Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Acha ujinga pungaa ww?? Unajua tafsiri ya neno LOGIC.

tukio lolote lile litokeapo watu lazima watafute clues ambazo by logical sequence zina connect dots zinazokupeleka mojakwamoja kwenye matokeo ya tukio lenyew.

unaposapoti ujinga inadhihirisha ww ni mjinga zaidi ya aliefanya ujinga au alieutamka.

kama kitu hukijui ni bora ukae kimya ufiche ujinga ulionao.

Mwenyekiti wenu hawezi kujivua lawama au kuhusishwa na tukio hili.
I refused to to be stupid. And will keep airing out my ignorance because I know there are talented peoples out there who will redeem me out of ignorance. With all due respect, you are not one of them. Not even close. You need light years to come close to my bubbles. One thing, if you are not happy with my post just stay away from it.

Whatever dots you may have, whatever clue you may have, they won't make any sense if they are simply pile of speculatuons.

Here is the thing, if you have a clue seek an asylum to any embassy you trust and blow your whistle as loud as it is audible. Make sure it is credible, vinginevyo people will think you an ASSHOLE.

Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
 
Msitupoteze au kutuondoa kwenye point,uchunguzi polisi wanajua pa kuanzia mnapokazania waanzie watu wa karibu yake mnataka waanze kubambikia watu kesi na matokeo yake mharifu halisi hatakaa akajulikana,yale yale ya Dr. Ulimboka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafki na propaganda ni vitu vya ajabu sana duniani, hofu ya Mungu imeondoka watu wamemvaa Shetani wanatembea naye kwenye roho zao. Mtu bila haya unajitokeza hadharani eti tusichanganye suala la kupigwa risasi mh Lissu na siasa? Hizi ni laana zinazozunguka na ndio maana taifa linakumbwa na majanga ya ukame,matetemeko ya ardhi ajali kwa sababu ya wanafki wachache.

Hivi Tundu Lissu ni mwizi? Jambazi? Mporaji? au ni kipi hasa ambacho kinaweza kumfanya kupata maadui kwenye maisha yake? Huyu kiongozi aliyepigwa risasi nyingi mchana kweupe ikiwa hana hata fimbo mikononi mwake ni kwa sababu ipi zaidi ya kuhusianisha na majukumu yake ya kila siku?

Amelalamikia kufuatwa na maadui na kisha kuomba vyombo vya ulinzi na usalama viwaonye maadu hao, walijitokeza watu wakiomba kutoa uhai wake, walijitokeza watu wakiliomba jeshi la polisi kuacha kuwatafuta wapigaji risasi eti kwa sababu amekua mpinga maendeleo. Hawa wote ni maadui wa Lissu, haya yote wameyasema kwa sababu ya siasa za Lissu, sisi wengine kwanini tusiseme kua kuna hisia za 100% kwamba walimpiga Lissu risasi ni wale wanaohisi kua anapinga maendeleo? Je, Lissu ana uwezo gani kuzuia serikali hii kutekeleza majukumu yake? Kama alitoka hadharani na kusema ndege ilizuiwa kwa sababu ya deni, ni vipi sasa amezuia maendeleo? Kama hupendwi unalazimishaje kupendwa kwa mtutu wa bunduki?


Wanaccm wengi wamekua wa kwanza kujifanya kuguswa kinafki na tukio la kupigwa risasi kwa Mh Lissu, siku zote wamekua msitari wa mbele kuomba mambo haya yamtokee mh Lissu eti Leo hii wameguswa? Ni unafki huu! Ukizungukia kwa kuingia kwenye mitandaoni mbali mbali ya kijamii utakuta wengi wao wanafurahia kabisa kwa masahibu yaliyompata mh Lissu, wengine wamechukizwa na mh Lissu kubaki hai bila kujua kua mlinzi wake ni Mungu na hata sio binadamu.

Vijana wa CCM ndio wanaolifanya tukio hili liwe na sura ya kisiasa haswa, kufurahi kwao ndio kunawapa watu kuamini hivyo. Huenda akili zao haziwezi kupima uzito wa mambo either kwa kukosa ufahamu wa propaganda ama ni ushamba tuu wanaoutumia kufanya siasa.

