Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Serikali hii hii inayodaiwa majibu kuhusu Ulimboka, Kibanda, zile maiti kwenye vifurushi bila kusahau Ben Saanane?

Tanzania sio ya kikundi kidogo cha watu wachache. Tanzania ni ya kila Mtanzania, na kila Mtanzania ana haki ya kuongea. Hata kama mpo karibu na watawala haimaanishi mna mamlaka ya kuwapangia watu cha kusema/kuandika.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
- Ungeufikisha Polisi huu ushahidi wako mzito sana na wa uhakika sana.

le Mutuz[/QUOT
- Well Mamen the Americans taught me to demand the reasonable truth beyond the doubt, ndio maana hatutawapa free pass si unaona walivyo panic na hii doze, tutaendelea kuwapa doze tu hata kama wanajifanya hawaelewi na kumbuka hawa wana njia zao za kukubali ukweli huwa wanatukana sana ujue wanakubali the truth

le Mutuz
bila baba kuwa na wadhifa mkubwa serikalini we bonge hata kibaigwa usingefika kutoka kwenu mtera huko..watu wamehustle bila favor na wametusua...nenda kalale sebleni kubwa jinga!!
 
Inawezekana una hoja nzuri yenye mashiko. Punguza jazba kidogo, kisha kwa utulivu andika hoja yako ama zako kuhusiana na unavyoelewa ama unavyoamini juu ya tukio hili baya Sana.

Kwa mfano:
1.Kuna wanaodhani serikali imehusika, kwasababu ya Mh.Lisu kuipa changamoto kubwa.

2.Wapo wanaodhani, kuna baadhi ya watu wasiofurahishwa na utendaji wa serikali, mathalani tumbuatumbua inayoendelea. Hivyo, wameamua kumfitinisha Mh.Rais kwa wananchi kwa namna yoyote ikiwamo kama hii pamoja na nyingine.

3.Wapo wanaodhani, huenda ni inside job. Yaani baadhi ya wanachama wa CHADEMA wametishwa na umaarufu pamoja na Courage ya Mh. Lisu na kwamba anatishia nafasi zao hivyo kuazimia kumuondoa.

4.Mh.Lisu ni wakili mahiri, anajihusisha na kesi nyingi. Huenda katika utendaji kazi wake wakatokea watu walioumizwa hivyo kuazimia kulipiza kisasi. Na kwakuwa tayari watu hao wanajua the prime suspect itakuwa serikali, huenda ikawa rahisi wao kutekeleza azma yao.

Hayo ni kwa uchache, na kutokana na mkanganyiko huo, ndiyo sababu y'all busara kutuelekeza kusubiri taarifa ya vyombo vya ulinzi na usalama. Baada ya taarifa kutoka ndipo tutakuwa kwenye nafasi nzuri kukosoa na hata kuchukua hatua zaidi pale tutakapokuwa hatujaridhika.

Kuhukumu upande mmoja kunasaidia kupoteza mhalifu wa kweli pale inapokuwa anayetuhumiwa si mhusika wa tukio. Mbaya zaidi mhusika halisi atakapoptikana huenda akatetewa kwasababu tayari focus imekuwa kwa aliyetuhumiwa awali.

Kama Serikali/jeshi la polisi haliaminiki basi mwenye tuhuma zenye uthibitisho aziweke hadharani ili uma uone. Tusiongee kwa hisia tu ama kwa kuconnect dots. Hata wahalifu wengine wanaweza tumia nafasi ya hisia ama kuconect dots kama kichaka cha kutekeleza uhalifu wao wakijua wazi kuwa, kwa hisia na kuconect dots ni serikali itakayohusishwa.

Tuwe watulivu tukisubiri taarifa ya jeshi la polisi. Na pia kwa wenye uwezo wafanye uchunguzi binafsi ili taarifa wanazoleta ziwe na ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
One word: PATHETIC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FACT;
TUNDU LISSU alikwisha waambia Sirro na yule wa TISS tena hadharani kuwa kuna "vijamaa" vyao vinamfuatilia kila mahali Kwa gari alilowapa namba zake
Je walichukua hatua gani?
 
Le Mutuz kaongea point sana, ila kama watu wanalazimisha kufikiri ya kwao basi waendelee, tuna "Freedom of Speech" ambayo wengi tunaidhihaki, ila kweli tuiachie dola iwatafute watuhumiwa, otherwise mnajenga chuki tu kati ya mashabiki wa vyama..
Katika issue kama hizi, serikali imeshawahi kumkamata nani na kumwajibisha nani? Nipe mfano mmoja tu.
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz

Nikuulize swali, maraisi wanabadilika ila kuna watu fulani wao wapo tu na ndio wanajiona wenye nchi ,hao ndio na ndio ndio wao, walio wao wamefanya wao.
 
Watu Wasiojulikana wanatakiwa watafutwe kwelikweli maana matukio yote haya walihusishwa;

1. Prof.Juan Mwaikusa

2. Dr.Ulimboka

3. Absolum Kibanda

4. Dr. S. Mvungi.

5. Alphonce Mawazo,

6. Ben Saanane,

7. Nnape Nauye

8. Roma Mkatoliki na wenzake

9. Ofisi ya IMMA Advocates na,

10. Tundu Lissu.
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Umeandika matukio mengi .....Rais hakuwa magufuli ila ni fact kuwa Ben saanane kapotezwa na tiss rais akiwa magufuli, alphonce mawazo kauwawa na ccm rais akiwa magufuli, nape katolewa bastola na watu wa ikulu rais akiwa magufuli, makonda alitumwa na magufuli kuvamia clouds, magufuli alimwagiza spika ndugai awashuglikie wapinzan bungeni, na yeye magufuli atawashuglikia nje ya bunge kwa sasa naishia hapa nitaendelea........
 
AAHAHA JAMAA UMENICHEKESHA KWELI.

YANI UNAITETEA SERIKALI HALAFU UMELETA MTIRIRIKO WA MAUAJI YALIYOFANYWA NA VYOMBO VYA DOLA, SASA SIJUI UMEMAANISHA NIN? KWAN KUNA ALYESEMA MAGUFULI NDYE ALYERUSHA RISAS JANA? MBNA UNAMCHAFUA RAIS SASA
 
IMG-20170908-WA0006.jpg
 
Wewe Malechela ni mpuuzi tu. Kwanza tuambie alikokuwa rafiki yako wakati Bosi wake akipokea Ripoti ya Makinikia.
 
Back
Top Bottom