Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.

Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.

Ukweli ni kwamba katika Chadema kwa sasa kuna Chadema walio Chadema na kuna Chadema wasio Chadema. Tundu Lissu ni Chadema aliye Chadema ila viongozi wengi ni Chadema wasio Chadema.
Huruma ya Muuaji Bashiiiity@coy... Ni huruma ya mamba kwa swala.. Ni huruma ya ibilisi kwa Wana wa Mungu..Mratibu mauaji then mnakuja na hojaufilisi..angalao mkae kimua.hakuna atakayewauliza.. Ila mawazo yako ya huruma ni sawa na shetani kumshauri Mungu aridhie uovu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hoja za matusi?
Acha akutukane kwani wewe unathamani yeyote? Kumbe Lissu pamoja na kuwa naye hapo mjengoni bado unaonyesha umeumia sana tukio lile kutochukua maisha yake!
Binti mdogo roho mbaya kama shetani mzee. Ngoja nikuache maana huwa unanisababishia ban mara nyingi
 
habari wanajamiiforum binafsi yangu nasikitishwa sana na tukio lililotokea yan jaribio la kumuua mbunge tundu lissu bali nasikitishwa zaidi na baadhi ya watu ambao nawaita wap*mbavu ambao wameanza kunyoshea watu vidole.Ni mapema sana kumnyoshea mtu kidole maana kwa position ya lissu ana maadui wengi sana

Tukianza position yake ya uwanasheria lissu ana maadui weng kutokana na kesi anazosimamia.Pia lissu ana maisha nje ya siasa na sheria inawezekana ana watu wamezulumia fedha au wana ugomvi wowte.Pia kwa kiasi kikubwa me mawazo na akili yangu nahisi ni majizi,mafisadi na wauza ngada ndo wamehusika ili kuharibu image ya serikali na kupoteza ajenda kuu ya kitaifa ya ufisadi kwenye madini.

Hivyo nina imani kubwa na serikali yangu na jeshi la polisi kwa ujumla hivyo naomba watanzania tushirikiane na polisi kutoa taarifa kama unamjua aliyehusika na si kuropoka mtandaoni

Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki JPM
Mungu mponye haraka lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama wewe huwa napata amani sana napo ona pist zenu na huwa najiuliza kumbe watu walio na mawazo mazuri mpo,asante kaka

Watanzania wasiliingize suara hili kisiasa, not to political gain,kama watalipeleka kisiasa basi watu wategemee majibu ya kisiasa kutoka gvt otherwise watu wakae kimya kwanza wasubiri taarifa itakayotolewa na gvt.

geluka
 
- Sasa baba yako alifanya sperms zake vizuri kuzaa litoto linalotumia majina ya bandia kutukana wanaume lisilowajua JF, hahahaha nimekuuliza swali mbona unatoka mapovu ninasema hivi mbona hujawaombea waliomuua Chacha Wangwe? au kuna kitu unakijua unakwepa?

le Mutuz
Hahahaha you are indeed a cheap wasted sperm. I gues your father would prefer a dog from you.

Laana ya mama yako aliyetumika kwa baba yako akatelekezwa kisha na ww ukamtelekeza na kumkana kutokana na umaskini wake, ndicho kinachokutesa ww.

yaani ulivo punguan unaona raha kujibizana na watu humu, tena you think uko sahihi kwa hicho unachoita eti facts.

this is my advise to you, dunia inazunguka mkuu..matendo yako ndio yatakayo kukuhukumu. Dhambi ya unafiki na uzandiki ni kubwa sana. Imekunyima heshima kwny jamii yaani ww you are good as dead.

nani atalia au kuhuzunika kwamba nimepoteza rafiki/jembe??? Matelefoni au bashite?? You are a fool
 
Mtaendelea kuweweseka sana mission failed,

Adam anayemuendesha Tundu Lisu siyo dreva ni kijana wake, ndugu yake na amemlea yeye.

Kama ulidhani Lisu ana akili ndogo kama funza wa Lumumba pole.

Ni kwa nini Polisi waliamuru gari zote zitolewe tinted? Walikuwa wanataka wamuone vizuri nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wajing.a hawajielewi na vichwa vimejaa funza za uharibifu na hakuna mwenye nafuu kuanzia sizonje wao kichwa kinapataoto sana kama kawehu flani.... Kila kitu kiko wazi na jamii duniani wanajua.. Wanakuja na swaga za kipunguani..na kitaahira kujustfy unajisi wao.. Kwa ninj umtendee unyama hui binadamu asiye na hatia kwa kukukosoa?? .. N ajili kabilanlao linaonesha wamenobea katika kuua ili wapate madaraka.. Matukio mengi sana yametokea kwao kuuawa kwa viongozi kuanzia wenyeviti wa vijiji.. Madiwani..wanasiasa.. Na kama mnakumbuka vizuri mtaunganisha dots.. Kingine albino wameteswa sana kwa kuuawa na kukatwa viganja na hawahawa.. Ifike mahali tupige kampeni kuwaamsha Watananzia wajihadhari.. Sasa mziki unapigwa na wa.ji.nga 2 na walio wema wanakaa kimya.. Amkeni jaman..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.

Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.

Ukweli ni kwamba katika Chadema kwa sasa kuna Chadema walio Chadema na kuna Chadema wasio Chadema. Tundu Lissu ni Chadema aliye Chadema ila viongozi wengi ni Chadema wasio Chadema.
Kweli wewe ni kinara wa umalaya
 
Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.

Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.

Ukweli ni kwamba katika Chadema kwa sasa kuna Chadema walio Chadema na kuna Chadema wasio Chadema. Tundu Lissu ni Chadema aliye Chadema ila viongozi wengi ni Chadema wasio Chadema.
Kwa hiyo unamshauri akubali Dereva na Ulinzi kutoka CCM??
 
Tusio juwa yaliomo ndani kwa kupigwa risasi Lisu tunahaha kwenye majukwa na kusema Lisu kapigwa risasi a serikali system ila hakuna mtu kawahi kujiuliza aduwi wa kwanza walisu ni nani na hili linafanya Lisu kuonekana kapigwa risasi na maafisa usalama wa serikali jambo ambalo sio kweli..

Nasema sio kweli maana tangu mwanzo Lisu hakukubaliana na kuingia Lowasa chadema na hili sio siri yapo maneno aliyasema kwenye vikao ambayo kiuhalisia yanawanyima usingizi watawala wa chadema

Pili Lisu ni mwanasheria ana mahusiano na watu mm na wewe hatuyajuwi na ktk hayo mausiano yanazuwa hali ya hatari kwa usalama wke

Tatu nilazima tukumbuke ndani ya chadema hakupo shwari kuna msuguano ambao kwa wale wengi wanajuwa ulianza siku chadema walimkubal lowassa sio siri Lisu na team ya watu wengine hawakuwa rahisi kukubali ila mwisho all we know and what is going on God know

Nne watu walio tengeneza hili tukio walikuwa very calculated walitengeneza mazingira yakumfanya Lisu awe front kupingana na serikali ili wakitekeleza mission yao serikali yetu ichafuliwe why waichafuwe nitaelezea next story...

Tano mahusiano kati ya mafisadi papa na kudukuliwa kwa nyeti za serikali na kuhisiwa lisu ni agent wa serikali ni siri imejificha yani walio fanya tukio walikuwa na nia yakummaliza kwakuwa jamaa walihisi anapeleka nyeti za chama kwa agent x as ye know chadema pia wana.. Wao.

Kikosi cha usalama cha chadema pia kinahusika why hiki kikosi kina sifa nzito ktk kutekeleza usalama wa mchama wao in short lisu hawamuamini na inaonekana ni tishio kwa chama na uwenda kelele anazifanya anataka ajekuwa mgombea wa chama badala ya ....... Hilo likawatia mashaka na kusema dawa ni kummaliza japo wakashindwa...

Zipo tetesi uwenda lisu ana maaduwi wengi kuliko huyu tunamuwaza yani serikali kinadharia lisu sio tishio ktk utawala wa Magu ila kama tutafunuliwa siri zingine Lisu ana maadui kuzidi serikali ni akina nani kwanini....

Lipo jambo lakutisha sana na hili nilazima sote tujuwe lisu anasilaha na kama sijakosea dereva anayo matundu ya risasi tunayaona yana pande mbili na uwenda hata silaha zimetumika zika tofauti bad thing chadema ktk tetesi zipo wanatabia yakutumia dereva kufanikisha kazi zao na hili niushaid wakutosha kwenye kifo cha chacha wangwe hatuitaji kusema sana ila nahapa kunaitaji uwazi matobo yarisasi zinazobtokea ndani yalikuwa ya silaha ipi na kwa nini nani alirusha risasi tokea ndani na kwanini..

Serikali kiukweli kwa asilimia mia ukiwa na akili naunajuwa kufuwatilia maswala ya kiuchunguzi mchawi wa chadema ni chadema wenyewe why uliza viongoz wajuu mimi sijuwi...

Serikali iweke wazi yote na mwisho chadema wajuwe serikali hii sio yakupambana na wanasiasa uchwara inapiga kazi nabhaitishiwi nyau na uvumi kama huu.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
- Wananchi tunamuunga mkono Rais Magufuli au una tatizo?

le Mutuz

hakuna mwananchi anaye muunga mkono uyo ila wana-CCM ndio wana muunga mkono, afu kuna hospitali inatibu watu wenye matatizo kama yako usisite kwenda kutibiwa
 
Huyu si kibaraka wa mabeberu mmeanza lini kuwa na uchungu naye?
 
Aliyetangaza hadharani kuwa atamshughulikia Lissu ndani ya bunge na nje bunge ndio mhusika mkuu wa kutaka kumuua Lissu, hayo mengine mnatuletea ngonjera tu
 
Back
Top Bottom