Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Amekufa Queen Elizabeth. alikuwa Mzuri kweli kweli. Anang'aaa kaburini...na

Mme wachimbia Kaburi CCM

Wewe huna Nchi, huna Taifa. Kawadanganye Neanderthral wenzako Essex Hall
Wewe kenge unataka kugawanya nchi umeshindwa kama vile nduli wenu wa Chato alishindwa kumuua Mh Lissu .....kama hutaki hamia Burundi....Hatimaye Jiwe ni useless alisha kata moto
 
Ha ha bahati mbaya wale waliomuosha Queen wenu Elizabeth walisahau kumbadilisha...Akazikwa Kaburi lingine. tena shimoni chini ya shimo.
Queen ..Queen... Jiwe ...Jiwe ...aliwapumbazisha eti yeye kama hayupo nchi itaisha ...mavi yenu ....TZ ilikuwa in dark ages kipindi cha liuaji lire...tupo free kutowa maoni yetu bila kuangali juu ya mabega ....Mama SSH mitano tena!!
 
Queen ..Queen... Jiwe ...Jiwe ...aliwapumbazisha eti yeye kama hayupo nchi itaisha ...mavi yenu ....TZ ilikuwa in dark ages kipindi cha liuaji lire...tupo free kutowa maoni yetu bila kuangali juu ya mabega ....Mama SSH mitano tena!!
😂,Lakini kama hufanyi kosa nani atakuua?, Mwanazuoni mmoja wa kipindi cha magufulu, Bwana, Musiba,, msomi aliebobea, aliwahi kusema, "Bora mtu mmoja, au kikundi kidogo cha watu, wapotee, ili nchi isonge mbere",,
Mtu unapinga nchi, hutaki nchi isonge mbere,, wa nini sasa🤗
 
Sawa ..Sasa Musiba nayule Terminator wako Jiwe wako wapi kwenye uligoni wa siasa???nchi imesimama??...We're moving forward this is twenty twenty three bila raisi wa wanyonge
 
Upinzani nchi huu ulirudishwa mwaka 1992, nini kilifanya maendeleo kushindwa kupatikana huko nyuma wakati wa utawala wa chama kimoja??
 


Magufuli anahitaji sala sio siasa. Mwacheni apumzike hajupo kashafariki tuache ndoto za kitoto na tuweke maombi
 
Ni ujinga, na uwendawazimu wa hali ya juu.

Hivi kuwa pro Magufuli au anti Magufuli, ni falsafa au sera?

Tuna watu waliokosa akili ya kutafakari na kuchambua japo wanajua kusoma, kuandika na kuhesabu.
 
Wewe akili yako ina akili kweli, Bangi ina madhara makubwa sana.
 
Tungefanya kipindi huyo mweu akiliwa rais ila sasa vumilia kama sisi tulivyovumilia paka Mungu akaamua kuingilia kati
 
Ota ndoto zote ila ukijisikia unaenda chooni, nakushauri uamke !! La sivyo utaachia mzigo kitandani.

Magufuli alizikwa pamoja na itikadi zake za UHAYAWANI Chato Machi 2021 na forget totally Tanzania kufanya makosa kama hayo tena
Kabisa yule shwetani ibilis hukustahili kuongozi nchi labda wafungwa
 
Miaka 30 itapita na bado watu wataitaji bora angekuwepo magu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…