Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Facts ? Hayo ya zamani kuyataja ni useless lakini pia ahasante kwa kuyakumbusha. Kwa ufupi hayo kuanzia mweme chai nk kweli hayakufanywa na magufuli lakini thank ku admit yalikua ni mauaji. Hayo yalifanywa na serikali hii hii ya Ccm. Wote hawa ni sawa tu kwenye masuala ya uvumilivu.
ila haya ya sasa yanayo fanyika kama kutekwa kwa watu mbali mbali.
kupotea kwa watu mbali mbali.
maiti za watu ndani ya viroba kuokotwa hovyo mpaka sasa zaidi ya 25 huku raia wasio hatia wakichukuliwa huko kibiti bila kujulikana wako wapi na nila kesi.
waumini kutekwa 14 msikiti wa ali mchumo huko mkuranga ambapo walishambiliwa na kumwaga damu msikitini na baada ya waislam kupiga kelele wakaachiwa mmoja amekufa na mmoja katolewa jicho wengine vilema. Ni aibu
vitendo vya kupigwa mabomu IMMA offices.
vitendo vya hovyo kukamata vijana wanao daiwa kwa makosa ya mtandao huku wale wa ccm wakitukana na kutishia mpaka kuua bila kuguswa
vitendo vya wabunge kufatwa fatwa na wengine kutishwa wasijaribu kusogelea jiji la Dar
kutishiwa kupigwa risasi hadharani Nape masaa tu alipo achishwa uwaziri.
na sasa hili la Lissu kuripoti kuwa anafatwa bila kuchukuliwa hatua za kiusalama hatimae wakamfata dodoma na kumdhindilia risasi. ....my friend haya ya sasa ni too far and too extreme too dangerous ...lakini wanao fanya they dont care about the consequences...they just want this umma to be quite na tushangirie tu hata kama tunatumbukizwa chooni.
mimi nikushauri kama wewe una amini in straight talk anzisha Mada ya kusapoti vitu viwili
mosi perliamentary enquiry kuhusu mauaji ya kibiti.
pili independent enquiry ya jaribio la kumuua Tundu Lissu...tuwaite Scotland yard...
anzisha mada hio kwenye blogu yako na social media na vijana kwa mamilioni wata kusapoti kuishinikiza serikali ili tupate ukweli usio na chenga.
ila kwa sasa no body will trust anybody from the authority as you said tayari wao wananyoishewa vidole....let straigh talk not bla bla.... siku zote ukiwa upande wa wanao dhulumu basi nawe dhulati....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu lazima kuna laana fulani hivi. Hasa hiyo ya kujifanya matawi ya juu kisha kuacha mama anaishi kama Chokoraa hadi kujifia katika huzuni kubwa lazima laana isikuache.
Hivi ni kweli yule mama alikuwa amezaa na mzee Chigwemisye? Mbona mzee alimtosa namna ile? Au baada ya kuona kazaa toto punguani nini, maana katika watoto wa yule mzee wanaofahamika bogus ni huyu.

Yaani hiyo sio siri..ndio sabab huyu gasho watu humuogopa kama ukoma hapa mjini. Just we fikiria ni watu gani ulishasikia wamemzungumzia huyu takataka kama rafiki.

of all my life in social media mpaka media zingine sijawai sikia any one anamtaja huyu boya rafiki.

mama yake katesa sana huyu pimbi akipakuliwa huku mjini na vibosile. Yule mama unaambiwa ata hela ya ugoro alikuwa ana kosa.

Yaani huyu puNga si riziki. Ndio sabab ndugu mpaka baba zake huwez kusikia wamezungumzia hili bwawa.. analaaaaana huyu.
 
Kiukweli huu sio wakati wa kukaa na kujadili hili suala ila kwa maoni yangu cha kwanza cha kufuatilia katika uchunguzi ni kumuangalia kwanza mtu wa karibu yake then mengine yafuate hapo ndipo tutakapopata chanzo cha uchunguzi wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusio juwa yaliomo ndani kwa kupigwa risasi Lisu tunahaha kwenye majukwa na kusema Lisu kapigwa risasi a serikali system ila hakuna mtu kawahi kujiuliza aduwi wa kwanza walisu ni nani na hili linafanya Lisu kuonekana kapigwa risasi na maafisa usalama wa serikali jambo ambalo sio kweli..

Nasema sio kweli maana tangu mwanzo Lisu hakukubaliana na kuingia Lowasa chadema na hili sio siri yapo maneno aliyasema kwenye vikao ambayo kiuhalisia yanawanyima usingizi watawala wa chadema

Pili Lisu ni mwanasheria ana mahusiano na watu mm na wewe hatuyajuwi na ktk hayo mausiano yanazuwa hali ya hatari kwa usalama wke
Mbona leo unahangaika sana kama kuku mtetea kuitetea serikali, mwenzako Le mutuz kakushauri tuiachie serikali ifanye uchunguzi.

