Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Humu jamii forum hauwezi ukapata watu wa magufuli,ila ukitoka nje wa magufuli ni karibia 80% au na zaidi.
Huu utafiti uliufanyia wapi? Watu wanaendelea na maisha yao Magufuli kafa Tanzania haijafa
 
Umeongea kwa fasihi ya juu kiasi kwamba....

Kwa aina ya members wa sasa humu!

Wachache wanaweza kukuelewa,maana kipaji kikubwa cha watanzania ni pamoja na "Wizi"

Viongozi wanaiba!
Wananchi wanaiba!
Polisi wanaiba!
Walimu wanaiba!
Madaktari wanaiba!
Watumishi wa umma wanaiba.....
Wamekuibia nini boss? Kwa hiyo pro-Magufuli mkishajitenga mtaenda kumfufua awe rais wenu au?
 
Peleka upuuzi kwa Wazungu Wenzako huko.

Rudini kwenu. Wivu wa nini?

Your days as Saviours are Over.

Ukalegee
Hii nchi ni ya Kila mtanzania huna mamlaka ya kumfukuza yeyote hapa usifkiri wewe ndio mwenye hati miliki ya hii nchi hivi kwamba uamue nani raia na nani umfukuze Kwa sababu ya chuki zako
 
Umekosea, sisi Pro JPM nje ya JF ni asilimia 99.9. Hapa JF Pro Magufuli ni 0.000000001
Pamoja na wingi wenu mnashindwa kumfufua mnabaki kulialia tu[emoji44][emoji44] 'nileteeni gwajimaaaaaaaaaaaaaa mzee wa kuwafufua
 
Aise !! you're a garbage period!! nanani yupo tayari kunywa untreated water ??
Utaeleweka tu. Ndivyo mulivyo.

Nini cha ajabu na hiyo "Treated"

natural immunity tunayo kwa sasa sio yile ya ma watu walio ishi zamani...ndiyo mana tuna vaa nguwo sio kutembea uchi kama zamani.
Ndiyo Nyie Wazungu wa Kuja
....Haha unarudia Lugha za Ukimbari. Ukizunguka dunia nzima sasa hivi Nyie Wazungu na Uchwara wenu mnafanya nini zaidi ya kutuuigiza....Yaani iwe sifa kumuona Mwanamke wa Kizungu kavaa Vi kamba Kamba sawa Akivaa mwafrika yupo Uchi!

Afrika tulikuwa tuna fanya Chale...you can equate this to Tatooing, mkasema wee wengi wakaacha....Sasa hivi Mizungu michwara ndio kila kukicha ndio hayo...Kwanini....?
Turudi kwenye mada
Nijibu maswali haya:

1. Miradi yote kipindi cha Simba wa yuda nikweri zilikuwa mpesa zandani???
Huwezi kunirudisha kwenye mada isoyoeleweka....na Kwa viswali vyako uchwara, Simba wa yuda ndio nini?.

Kwani nawe umeukurupuka kunianzia matusi....You Inbred Twaat

Nenda na wewe Ukazikwe na Malikia Elizabeth.
2. Baada ya kuvamia Clouds kwa mitutu ya bunduki kisa Shilawandu; nani alipaswa kufutwa kazi kati ya Bashite au Nape kama kweri jiwe alikuwa mpenda haki??

Baada ya kuvamia Bunge la Marekani nani alitakiwa Kuswekwa Jela? Kwani Trump ni mpenda Haki, Kwani Trump sio Racist Mother bleepr??

Nape ni mhaini au sio?
Mnazusha zusha tu.
3.Kwanini Jiwe alitaka kumuwua Mh Lissu?
Kama una jibu weka, zaidi ya hapo Unazusha. Raisi ndiye alikuwapo hapo. Huyo Lissu alisema aliwaona wote waliomtundika....
Nyie ndiye mliomtundika marisasi kumuaribia Hayati... Haramia dhalimu nyie Wazumgu
4. ........Bado maswali yanakuja
Huna Maswali, Umekuja kutoa povu tu. Huna Hoja

Haya rudini kwenye tarakilishi zenu, Ukajipange. Rudi kwenye kitanda ulale na Dada zako.
Na leo usijikojolee ukadai kwa sababu we we ni Miaka ya leo. Shenzy Taipu
 
Una hasira Sana, inahitaji upate usidizi. Cool down. Mpaka Sasa hivi system ya CCM imefeli, tatizo wananchi tumekubali kugawanywa na kubaki kuishangilia CCM .
Mtaeleweka tu.