Hili halina ubishi kua Lissu amepatwa na zahma zote kwa sababu ya kuikosoa serikali na alitambua kwamba ipo siku hayo yote yatamkuta.Lissu ni mtu wa Mungu na Mungu pekee ndiye atakayepanga kumtua duniani, binadamu hana mamlaka hayo kamwe.
 
Cc TumainiEL:-
Kwani leo una kazi maalumu humu au wanakitengo wamekususia?
Hivi kati ya wanaccm milioni 8 na ushee wewe ndio mwenye mwenye uchungu sana kuhusishwa kwenu na tukio lile?
Na hizi za uhusika wa wanacdm kujimiminia risasi na tena nyingine kutoka ndani ya gari badala ya nje umezijuaje kama haupo ndani ya kikosi kilichohusika na ama kushambulia au kuchunguza?
Inaonekana unayo mengi sana ya kuweza kumkamata huyu invisible na au ni wewe mwenyewe kwa jinsi unajieleza!
Wito wangu kwa hawa makachero wetu, huyu mtu atawafaa sana kwani anayo mengi ya kuweza kuwakamatia hawa invisible killers. Anawajua na anaijua mipango yao kuanzia ndani na nje ya cdm kwani anawataja kwa majina. Msimpuuze kwani atawasaidia hata kuwa shahidi upande wa jamhuri pindi mkiwafungulia mashtaka watuhumiwa aliowataja humu.
TumainiEL kama upo dodoma kamwone rpc kwani anawahitaji watu kama wewe kukamilisha kazi yake. Kila la heri huko rumande utakokuwa japo tutmisi pumba zako humu kwa kuwa kule hakuna simu. Msalimie na yule dogo wa arusha aliyedakwa jana.
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Lemutuz nakuunga mkono mia kwa mia umenena ukweli mia kwa mia na zima feg yangu maana kweli tusichukue mambo namna hii ili ni taifa jamani Magufuli aende kupambana na inzi kwa kifaru siulofa
 
I refused to to be stupid. And will keep airing out my ignorance because I know there are talented peoples out there who will redeem me out of ignorance. With all due respect, you are not one of them. Not even close. You need light years to come close to my bubbles. One thing, if you are not happy with my post just stay away from it.

Whatever dots you may have, whatever clue you may have, they won't make any sense if they are simply pile of speculatuons.

Here is the thing, if you have a clue seek an asylum to any embassy you trust and blow your whistle as loud as it is audible. Make sure it is credible, vinginevyo people will think you an ASSHOLE.

Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
Cheap wasted sperm..!!!!ptuuuuu!!

work on your kindergarten grammar first.

Le plus stupide!!!!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Nimekuja kasi kusoma na kujua hiyo tetesi lakini sijaiona. Kwenye uzi wako hiyo TETESI ipo wapi mbona siioni?
 
Cheap wasted sperm..!!!!ptuuuuu!!

work on your kindergarten grammar first.

Le plus stupide!!!!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
I didn't know that either. Thanks for the updates.

Spalgis epius
 
Siamini kabisa umvaa kilemba ukaandika huu uzi kisa buku 7 kha
 
Tusio juwa yaliomo ndani kwa kupigwa risasi Lisu tunahaha kwenye majukwa na kusema Lisu kapigwa risasi a serikali system ila hakuna mtu kawahi kujiuliza aduwi wa kwanza walisu ni nani na hili linafanya Lisu kuonekana kapigwa risasi na maafisa usalama wa serikali jambo ambalo sio kweli..

Nasema sio kweli maana tangu mwanzo Lisu hakukubaliana na kuingia Lowasa chadema na hili sio siri yapo maneno aliyasema kwenye vikao ambayo kiuhalisia yanawanyima usingizi watawala wa chadema

Pili Lisu ni mwanasheria ana mahusiano na watu mm na wewe hatuyajuwi na ktk hayo mausiano yanazuwa hali ya hatari kwa usalama wke

Tatu nilazima tukumbuke ndani ya chadema hakupo shwari kuna msuguano ambao kwa wale wengi wanajuwa ulianza siku chadema walimkubal lowassa sio siri Lisu na team ya watu wengine hawakuwa rahisi kukubali ila mwisho all we know and what is going on God know

Nne watu walio tengeneza hili tukio walikuwa very calculated walitengeneza mazingira yakumfanya Lisu awe front kupingana na serikali ili wakitekeleza mission yao serikali yetu ichafuliwe why waichafuwe nitaelezea next story...