Kwa kadri unavyobabaika wachunguzi wa mambo watakuhizi au unayemtetea anahusika.
 
Nilichoelewa ni kwamba ccm mnataka kumsingizia dereva ndiye aliyempiga lissu risasi
 
Mbona serikali ilikataa Scotland yard kufanya uchunguzi kupotea kwa Ben Sanane? Nadhani tulipofikia tuite vyombo vya nje vije vitusaidie kufanya uchunguzi tuachane na jeshi letu la polisi limeishashindwa matukio mengi yametokea na mengine yamemaliza zaidi ya miaka 5 uchunguzi haujakamilika. Kwa sasa hatuna imani na jeshi letu la polisi katika kufanya uchunguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Hayo matukio ulioyataja, serikali iliyachunguza na kutoa ripoti dhidi ya wahusika Wa mauaji hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusio juwa yaliomo ndani kwa kupigwa risasi Lisu tunahaha kwenye majukwa na kusema Lisu kapigwa risasi a serikali system ila hakuna mtu kawahi kujiuliza aduwi wa kwanza walisu ni nani na hili linafanya Lisu kuonekana kapigwa risasi na maafisa usalama wa serikali jambo ambalo sio kweli..

Nasema sio kweli maana tangu mwanzo Lisu hakukubaliana na kuingia Lowasa chadema na hili sio siri yapo maneno aliyasema kwenye vikao ambayo kiuhalisia yanawanyima usingizi watawala wa chadema

Pili Lisu ni mwanasheria ana mahusiano na watu mm na wewe hatuyajuwi na ktk hayo mausiano yanazuwa hali ya hatari kwa usalama wke

Tatu nilazima tukumbuke ndani ya chadema hakupo shwari kuna msuguano ambao kwa wale wengi wanajuwa ulianza siku chadema walimkubal lowassa sio siri Lisu na team ya watu wengine hawakuwa rahisi kukubali ila mwisho all we know and what is going on God know

Nne watu walio tengeneza hili tukio walikuwa very calculated walitengeneza mazingira yakumfanya Lisu awe front kupingana na serikali ili wakitekeleza mission yao serikali yetu ichafuliwe why waichafuwe nitaelezea next story...

Tano mahusiano kati ya mafisadi papa na kudukuliwa kwa nyeti za serikali na kuhisiwa lisu ni agent wa serikali ni siri imejificha yani walio fanya tukio walikuwa na nia yakummaliza kwakuwa jamaa walihisi anapeleka nyeti za chama kwa agent x as ye know chadema pia wana.. Wao.

Kikosi cha usalama cha chadema pia kinahusika why hiki kikosi kina sifa nzito ktk kutekeleza usalama wa mchama wao in short lisu hawamuamini na inaonekana ni tishio kwa chama na uwenda kelele anazifanya anataka ajekuwa mgombea wa chama badala ya ....... Hilo likawatia mashaka na kusema dawa ni kummaliza japo wakashindwa...

Zipo tetesi uwenda lisu ana maaduwi wengi kuliko huyu tunamuwaza yani serikali kinadharia lisu sio tishio ktk utawala wa Magu ila kama tutafunuliwa siri zingine Lisu ana maadui kuzidi serikali ni akina nani kwanini....
Mbona unalia sana msibani na uko too defensive? Wewe ndo mchawi, policcm waanze nawewe
 
Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.

Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.

Ukweli ni kwamba katika Chadema kwa sasa kuna Chadema walio Chadema na kuna Chadema wasio Chadema. Tundu Lissu ni Chadema aliye Chadema ila viongozi wengi ni Chadema wasio Chadema.
Lowassa yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusio juwa yaliomo ndani kwa kupigwa risasi Lisu tunahaha kwenye majukwa na kusema Lisu kapigwa risasi a serikali system ila hakuna mtu kawahi kujiuliza aduwi wa kwanza walisu ni nani na hili linafanya Lisu kuonekana kapigwa risasi na maafisa usalama wa serikali jambo ambalo sio kweli..

Nasema sio kweli maana tangu mwanzo Lisu hakukubaliana na kuingia Lowasa chadema na hili sio siri yapo maneno aliyasema kwenye vikao ambayo kiuhalisia yanawanyima usingizi watawala wa chadema

Pili Lisu ni mwanasheria ana mahusiano na watu mm na wewe hatuyajuwi na ktk hayo mausiano yanazuwa hali ya hatari kwa usalama wke

Tatu nilazima tukumbuke ndani ya chadema hakupo shwari kuna msuguano ambao kwa wale wengi wanajuwa ulianza siku chadema walimkubal lowassa sio siri Lisu na team ya watu wengine hawakuwa rahisi kukubali ila mwisho all we know and what is going on God know

Nne watu walio tengeneza hili tukio walikuwa very calculated walitengeneza mazingira yakumfanya Lisu awe front kupingana na serikali ili wakitekeleza mission yao serikali yetu ichafuliwe why waichafuwe nitaelezea next story...