Mkapigiane kongole.
 
Roho ya utengano haifii kamwe. Mlianza kuwatenga CHADEMA, Leo mnataka kuwatenga wananchi. Tanzania haipo hivyo.
Nani huyo, mie? Mimi ndio niliyoanzisha Upuuzi huu?

Ha ha Jigeuze wewe mwenyewe uone kama unaongea kitu kama sio mharo. Usibandike na Kuniwekea Maneno kinywani
Nimeuliza? Tunaweza, ikiwa tu hao Wazungu, Waarabu, Wahindi wewe ma Wenzako mkiondoka. Tuone.
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Pro-mtu aliyekufa?
Bashite
Sabaya
pamoja na wauaji wa kundi la wasiojulika pamoja na yale matukio yao ulipaswa kuviambatanisha.
 
Humu jamii forum hauwezi ukapata watu wa magufuli,ila ukitoka nje wa magufuli ni karibia 80% au na zaidi.
Humu JF ni moja ya kipimo cha kukubalika au kutokubalika kwa mtu, JF members ni raia kama hao wako wa kufikirika unaotudanganya nao pasina kuambatanisha ushahidi usiotia shaka.
 
Hii nchi ni ya Kila mtanzania huna mamlaka ya kumfukuza yeyote hapa usifkiri wewe ndio mwenye hati miliki ya hii nchi hivi kwamba uamue nani raia na nani umfukuze Kwa sababu ya chuki zako
Wewe ndio Unayo. kwenye yote hayo umeona mimi ndio ndie nataka 'Kufanya" huo uamuzi.... Chuki zenu mnatuletea sisi, Chuki zenu zitawafikisha pale mtakapoenda... Umesoma Bandiko lakini....Najua mmekaa kwa dezaini ipi sishangai unapotaka kuniwekea maneno Mdomoni. Rudini kwenu hamtaki.

Nimesema na Nitasema tena....Narudia kwa kujinukuu halafu uje useme tena fyoko fyoko zako
Sawa tu Ilimradi Wazungu, Waarabu, Wahindi na wengine wote wakiondoka na Kurudi Kwao?
 
Pamoja na wingi wenu mnashindwa kumfufua mnabaki kulialia tu[emoji44][emoji44] 'nileteeni gwajimaaaaaaaaaaaaaa mzee wa kuwafufua
Sikutegemea na wewe utaandika Upuuzi! Siku nyingine Jaribu kuficha ujinga wako
 
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.

Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no umeme, high costs of living, ufisadi, kuna mstari katikati binafsi sioni mbele yenye neema, kama kuna kitu Magufuli amefanikiwa kuwaonyesha Watanzania kwa muda mfupi alioongoza ni kwamba inawezekana kuendelea na kuwa na maendeleo kama wengine wa Dunia ya kwanza, hapo hakuna kitu anti Magufuli wanawezafanya, its already written in stone na Tanzania ya Magufuli haiwezi kufutika, ni swala la muda tu, tupige kura na matokeo yagawanye nchi kila upande uwe na nchi yake, …
Sijui Kala maharage ya wapi huyu
 
Wewe ndio Unayo. kwenye yote hayo umeona mimi ndio ndie nataka 'Kufanya" huo uamuzi.... Chuki zenu mnatuletea sisi, Chuki zenu zitawafikisha pale mtakapoenda... Umesoma Bandiko lakini....Najua mmekaa kwa dezaini ipi sishangai unapotaka kuniwekea maneno Mdomoni. Rudini kwenu hamtaki.

Nimesema na Nitasema tena....Narudia kwa kujinukuu halafu uje useme tena fyoko fyoko zako
Pumba
 
Vyovyote vile au chchote kile Utachosema hautabasilisha nilichosema na Kuandika.

