Magufuli May 2020, lakini ulisuasua kwa muda mrefu huku Muisrael na washirika wake wa Tanzania wakisingizia Corona.

Community Radio haiwezi kugharimu 1.74 Bilioni kama hakuna upigaji kwa bei za kawaida. Zaidi ya yote ilikuwaje walipwe kabla ya utekelezaji kinyume na sheria za manunuzi ya Umma? Nafikiri TAKUKURU wamekwisha ifanyia kazi na wana majibu Zaidi.

NB: Muhimu miradi yote chini ya hawa watu ichunguzwe na watendaji wanaowajibika wote wawajibishwe.

JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES LTD
Hii kampuni ni kampuni inayoendeshwa kijanja kijanja, nafikiri wengi mnajua hizi kampuni zinazojiita General Enterprise, kwamba wao kila kitu wana supply, na kuna wakati serikali ilizipiga marufuku.

Kwanza hii kampuni sio ya kitaalamu katika kufanya supply ya mambo ya Broadcasting, haina wataalamu, workshop wala ofisi nzuri, ana stationery ambayo anasema ndio ofisi yake.

Hii kampuni imeingizwa kiujanja na Mkurugenzi wa Manunuzi TBC na Mkuu wa Sattelite, ambaye ndio amekuwa kama mmiliki wa hii kampuni.

Moja ya kashifa yake kubwa ni kupewa mradi wa Tender Na: PA/084/2019-2020/G/33 (attached their delivery note).

Mradi huu ulikuwa unahusisha Supply, Installation, Training and Commisioning of Studio Equipments wenye thamani ya 855,000,000.

Kampuni hii haikuwa ma mtaji, hivyo Mkurugenzi wa Manunuzi akawalazimisha watendaji wake wa chini kusaini nyaraka kuonyesha huyu Jemo tayari kafanya supply, kafanya installation na kafanya training hivyo anastahili kulipwa.

Mkurugenzi wa manunuzi akahakikisha Jemo analipwa pesa 100% ndipo akaenda kunua vifaa hivyo. Sasa baada ya kununua sababu hana utaalamu na hana wataalamu alienda akavibwaga TBC bila installation na training na hadi leo baadhi ya vifaa viko stoo havifanyi kazi iliyokusudiwa ila wao tayari maisha yao yanaenda kwa kuchezea pesa za walipa kodi.

Lakini Zaidi ni kinyume cha sheria ya manunuzi kumpa mzabuni pesa ndio akanunulie vifaa. Huyu Jemo hadi leo mtaji wake aliosajiri Brela unaonyesha kuwa ana mtaji wa milioni 5 toka alipoanzisha kampuni mwaka 2013, ina maana mtaji wake haukui wala hafanyi annual retirement na msajiri wa makampuni brela.

UFISADI SAFARI CHANNEL
Uchunguzi pia umebaini kuwa katika hii Safari Channel kuna ufisadi mkubwa sana na unamgusa moja kwa moja Mkurugenzi wa Manunuzi na Msimamizi wa Hii Channel.

HITIMISHO
Mabilioni ya pesa ambayo TBC inatumia kila mwaka hayaendani na ubora wa picha wala maudhui, kuna miradi mingi sana pale wanaiita White Elephants Project. Ni kweli Dr. Ayubu Ryoba sio mtu corrupt lakini ameshindwa kabisa kujua kuwa watendaji walio chini yake wanamzunguka na kufanya vitendo vya kifisadi.

Hivyo kama anawajibika awajibike lakini hawa watendaji wanaohujumu Shirika pindi TAKUKURU wakikamilisha Uchunguzi wao basi wapelekwe mahakamani.

View attachment 2015188
View attachment 2015189
Hayo yote weka pembeni, vipi sasa kuna nafasi za kazi zilizoachwa na hao watu wabaya? Tujulishe.
 