Tano mahusiano kati ya mafisadi papa na kudukuliwa kwa nyeti za serikali na kuhisiwa lisu ni agent wa serikali ni siri imejificha yani walio fanya tukio walikuwa na nia yakummaliza kwakuwa jamaa walihisi anapeleka nyeti za chama kwa agent x as ye know chadema pia wana.. Wao.

Kikosi cha usalama cha chadema pia kinahusika why hiki kikosi kina sifa nzito ktk kutekeleza usalama wa mchama wao in short lisu hawamuamini na inaonekana ni tishio kwa chama na uwenda kelele anazifanya anataka ajekuwa mgombea wa chama badala ya ....... Hilo likawatia mashaka na kusema dawa ni kummaliza japo wakashindwa...

Zipo tetesi uwenda lisu ana maaduwi wengi kuliko huyu tunamuwaza yani serikali kinadharia lisu sio tishio ktk utawala wa Magu ila kama tutafunuliwa siri zingine Lisu ana maadui kuzidi serikali ni akina nani kwanini....
Inabidi ukaisaidie Polisi kwani unaonekana unawajua wahusika waliyempiga risasi Tundu Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..hili linafanya Lisu kuonekana kapigwa risasi na maafisa usalama wa serikali jambo ambalo sio kweli...
Unaonaje ukireport kwa RPC wa Dodoma ukawasaidie info? Thread zako zote leo umeshupalia jambo moja tu na mchango wako muhimu unaweza kutoa mwanga kwa police wetu.
 
Tusio juwa yaliomo ndani kwa kupigwa risasi Lisu tunahaha kwenye majukwa na kusema Lisu kapigwa risasi a serikali system ila hakuna mtu kawahi kujiuliza aduwi wa kwanza walisu ni nani na hili linafanya Lisu kuonekana kapigwa risasi na maafisa usalama wa serikali jambo ambalo sio kweli..

Nasema sio kweli maana tangu mwanzo Lisu hakukubaliana na kuingia Lowasa chadema na hili sio siri yapo maneno aliyasema kwenye vikao ambayo kiuhalisia yanawanyima usingizi watawala wa chadema

Pili Lisu ni mwanasheria ana mahusiano na watu mm na wewe hatuyajuwi na ktk hayo mausiano yanazuwa hali ya hatari kwa usalama wke

Tatu nilazima tukumbuke ndani ya chadema hakupo shwari kuna msuguano ambao kwa wale wengi wanajuwa ulianza siku chadema walimkubal lowassa sio siri Lisu na team ya watu wengine hawakuwa rahisi kukubali ila mwisho all we know and what is going on God know

Nne watu walio tengeneza hili tukio walikuwa very calculated walitengeneza mazingira yakumfanya Lisu awe front kupingana na serikali ili wakitekeleza mission yao serikali yetu ichafuliwe why waichafuwe nitaelezea next story...

Tano mahusiano kati ya mafisadi papa na kudukuliwa kwa nyeti za serikali na kuhisiwa lisu ni agent wa serikali ni siri imejificha yani walio fanya tukio walikuwa na nia yakummaliza kwakuwa jamaa walihisi anapeleka nyeti za chama kwa agent x as ye know chadema pia wana.. Wao.

Kikosi cha usalama cha chadema pia kinahusika why hiki kikosi kina sifa nzito ktk kutekeleza usalama wa mchama wao in short lisu hawamuamini na inaonekana ni tishio kwa chama na uwenda kelele anazifanya anataka ajekuwa mgombea wa chama badala ya ....... Hilo likawatia mashaka na kusema dawa ni kummaliza japo wakashindwa...

Zipo tetesi uwenda lisu ana maaduwi wengi kuliko huyu tunamuwaza yani serikali kinadharia lisu sio tishio ktk utawala wa Magu ila kama tutafunuliwa siri zingine Lisu ana maadui kuzidi serikali ni akina nani kwanini....
Hivi viroba bado vingali mtaani jamani[emoji54]
Sio kwa juhudi hizi za kujaribu kutakasa mioyo na akili zetu....
Haitatakata si kwa jiki wala OMO...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta Uzi ni wa hovyo sana! Atakuwa anaitwa kilaza na anafikiria kwa kutumia masaburi style!
Kamwambie DAB!
 
Guys ni MAWAZO yake, msimdharau wala kumforce awaze kama nyinyi.
Op nimekuelewa
 
Back
Top Bottom