Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …

Zanzibar tu imeshindwa kujigawa iwe mambo ya kifikirika.
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …

Unaongea as if kipindi Cha Magufuli kila kitu kilikuwa perfect. Matatizo ya nchi hayaishu kwa siku moja.
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Unayaambia maccm yaligawanye Sega la asali kweli yalivyo mafisi!?
Litakufa jitu.
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Umeongea kwa fasihi ya juu kiasi kwamba....

Kwa aina ya members wa sasa humu!

Wachache wanaweza kukuelewa,maana kipaji kikubwa cha watanzania ni pamoja na "Wizi"

Viongozi wanaiba!
Wananchi wanaiba!
Polisi wanaiba!
Walimu wanaiba!
Madaktari wanaiba!
Watumishi wa umma wanaiba.....
 
Humu jamii forum hauwezi ukapata watu wa magufuli,ila ukitoka nje wa magufuli ni karibia 80% au na zaidi.
Twaweza walishafanya utafiti wakapata matokeo, kwamba wanaoshabikia/kuunga mkono ccm ni watu wajinga,masikini wakutupwa, wasio na elimu, wanawake, wazee etc. Wengine wanaounga mkono ccm ni wale wanafiki (Hawa kula yao ni kupitia ccm).
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Mods mods nawaita huku.
 
CCM mambo si swari, ila najua CCM yenye dola ndiyo mshindi - hawa wengine wanahangaika bure, maza endelea kuwachomoa mmoko mmoko dadeq.
Kwanza kwenye hiyo nchi ya pro Magufuli wataishije maana huyo ndo watakuwa wanatekana,kupigana risasi mchana kweupe na tutakuwa tunawasikia tu wengine wameokotwa miili yao inaelea Coco Beach na mto Ruvu.
 
Umeongea kwa fasihi ya juu kiasi kwamba....

Kwa aina ya members wa sasa humu!

Wachache wanaweza kukuelewa,maana kipaji kikubwa cha watanzania ni pamoja na "Wizi"

Viongozi wanaiba!
Wananchi wanaiba!
Polisi wanaiba!
Walimu wanaiba!
Madaktari wanaiba!
Watumishi wa umma wanaiba.....
Kila mtu anataka awe tajiri !!
 
Sawa tu Ilimradi Wazungu, Waarabu, Wahindi na wengine wote wakiondoka na Kurudi Kwao?

Kwani sisi Watanzania(Waafrika) wenyewe kwa wenyewe tunawezana? La hasha twaweza

Inaeleweka Anti Magufuli ni hao Tajwa juu.

Watakaobaki tutawezana.

Narudia, siasa zenu za Chuki, na Uhasama hazitawafikisha popote. na Mara nyingi mkishindwa mnataka kutugawanya. Stop your seccesionist Ideas. Pelekeni Kwenu Ulaya.
 
Kwanza kwenye hiyo nchi ya pro Magufuli wataishije maana huyo ndo watakuwa wanatekana,kupigana risasi mchana kweupe na tutakuwa tunawasikia tu wengine wameokotwa miili yao inaelea Coco Beach na mto Ruvu.
Kweli kabisa huko itakuwa kama Japan au China tunakoomba mikopo hawavumilii kima na ndio nchi tunayoitaka
 
Kwanza kwenye hiyo nchi ya pro Magufuli wataishije maana huyo ndo watakuwa wanatekana,kupigana risasi mchana kweupe na tutakuwa tunawasikia tu wengine wameokotwa miili yao inaelea Coco Beach na mto Ruvu.
Peleka upuuzi kwa Wazungu Wenzako huko.

Rudini kwenu. Wivu wa nini?

Your days as Saviours are Over.

Ukalegee
 
Back
Top Bottom