Kumbe Mpuuziiiiiii weweHakupandisha madaraja na mishahara ya watumishi wa umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Mpuuziiiiiii weweHakupandisha madaraja na mishahara ya watumishi wa umma
Naanza mimi kuhamia Pro Magufuli!Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.
Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Simba wa yuda ni Magufuli aka Jiwe sawa....
Wewe ni imbecile and l dont regret...haustahili kuishi kama yule Mungu wenu ********.
1. In this 21st century nani yupo tayari kunywa maji takataka? kisa muli foolishly brainwashed na Jiwe eti mabeberu sio watu wakati alikuwa nausika anakwenda kuwakopa ...eti tujifukize hadi wakajenga na ward yakujipiga moshi watu stupid kama wewe mulikuwa munakwenda mwisho wasiku alikwenda na maji kwa hako ka korona ..poor you're.
2.Pili umeonesha ujinga kumbe wewe ni mweupe kichawani ....hujuwi watu wavamia bunge la marekani wengi watumikia jela pia Trump anaminywa kende kila siku haja acquitted mwisho wake nimbaya kama wa sabaya.
3.Jibu kwanini Jiwe alitaka kumuua Mh Lissu usirukeruke ke.nde wewe.....huoni aibu kumkingia mwanga damu shwetani yule??
4.Nani alimteka Roma,MO....nani alimuua Ben Sanane,Mawazo ,Azaryo n.k??
5.Kwanini CAG alifukuzwa kazi wakati the guy hakuwa tayari ku impair his independence kisa jiwe alichakaza amechaza trillion kadhaa kwa ufisadi??
Nyie vijana wakugombolewa munakuwa shida saana sio kwa familia zenu tuu hata kwenye jamii
Ota ndoto zote ila ukijisikia unaenda chooni, nakushauri uamke !! La sivyo utaachia mzigo kitandani.Kwa Taarifa yako bora unywee maji ya Kisima.
Matajiri karibu wote wanakunywa maji ya Kisima. Ni akili na Fikra potofu kufikiri maji ya bombani ndio maendeleo. Ni biashara tu(monopoly)
Wacha mizengwe..... na huyu nae...
Hiyo ndilo Azimio la Buckhingam pamoja na wadhalimu wote waliotokea Afrika.
Kwa hayo yenye Nyekundu.... Ni doto zako na wengine ambao kila kukicha mnaeneza uwongo. Tanzania na Wananchi wake hawakuwahi kutumia Lugha hiyo unayotumia katika siasa zake, lugha hiyo haijawahi kutumiwa, hakuna cha itikadi wala ya kikanda....hiyo ni lugha ngeni kwenye Siasa za Tanzania vilevile ni lugha inayotumika kwa Wazungu, ni za Ukimbari Hususani Ulaya na Marekani, na ni ushahidi tosha kuona kuwa mnatulaghai, mnadanganya kwa kuwa tu MNAOGOPA utajiri wenu wa Mali utashuka, Utajiri wenu dhalimu utaangamia.
Msitugawanye, msituletee maadili yenu Dhalimu.
Magufulification Happened, Magufulianism will Go on. Msitutishe.
Na Uhakika 1000% hizi propaganda ni za Kuwatishia Vijana wetu Afrika. Ni na Uhakika kuwa hayo mekundu ndio hatma Yenu. Mengine yote ni kuleta hisia kali. Mliwajaribu wengine mkaayooshwa, mkaleta kampeni zenu mi propaganda yenu mwishowe yaliyowatokea na yanayoendelea(Backfired)
Egypt, Tunisia= January 6th. endeleeni.
Yote ni kumuogopesha yeyote alieyekuwa na Fikra za kuzuia wizi wa Rasilimali zetu mta muandama, yoyote atakayepiga vita rushwa mtamuandama.
Kitaeleweka tu.
Wananchi msiwaogope hawa Madudu....Fumua tu.
Hata Bibi yako Queen Elizabeth Amezikwa na nepi zake. Pamoja na Ukimbari wake. Essex Hall wamechanganyikiwa.....Waambie kinachofuata ni sisi Kujiondoa Jumuiya Ya Madola....tupate Katiba yetu.Ota ndoto zote ila ukijisikia unaenda chooni, nakushauri uamke !! La sivyo utaachia mzigo kitandani.
Magufuli alizikwa pamoja na itikadi zake za UHAYAWANI Chato Machi 2021 na forget totally Tanzania kufanya makosa kama hayo tena
Narrow & shallow minded person like you ,nivigumu kuelewa substantial stuffs..As a country we're moving forward ...kaazishe nchi yenu kaburini Chato....Mama SSH atake asitake mitano tena.....watu wazuri hawafi!!!Your Saviour attitude? ..No longer Flies Your Racist remarks...Just proved What I said Earlier.
Umejitukana mnyewe!
Go back to Essex Hall. For further Instructions. Lazima wakufukuze kazi!! tehe te ru...ish
Ngoja nikuache...Siwezi kukujibu kitu ambacho hakieleweki.