Nenda mkalambane nyumani na wana Uhasma wenzako. Mmezoea.
Hizo pumba nakuhakikishia lazima utamuharishia mlambaji mwenzako.

....lets go you Inbred , essex hall twaat. Malikia Elizabeth Amekufaa, Mfalme wenu analambana na Wanaume-Nyumani. Msitulazimishe nasi twende huko....Msitulazimishe tutengane kabla hamjaondoka.

Huna Hoja!
 
Utaeleweka tu. Ndivyo mulivyo.

Nini cha ajabu na hiyo "Treated"


Ndiyo Nyie Wazungu wa Kuja
....Haha unarudia Lugha za Ukimbari. Ukizunguka dunia nzima sasa hivi Nyie Wazungu na Uchwara wenu mnafanya nini zaidi ya kutuuigiza....Yaani iwe sifa kumuona Mwanamke wa Kizungu kavaa Vi kamba Kamba sawa Akivaa mwafrika yupo Uchi!

Afrika tulikuwa tuna fanya Chale...you can equate this to Tatooing, mkasema wee wengi wakaacha....Sasa hivi Mizungu michwara ndio kila kukicha ndio hayo...Kwanini....?

Huwezi kunirudisha kwenye mada isoyoeleweka....na Kwa viswali vyako uchwara, Simba wa yuda ndio nini?.

Kwani nawe umeukurupuka kunianzia matusi....You Inbred Twaat

Nenda na wewe Ukazikwe na Malikia Elizabeth.


Baada ya kuvamia Bunge la Marekani nani alitakiwa Kuswekwa Jela? Kwani Trump ni mpenda Haki, Kwani Trump sio Racist Mother bleepr??

Nape ni mhaini au sio?
Mnazusha zusha tu.

Kama una jibu weka, zaidi ya hapo Unazusha. Raisi ndiye alikuwapo hapo. Huyo Lissu alisema aliwaona wote waliomtundika....
Nyie ndiye mliomtundika marisasi kumuaribia Hayati... Haramia dhalimu nyie Wazumgu

Huna Maswali, Umekuja kutoa povu tu. Huna Hoja

Haya rudini kwenye tarakilishi zenu, Ukajipange. Rudi kwenye kitanda ulale na Dada zako.
Na leo usijikojolee ukadai kwa sababu we we ni Miaka ya leo. Shenzy Taipu
Simba wa yuda ni Magufuli aka Jiwe sawa....
Wewe ni imbecile and l dont regret...haustahili kuishi kama yule Mungu wenu ********.

1. In this 21st century nani yupo tayari kunywa maji takataka? kisa muli foolishly brainwashed na Jiwe eti mabeberu sio watu wakati alikuwa nausika anakwenda kuwakopa ...eti tujifukize hadi wakajenga na ward yakujipiga moshi watu stupid kama wewe mulikuwa munakwenda mwisho wasiku alikwenda na maji kwa hako ka korona ..poor you're.
2.Pili umeonesha ujinga kumbe wewe ni mweupe kichawani ....hujuwi watu wavamia bunge la marekani wengi watumikia jela pia Trump anaminywa kende kila siku haja acquitted mwisho wake nimbaya kama wa sabaya.
3.Jibu kwanini Jiwe alitaka kumuua Mh Lissu usirukeruke ke.nde wewe.....huoni aibu kumkingia mwanga damu shwetani yule??

4.Nani alimteka Roma,MO....nani alimuua Ben Sanane,Mawazo ,Azaryo n.k??
5.Kwanini CAG alifukuzwa kazi wakati the guy hakuwa tayari ku impair his independence kisa jiwe alichakaza amechaza trillion kadhaa kwa ufisadi??

Nyie vijana wakugombolewa munakuwa shida saana sio kwa familia zenu tuu hata kwenye jamii
 
Usiwe mtu wa kizamani. Wakati akiwa hai, wengi hawakujua umuhimu wake. Alipokufa na Samia kutawala, watu ndipo wamejua umuhimu wake.
Hakupandisha madaraja na mishahara ya watumishi wa umma
 
Back
Top Bottom