Kama ningekuwa mie kwenye mamlaka ya serikali,ningeinunua tu kama itv ama wasafi ndio ikawa radio na channel ya Taifa tu ,yaani ubunifu wa vipindi vya wasafi radio ni bora zaidi kuliko tbc taifa
 
Mkuu huenda mleta mada ndo Ryoba mwenyewe kwa namna anavyojisafisha ila kwa vyovyote yeye ni mtuhumiwa wa kwanza

Kwa jinsi alivyoanisha point lazima ni yeye au andiko lake kampa mtu, who can take all that trouble?
 
BAADHI YA TUHUMA ZINAZODAIWA KUMPELEKEA DR. AYUBU RYOBA KUJIUZULU
  • Yeye binafsi hana tuhuma za moja kwa moja, anawajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyofanywa na wasaidizi wake.
  • Wasaidizi hao kwa uchache ni Mkurugenzi wa Manunuzi na Mkuu wa Sattelite.
  • Tayari baadhi yao wamekuwa wakihojiwa na TAKUKURU.
  • Makampuni Zaidi ya matatu yamekuwa yakihusika katika kupata zabuni bila kufuata sheria.
  • Na Kampuni hizo zimekuwa zikiweka bei hadi mara tatu ya bei halisi za sokoni.
  • Kampuni hizo moja wapo ni ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).
  • Ipo miradi mingi imetekelezwa kwa mabilioni ya pesa za walipa kodi nab ado haifanyi kazi, nitajaribu kuelezea michache.
  • Pia Channel ya SAFARI imekubwa na matumizi mabaya ya pesa, yaani UFISADI.
Sote tunafahamu tetesi zilizosambaa juzi kati kuwa Mkurugenzi wa TBC, Dr. Ayubu Chacha Ryoba amejiuzulu. Ni kweli alijiuzulu na kuchukua likizo ya muda mfupi.

Sababu ya kujiuzulu ni kuwajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi ambayo yamekuwa yakifanywa hasa na wasaidizi wake, wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manunuzi, na Mkuu wa Sattelite. Wawili hawa wamekuwa wakishirikiana na kampuni za ndani na nje katika kuibua miradi na kulipa mabilioni ya pesa huko ubora wa TBC ukiwa hauboreki licha ya serikali kuwapa mabilioni kila mwaka.

KUHOJIWA NA TAKUKURU
Baada ya Taarifa kumfikia Waziri Mkuu, Mh. Majaliwa K. Majaliwa aliagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi katika baadhi ya Tuhuma walizopelekewa na katika baadhi ya miradi iliyotekelezwa na kampuni tatu: ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).

Katika mahojiano hayo kuna mambo kadhaa wameyabaini na bado wanaendelea kuyachunguza, nitajaribu kugusua hizi kampuni zao na uhusika wake kwa ufupi.

ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA)
Hizi ni kampuni pacha zinazoshirikiana katika kufanya kazi za kinyume na sheria TBC. Sheria ya manunuzi ya umma inakataza kampuni ambayo imeshiriki kuandaa tender nayo kuwa sehemu ya kuomba tender.

Ambacho wamekuwa wanafanya ni kuwa; TBC wakitaka kutekeleza mradi wanamuomba ONSET ENGINEERING kutoa pendekezo la mradi, huyu ONSET anatoa vifaa na bajeti ya huo mradi, tender ikitangazwa haombi kupitia ONSET bali anaomba kupitia washirikia wake wanaoitwa ENERGY & TELECOM na wanaweka bei kubwa sababu tayari wanakuwa wameficha Technical Specifications za vifaa, hivyo waombaji wengine hata wakiwa na bei chini wanaambiwa wameshindwa kwenye Technical Specifications na mwisho wa siku mradi unaoweza kutekelezwa kwa bilioni moja kwa uhalisia wa bei ya soko unaweza kutekelezwa kwa bilioni 2 hadi 3. Na wahusika wananyamaza sababu wanafaidika. Na huyu ONSET amekuwa akifanya miradi ya TBC toka mwaka 1999. Hivyo kwa kuongezea TAKUKURU ichunguze miradi yake yote na bei ambazo amekuwa akilipwa.

WAMEKUWA WAKILIPWA KABLA YA UTEJELEZAJI WA MIRADI
Nitaweka mfano wa mradi mmoja kati ya mingi, hii kampuni ilipewa mradi wa kutengeneza Community Radio Jijini Dodoma kwa gharama ya 1.74 bilioni, kabla ya kutekeleza tayari TBC ikawalipa 1.72B Ikabaki just 20,000,000. Mradi huu ulikuwa uzinduliwe na Hayati Magufuli May 2020, lakini ulisuasua kwa muda mrefu huku Muisrael na washirika wake wa Tanzania wakisingizia Corona.

Community Radio haiwezi kugharimu 1.74 Bilioni kama hakuna upigaji kwa bei za kawaida. Zaidi ya yote ilikuwaje walipwe kabla ya utekelezaji kinyume na sheria za manunuzi ya Umma? Nafikiri TAKUKURU wamekwisha ifanyia kazi na wana majibu Zaidi.

NB: Muhimu miradi yote chini ya hawa watu ichunguzwe na watendaji wanaowajibika wote wawajibishwe.

JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES LTD
Hii kampuni ni kampuni inayoendeshwa kijanja kijanja, nafikiri wengi mnajua hizi kampuni zinazojiita General Enterprise, kwamba wao kila kitu wana supply, na kuna wakati serikali ilizipiga marufuku.

Kwanza hii kampuni sio ya kitaalamu katika kufanya supply ya mambo ya Broadcasting, haina wataalamu, workshop wala ofisi nzuri, ana stationery ambayo anasema ndio ofisi yake.

Hii kampuni imeingizwa kiujanja na Mkurugenzi wa Manunuzi TBC na Mkuu wa Sattelite, ambaye ndio amekuwa kama mmiliki wa hii kampuni.

Moja ya kashifa yake kubwa ni kupewa mradi wa Tender Na: PA/084/2019-2020/G/33 (attached their delivery note).

Mradi huu ulikuwa unahusisha Supply, Installation, Training and Commisioning of Studio Equipments wenye thamani ya 855,000,000.

Kampuni hii haikuwa ma mtaji, hivyo Mkurugenzi wa Manunuzi akawalazimisha watendaji wake wa chini kusaini nyaraka kuonyesha huyu Jemo tayari kafanya supply, kafanya installation na kafanya training hivyo anastahili kulipwa.

Mkurugenzi wa manunuzi akahakikisha Jemo analipwa pesa 100% ndipo akaenda kunua vifaa hivyo. Sasa baada ya kununua sababu hana utaalamu na hana wataalamu alienda akavibwaga TBC bila installation na training na hadi leo baadhi ya vifaa viko stoo havifanyi kazi iliyokusudiwa ila wao tayari maisha yao yanaenda kwa kuchezea pesa za walipa kodi.

Lakini Zaidi ni kinyume cha sheria ya manunuzi kumpa mzabuni pesa ndio akanunulie vifaa. Huyu Jemo hadi leo mtaji wake aliosajiri Brela unaonyesha kuwa ana mtaji wa milioni 5 toka alipoanzisha kampuni mwaka 2013, ina maana mtaji wake haukui wala hafanyi annual retirement na msajiri wa makampuni brela.

UFISADI SAFARI CHANNEL
Uchunguzi pia umebaini kuwa katika hii Safari Channel kuna ufisadi mkubwa sana na unamgusa moja kwa moja Mkurugenzi wa Manunuzi na Msimamizi wa Hii Channel.

HITIMISHO
Mabilioni ya pesa ambayo TBC inatumia kila mwaka hayaendani na ubora wa picha wala maudhui, kuna miradi mingi sana pale wanaiita White Elephants Project. Ni kweli Dr. Ayubu Ryoba sio mtu corrupt lakini ameshindwa kabisa kujua kuwa watendaji walio chini yake wanamzunguka na kufanya vitendo vya kifisadi.

Hivyo kama anawajibika awajibike lakini hawa watendaji wanaohujumu Shirika pindi TAKUKURU wakikamilisha Uchunguzi wao basi wapelekwe mahakamani.

View attachment 2015188
View attachment 2015189
Imekaa vizuri lakini kuna mengi hayajaandikwa, yamefichwa au hayajatolewa ufafanuzi wa kina
 
Back
Top Bottom