Amekufa Queen Elizabeth. alikuwa Mzuri kweli kweli. Anang'aaa kaburini...naNarrow & shallow minded person like you ,nivigumu kuelewa substantial stuffs..As a country we're moving forward ...kaazishe nchi yenu kaburini Chato....Mama SSH atake asitake mitano tena.....watu wazuri hawafi!!!
Mshenzi unafanya kazi za kuosha vizee kwenye nursing house, unachojuwa ni kuandika mavi na pampers tu maana ndiyo vitendea kazi vyako. Rudi nyumbani acha kuishi kitumwa huko DiasporaHata Bibi yako Queen Elizabeth Amezikwa na nepi zake. Pamoja na Ukimbari wake. Essex Hall wamechanganyikiwa.....Waambie kinachofuata ni sisi Kujiondoa Jumuiya Ya Madola....tupate Katiba yetu.
Chooni kaenda Bibi yenu Malikia Elizabeth kaachia mule mule Kwenye kaburi.... wakamzika kaburi lingine.
.
Ha ha bahati mbaya wale waliomuosha Queen wenu Elizabeth walisahau kumbadilisha...Akazikwa Kaburi lingine. tena shimoni chini ya shimo.Mshenzi unafanya kazi za kuosha vizee kwenye nursing house, unachojuwa ni kuandika mavi na pampers tu maana ndiyo vitendea kazi vyako. Rudi nyumbani acha kuishi kitumwa huko Diaspora
Kama wapo wengi si waanzishe chama? Nimeshakuambia 2025 ni Samia Vs Lissu Sasa pro Magufuli wawepo wasiwepo wagombea wote hao wawili ni anti-JPM so kazi kwenu.Kwa taarifa yako, Pro Magufuli wapo wengi wengi wengi sana. Inaweza kuwa zaidi ya 85% ya Watanzania wote Nchini.
JPM alikopa kidogo lakini miradi aliyoianzisha ni kama vile:-
- Bwawa la Mwl. Nyerere.
- SGR.
- Flyovers.
- Vivuko.
- Barabara.
- Kujenga masoko makubwa kabisa.
- Kujenga ofisisi za Halmashauri.
- Kujenga madarasa.
- Kujenga vituo vya Afya.
- Kujenga Viwanda vya madawa.
- Zaidi sana kujenga Ikulu ya Dodoma.
Mengine ni kama vile:-
- Kudhibiti ufisadi, rushwa na wizi Serikalini.
- Kudhibiti uzembe makazini nk.
Lakini la pekee zaidi ni KUJITOA SADAKA kwa ajili ya Watanzania wanyonge.
Alikuwa akisema karibu kila mkutano kwamba, alivyokuwa akitetea rasilimali za Nchi hii, ilikuwa ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni.
Sadaka hakujitowa. Alijijuwa kuwa yu mgonjwa sana. Pacemaker kawekewa kabla hata hajaingia kwenye siasa.Kwa taarifa yako, Pro Magufuli wapo wengi wengi wengi sana. Inaweza kuwa zaidi ya 85% ya Watanzania wote Nchini.
JPM alikopa kidogo lakini miradi aliyoianzisha ni kama vile:-
- Bwawa la Mwl. Nyerere.
- SGR.
- Flyovers.
- Vivuko.
- Barabara.
- Kujenga masoko makubwa kabisa.
- Kujenga ofisisi za Halmashauri.
- Kujenga madarasa.
- Kujenga vituo vya Afya.
- Kujenga Viwanda vya madawa.
- Zaidi sana kujenga Ikulu ya Dodoma.
Mengine ni kama vile:-
- Kudhibiti ufisadi, rushwa na wizi Serikalini.
- Kudhibiti uzembe makazini nk.
Lakini la pekee zaidi ni KUJITOA SADAKA kwa ajili ya Watanzania wanyonge.
Alikuwa akisema karibu kila mkutano kwamba, alivyokuwa akitetea rasilimali za Nchi hii, ilikuwa ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni.
Unaongea as if kipindi Cha Magufuli kila kitu kilikuwa perfect. Matatizo ya nchi hayaishu kwa siku moja.
Kwamba lisu alipata Kura nyingi kuliko magufuli?hivi chadema mnaakili kweli?Magufuli angekuwa na watu wote hao, asingeiba uchaguzi wa 2020. Kumbuka alilamba asilimia 58 uchaguzi wa 2015 Tena za wizi. Rais wa 99 angeonekana sio wa kuhangaika kuzuia Lissu asifanye kampeni na kuzima mtandao wa internet kwa wiki mbili wakati kupiga kura.
Vice versa is truePro Magu =elimu ndogo
Ant Magu= Wasomi hawana ujinga
So viongozi wàkuu wa hiyo pro Magufuli ideologies ni akina nani?Pro Magufuli vs Anti Magufuli ni ideologies, siyo physical mtu/watu.
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.
Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …