Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Kuna wazazi wanazaa watoto na kuna wazazi wanazaa watu kama wewe
 
Peleka upuuzi kwa Wazungu Wenzako huko.

Rudini kwenu. Wivu wa nini?

Your days as Saviours are Over.

Ukalegee
Basi mfufueni Magufuli then amteuwe Bashite awe makamu wa Rais mkamtoe na Sabaya gelezani awe wazri mkuu wenu...ili muwe na serikali yenu yakutekana. Mmchukue na spika wenu Ndugai na wabunge wenu kina Halima na kina babu tale
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Kwa hiyo viongozi wa pro Magufuli ndiyo watakuwa kina Mnyeti, Makonda, Chalamila na Kangi?
 
Umeongea kwa fasihi ya juu kiasi kwamba....

Kwa aina ya members wa sasa humu!

Wachache wanaweza kukuelewa,maana kipaji kikubwa cha watanzania ni pamoja na "Wizi"

Viongozi wanaiba!
Wananchi wanaiba!
Polisi wanaiba!
Walimu wanaiba!
Madaktari wanaiba!
Watumishi wa umma wanaiba.....
Wazungu niwezi. Evil spirited
Waarabu ni wauaji...sodomist
Hakuna wezi wakubwa Duniani kama Wazungu, waarabu, Wahindi na wengine wanaofanana nao....najua Utabisha.

Mmetufundisha kila kitu, kwa sababu mnadai, mlidai kuwa hatukuwa tunajua lelote, bado mnadai hatujui. Tukifanya mnaleta fyoko fyoko.
Basi mfufueni Magufuli then amteuwe Bashite awe makamu wa Rais mkamtoe na Sabaya gelezani awe wazri mkuu wenu...ili muwe na serikali yenu yakutekana. Mmchukue na spika wenu Ndugai na wabunge wenu kina Halima na kina babu tale
Hata kale kabibi kenu Uingereza Queen Elizabeth hakifufuki kuja kuokoa Ufalme Dhalimu duniani.

Adolf wenu Hafufuki kuja kuwaokoa Neanderthral wenzake

Inbred twaat.
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Hamia Burundi!
 
Wapuuzi hawa wanachezea Ukarimu wetu wa Afrika.
Wa Ulaya wametandikwa na Waarabu wamenyooka. Msiamshe Watu wenye Akili zao. Usimchezee mtu na utu wake.
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Sukuma gang mna shida sana. Si muende mkahiji pale kaburini Chato?

Kubalini tu mungu wenu kashaondoka na maisha lazima yasonge mbele

Mungu aliye mkuu kashaamua, Kubalini matokeo na uamuzi wake....

Au nasema uongo ndugu zangu?

Basi hili nalo mkalitazame
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Hivi takwimu zipi zinaonesha kipindi cha Magufuli maishi ya watu wavijijini yalikuwa nafuu?? Kwetu kapwili Jk wakati anaondoka maji yakunywa yalikuwa yanachotwa kwenye kisima ...akaja na afa bado nikwenye kisima.....yani kamfano kamoja tuu ila tupo twingi.............sasa nyiee wajane wapumbavu wa CCM acheni kujichanganya..... ......... Rubbish!!!!!
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Brother acha ndoto za alinacha. Magufuli is just mere history, usipoteze muda wako na marehemu. Haikusaidii lolote zaidi ya kukuotesha ndoto mbaya.

Najuwa wajinga Tanzania ni wengi na ndiyo wapiga kura. Kweli wajinga wengi wanaweza kumchagua Magufuli hata akiwa marehemu akawa Rais wao. Lakini siku zote wajinga huongozwa na werevu.

Tanzania ya kuja kuwa na mtu wa aina ya Magufuli ya kuuana, kutekana na ubaguzi wa kiitikadi na kikanda haitakuja tokea tena hata miaka 500 ijayo.

Amka toka kwenye ndoto nenda ukafanye kazi, acha ujinga
 
Sukuma gang mna shida sana. Si muende mkahiji pale kaburini Chato?

Kubalini tu mungu wenu kashaondoka na maisha lazima yasonge mbele

Mungu aliye mkuu kashaamua, Kubalini matokeo na uamuzi wake....

Au nasema uongo ndugu zangu?

Basi hili nalo mkalitazame
Sasa hapo mwisho umechanganya vimaneno vya kipumbavu eti "Au nasema uongo ndugu zangu" Wakati lijitu lilikuwa lishwetani na likatili bhana....................Mama SSH aachwe aikalabati nchi ....Atake asitake mi tano tena!!
 
Usitugawanye, sisi wengine ni chawa hatufungamani na upande wowote🐒
 
Hivi takwimu zipi zinaonesha kipindi cha Magufuli maishi ya watu wavijijini yalikuwa nafuu?? Kwetu kapwili Jk wakati anaondoka maji yakunywa yalikuwa yanachotwa kwenye kisima ...akaja na afa bado nikwenye kisima.....yani kamfano kamoja tuu ili tupo twingi.............sasa nyiee wajane wapumbavu wa CCM acheni kujichanganya..... ......... Rubbish!!!!!
Kwa Taarifa yako bora unywee maji ya Kisima.

Matajiri karibu wote wanakunywa maji ya Kisima. Ni akili na Fikra potofu kufikiri maji ya bombani ndio maendeleo. Ni biashara tu(monopoly)

Wacha mizengwe..... na huyu nae...
Brother acha ndoto za alainacha. Magufuli is just mere history, usiooteze muda wako na marehemu. Hakisaidii lolote zaidi ya kukuotesha ndoto mbaya.

Najuwa wajinga Tanzania ni wengi na ndiyo wapiga kura. Kweli wajinga wengi wanaweza kumchagua Magufuli hata akiwa marehemu. Lakini siku zote wajinga hiongozwa na werevu.

Tanzania ya kuja kuwa na mtu wa aina ya Magufuli ya kuuana, kutekana na ubaguzi wa kiitikadi na kikanda haitakuja tokea tena hata miaka 500 ijayo.

Amka toka kwenye ndoto nenda ukafanye kazi, acha ujinga
Hiyo ndilo Azimio la Buckhingam pamoja na wadhalimu wote waliotokea Afrika.

Kwa hayo yenye Nyekundu.... Ni doto zako na wengine ambao kila kukicha mnaeneza uwongo. Tanzania na Wananchi wake hawakuwahi kutumia Lugha hiyo unayotumia katika siasa zake, lugha hiyo haijawahi kutumiwa, hakuna cha itikadi wala ya kikanda....hiyo ni lugha ngeni kwenye Siasa za Tanzania vilevile ni lugha inayotumika kwa Wazungu, ni za Ukimbari Hususani Ulaya na Marekani, na ni ushahidi tosha kuona kuwa mnatulaghai, mnadanganya kwa kuwa tu MNAOGOPA utajiri wenu wa Mali utashuka, Utajiri wenu dhalimu utaangamia.

Msitugawanye, msituletee maadili yenu Dhalimu.

Magufulification Happened, Magufulianism will Go on. Msitutishe.

Na Uhakika 1000% hizi propaganda ni za Kuwatishia Vijana wetu Afrika. Ni na Uhakika kuwa hayo mekundu ndio hatma Yenu. Mengine yote ni kuleta hisia kali. Mliwajaribu wengine mkaayooshwa, mkaleta kampeni zenu mi propaganda yenu mwishowe yaliyowatokea na yanayoendelea(Backfired)

Egypt, Tunisia= January 6th. endeleeni.

Yote ni kumuogopesha yeyote alieyekuwa na Fikra za kuzuia wizi wa Rasilimali zetu mta muandama, yoyote atakayepiga vita rushwa mtamuandama.


Kitaeleweka tu.
Wananchi msiwaogope hawa Madudu....Fumua tu.
 
Humu jamii forum hauwezi ukapata watu wa magufuli,ila ukitoka nje wa magufuli ni karibia 80% au na zaidi.
Umekosea, sisi Pro JPM nje ya JF ni asilimia 99.9. Hapa JF Pro Magufuli ni 0.000000001
 
Back
Top Bottom