Tano mahusiano kati ya mafisadi papa na kudukuliwa kwa nyeti za serikali na kuhisiwa lisu ni agent wa serikali ni siri imejificha yani walio fanya tukio walikuwa na nia yakummaliza kwakuwa jamaa walihisi anapeleka nyeti za chama kwa agent x as ye know chadema pia wana.. Wao.

Kikosi cha usalama cha chadema pia kinahusika why hiki kikosi kina sifa nzito ktk kutekeleza usalama wa mchama wao in short lisu hawamuamini na inaonekana ni tishio kwa chama na uwenda kelele anazifanya anataka ajekuwa mgombea wa chama badala ya ....... Hilo likawatia mashaka na kusema dawa ni kummaliza japo wakashindwa...

Zipo tetesi uwenda lisu ana maaduwi wengi kuliko huyu tunamuwaza yani serikali kinadharia lisu sio tishio ktk utawala wa Magu ila kama tutafunuliwa siri zingine Lisu ana maadui kuzidi serikali ni akina nani kwanini....

Lipo jambo lakutisha sana na hili nilazima sote tujuwe lisu anasilaha na kama sijakosea dereva anayo matundu ya risasi tunayaona yana pande mbili na uwenda hata silaha zimetumika zika tofauti bad thing chadema ktk tetesi zipo wanatabia yakutumia dereva kufanikisha kazi zao na hili niushaid wakutosha kwenye kifo cha chacha wangwe hatuitaji kusema sana ila nahapa kunaitaji uwazi matobo yarisasi zinazobtokea ndani yalikuwa ya silaha ipi na kwa nini nani alirusha risasi tokea ndani na kwanini..

Serikali kiukweli kwa asilimia mia ukiwa na akili naunajuwa kufuwatilia maswala ya kiuchunguzi mchawi wa chadema ni chadema wenyewe why uliza viongoz wajuu mimi sijuwi...

Serikali iweke wazi yote na mwisho chadema wajuwe serikali hii sio yakupambana na wanasiasa uchwara inapiga kazi nabhaitishiwi nyau na uvumi kama huu.
Mleta uzi kwa ujumla huu uzi uliokuja nao ni mawazo yako na kila mtu ana mawazo yake .

Hii kazi polisi ndio wanaifanyia kazi kwa hiyo tutaona nani ni muhusika wa haya mambo.

Kwa ujumla hili jambo la Lisu sio jepesi kama tunavyochukulia kwani tukumbuke tuingia mikataba mingi ya kulinda utu mfano mkataba wa Roma kwani tusishangae hili swala mwisho likaingiliwa na wapelelezi wa Kimataifa kwa hiyo tuache hiki chombo husika kifanye kazi yake.

Kwa mtu anayefuatilia siasa za hapa hawezi kupepesa macho Mfano mnzuri hata Nape aliongekea na maongezi yake hukuwa na haja ya Hoja kama hii wakati majibu uliyasikia kwa Mku Nape kuendana kilichomtokea ndugu yetu

Ee Mwenyezi Mungu naomba umponyeshe Lisu mapema kwani ukweli hili jambo analijua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Bashite rafiki yako kakutuma,siwezi kumsikiliza kubwa Jinga kama wewe.
Kapunguze mautumbo tumboni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha you are in deed a rotten wasted sperm, and i just made u dance my tune[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Fils de pute...!!!!!!
Sure! You played it well. She is here with me and I didn't know she is such a booty shaker. And you are indeed good at it. Thanks and bye. I hope we are good.

Leave me in my bubbles and have good day.

Spalgis epius
 
Wengi hawapendwi watu wakweli sijui kwa nini?
 
Ccm ni janga kuu la nchi hii, siku wakifurushana ndiyo itakuwa usalama wetu
 
Back
Top Bottom