Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Huu ndio ukweli na asiyetaka kuukubali basi ahame nchi...
Watu humu wanaituhumu na kuichkia serikali kwa mambo yao binafsi na sio kwa faida ya Taifa....msitake kufanya nchi hii kua ninyi ndio mnaiskilizia uchungu..wengine maisha yao hayahusiani na siasa dawa zikose waisha zoea wanatumia za kienyeji sasa hawa wahanga wa ajira ndio mnasumbua Taifa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama serikali imehusika je, itasema kweli?

Halafu huyu mtu anajigamba eti amekaa mamtoni miaka thelathini anakuja na hoja mfu kama hii sasa umejifunza nini huko kuvaa kaptula tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Rais hakuwa Magufuli = ilikuwa CCM
 
"TUVIACHIE VYOMBO VYA USALAMA! OOH SORRY, VYOMBO VYA DOLA"
-------------------------------------------------------------
Hii sio kauli mpya. Na kwa kumbukumbu zangu sikumbuki ni lini vyombo vinavyoitwa vya usalama vilitoa majibu panapotokea matukio ya uhalifu dhidi ya watu wanaokosoa serikali au wanaharakati wengine.
Tumeviachia vyombo vya usalama tukio la kutekwa, kuteswa na kutupwa porini ili afe, Dr. Steven Ulimboka.
Tumeviachia vyombo vya usalama tukio la mauaji ya Dr. Senghondo Mvungi.
Tumeviachia vyombo vya usalama kutekwa na kuteswa kwa Absalom Kibanda.
Tumeviachia vyombo vya usalama tukio la mauaji ya Prof. Mwakyusa
Tumeviachia vyombo vya usalama tukio la kumwagiwa tindikali Mh. Saed Kubenea
Tumeviachia vyombo vya usalama tukio la kupotea Ben Saanane
Tumeviachia vyombo dola miili ya watu saba iliyokuwa kwenye mifuko, iliyotupwa mto Ruvu.
Tumeviachia vyombo vya usalama kumwagiwa tindikali wazungu kule Zanzibar
Tumeviachia vyombo vya usalama mauaji kwa kuchinjwa, Alphonse Mawazo
Tumeviachia vyombo vya usalama kulipuliwa mikutano ya Chadema kwa mabomu ya Arusha.
Tumeviachia vyombo vya usalama tukio la kulipuliwa kwa mabomu ofisi za IMMMA

Leo Lissu anapigwa risasi nyingi kwa lengo la kuuawa, kauli ni ileile! Tuviachie vyombo vya usalama.
Nikumbusheni ni matukio mangapi kati ya hayo hapo juu yaliyotolewa majibu na hivyo vinavyoitwa vyombo vya usalama!

Sijawahi kuona kitu kinachoitwa chombo cha usalama katika nchi yangu. Kuna vyombo vya dola! Kwa hiyo kauli rasmi iwe "TUVIACHIE VYOMBO VYA DOLA".
Maana yake ni kwamba tusitegemee kuwe na majibu yoyote ya kuridhisha kama dola ndio linahusika na matukio ya uhalifu. Chombo cha dola hakiwezi kukamata dola!
Kuna nchi zina vyombo vya usalama. Kwa mfano CIA ya Marekani. Ndio maana CIA wanaweza kumchunguza Rais wa nchi yao ya Marekani. Kwa sababu ni chombo cha usalama kwa ajili ya wamarekani. Hata pale CIA wanapotuhumiwa kufanya uhalifu, mara nyingi huwa kwa nguvu zingine, sio Marekani.
Sisi huku tunafanya vyombo vya dola kwa ajili ya kulinda dola, sio vyombo vya usalama kwa ajili ya usalama wa taifa lote/raia wote. Tuna vyombo vya dola kwa ajili ya dola na watu wanaopenda na dola, na wanoonekanekana kushabikia dola.
TUVIACHIE VYOMBO VYA DOLA kama tulivyoacha huko nyuma, na bahati nzuri watanzania ni watu wa kuacha.
Lakini ole wetu, wanyonge watakapochoka na kuamua kurudisha ngumi! OLE WETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lile shangingi lililowafuata kina lisu wakati wanaingia nyumban linaloonekana kwenye picha ni la usalama wa taifa. Willy kuna dunia yako na makada wenzio endeleeni kuamini sisi tunamjua aliyefanya
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
hili jamaa halina memory kabisa. vitendo vyote vya kigaidi hufanywa na CCM,

Haya we kiazi tuambie nani alimteka, mama yetu,akampora fedha na kum........... pale Moro.
 
Hi
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Hivi vijana wa siku hizi mnatumia kiungo gani cha mwili kufikiria? Unadhani umetoa hoja ya kuinusuru serikali? Tuliyemkabidhi usalama wetu na mali zetu ni serikali na wala siyo vyama vya siasa wala kikundi chochote cha jamii. Kwamba mtu kapata madhara na serikali haijatoa majibu yanayoridhisha ni udhaifu wa serikali. Kumbuka hakuna serikali ya mtu faridi, serikali ni ya chama kilichotuaminisha kwamba huyu anafaa. Mifano yote uliyoitoa au vile unavyodai ni facts ni udhihirisho wa udhaifu wa uongozi wa chama kilichopo madarakani. Ebu chutama. Unamwaibisha mzee. 9
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Na hata Mwakyembe kupewa sumu na kunyonyoka nywele na kukaribia kufa, Rais hakuwa Magufuli. Rais Magufuli ni mtakatifu unapomlinganisha na watangulizi wake. Amewabana mno matajiri wezi ndio maana wanatafutia pa kutokea. Bahati mbaya sisi wengine mamburura tunapelekwa pelekwa tu hatujui tushike wapi hata kama tu naona Magufuli anafanya ambayo wengine hasa huyo aliyempisha hawa kuwa na uwezo achilia mbali maono ya maendeleo kama jamii nzima.
 
18119a8018119ecd4befed8f412b52d4.jpg


Kwa wanaojua magari, huku mjini magari haya yanaonekana zaidi na akina nani, nani wanatumia zaidi magari haya.


Swali lako ni zito sana mkuu,,,,,Its a milion dollar question
 
Unafananisha vipi mauaji ya Dr. Sonkondo na tukio la Lissu. Senkondo ingawaje alikuwa ni kiongozi wa upinzani lakini siasa zake wala hazikuwa za kuiudhi serikaali. In short, siasa zake zilikuwa sawa na wanasiasa wenzake wa NCCR kama akina MBatia. Hadi Dr. Senkondo anapigwa risasi hakuwa na sintofahamu yoyote na serikali ya kuhisi kwamba labda serikaali waliamua kumpoteza. What about Tundu Lissu?!
kifo ni kifo tu
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Usitafute sifa kwa kitu kilichowazi au lbd yatosha kuitwa mpumbavu kweni mashambulio hayo yote aliyesabanisha ni nani?kama c serikali hii au inajifanya kipusa usiye ona mbali mbona mnakuwa kama majinga nyani nyie?hata kwenye swala hili unataka kupindisha kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom